Thursday, June 20, 2013
Wednesday, June 19, 2013
Saturday, June 15, 2013
Pele apata wasiwasi na timu ya taifa
I was reading http://confedcup.supersport.mobi//football/fifa-confederations-cup/news/130615/Brazil_not_good_enough_Pele on SuperSport for Android
Friday, June 14, 2013
I was reading http://mobi.supersport.com/football/fifa-confederations-cup/news/130614/Brazil_face_Japan_in_tricky_opener on SuperSport for Android
Hii ndo historia ya langa kileo
Langa (wa kwanza, kulia mwa skrini
yako, aliyesimama), aliandika hivi,
"Mkutano wa kuunda baraza la
viongozi wa dini wa kupambana na
madawa. We did it Again, Bringing
more people into Recovery." Januari
2012
Je, unamkumbuka Langa Kileo? Bila
shaka hili ni jina maarufu, hasa kwa
wadau wa masuala ya burudani wa
ndani na nje ya nchi.
Huyu ni mmoja wa matunda ya
shindano la muziki la Coca-Cola Pop
Stars mwaka 2004 ambalo washindi
wake waliounda kundi la Wakilisha.
Mbali ya Langa, wengine ni Sarah
Kaisi ‘Shaa’ na Witness Mwaijaga
`Witness’. Huo ndio uliokuwa
mwanzo wa kung’ara kisanii kwa
wakali hao, ingawa kwa sasa kundi
hilo limesambaratika, kila mmoja
akitamba kivyake.
Lakini kwa bahati mbaya, mmoja
wao, Langa kwa miaka ya hivi
karibuni hakusikika kabisa, jambo
lililomlazimu mwandishi wa makala
haya kumtafuta sababu za ukimya
wake.
Haikuwa kazi rahisi, lakini hatimaye
Langa alipatikana na bila kutafuna
maneno alisema kwamba, alishindwa
kufanya kazi baada ya kuwa `teja’
aliyekubuhu.
Yaani alizama katika matumizi ya
dawa za kulevya kiasi cha kupoteza
kabisa mwelekeo si wa kisanii pekee,
bali hata kimaisha.
“Siyo siri, kilichokuwa kimenifikisha
katika hali hiyo ni dawa za kulevya.
Kwa miaka mitano nilitumia sana
Cocaine, Heroin, bangi na pombe.
Namshukuru Mungu sasa nimerejea
katika hali yangu…
“Siamini kama nimenusurika kwa
sababu madawa yalinitesa, nikafanya
mengi ya ajabu yaliyoichukiza familia
yangu na marafiki ikiwa pamoja na
kuwa mwizi na mkabaji mitaani na
nyakati za usiku,” anasema Langa
ambaye kundi lao la Wakilisha
lilitamba na nyimbo kama
`Unaniacha Hoi’ na `Kiswanglish’.
Anaeleza kwamba, kwake hayo ndiyo
aliyoyaona maisha yanayomfaa,
akidai awali alikuwa amechoshwa
kuishi kwa masharti kutoka kwa
wazazi wake waliokuwa wanampa
mwongozo wa maisha, lakini bila
kujua akadhani `anachungwa’.
Kwamba, umaarufu na ngekewa ya
kuzishika pesa katika umri mdogo
kupitia muziki vilimtia kiburi zaidi,
na hivyo kuamua kujitenga kabisa na
familia yake iliyomlea kwa mapenzi
mazito.
“Niliamini naweza kujitegemea
kupitia kazi yangu ya muziki,
nikajichanganya mtaani,” anasema
kijana huyo aliyetoa kibao chake cha
kwanza, Matawi ya Juu mara baada
ya kusambaratika kwa kundi la
Wakilisha kutokana na kila mmoja
kuamua kujitegemea kimuziki. Na
kweli, Matawi ya Juu ilidhihirisha
kuwa Langa ni moto wa kuotea mbali
katika fani. Aliweza kusimama kwa
miguu yake na kutikisa.
Mwenyewe anasema: “Jina hilo la
Matawi ya Juu lilidhihirisha hivyo
pale video ya kibao hicho ilipotajwa
kuwania Tuzo za MTV Base kwa
upande wa hapa Bongo miaka
michache iliyopita, kisha kutwaa
Tuzo ya Kisima nchini Kenya. “Moto
huo uliwafanya baadhi ya wasanii
wakongwe katika gemu ya Bongo
Fleva kunitafuta na kunipa
majukumu ya kushiriki katika kazi
zao, ikiwemo Chagua Moja ya Farid
Kubanda `Fid Q’.
“Baada ya kuona wakongwe
wamekubali vitu vyangu na kuanza
kunishirikisha…nikapata pia safari za
nje ya nchi. Huko Nairobi (Kenya)
niliweza kufanya kazi na vichwa
vikali vinavyounda Kundi la
Necessary Noise, Naaziz na Wyre
(Kevin Wyre)….”
Anasema mafanikio hayo yalimtuma
kufyatua albamu yake ya kwanza
aliyoipa jina la Langa, akiamini
itampaisha zaidi kimaisha na
kimuziki. Hata hivyo, mambo
yalikwenda kinyume. Anasema
alipoipeleka sokoni, wauzaji
wakubwa waliigomea, hivyo kumpa
wakati mgumu wa kuwaza na
hatimaye kujikuta akiongeza kasi ya
matumizi ya dawa za kulevya.
Siyo siri, kugoma kwa albamu yangu
sokoni kulichangia kasi ya kutumia
dawa za kulevya…niliona ni njia
pekee ya kuondoa mawazo kwa
sababu kazi iligoma, na home
(nyumbani) nilishaharibu.
Sikufanya tena kazi kwa umakini na
kila kazi niliyoitia haikufanya
vizuri….” Anasema kwamba, baada
ya mambo kumwendea mrama, ndipo
alipoanza kuiba vitu nyumbani kwao
kwa lengo la kuviuza na inapotokea
amekosa, alidiriki hata kupiga debe
katika vituo vya mabasi ili mradi
apate fedha za kununua `unga’.
Haikuishia hapo, kwani anasema
alijiingiza katika kundi la wahuni
waliojihusisha na wizi na ujambazi.
“Kwa ujumla nilipoteza mwelekeo.
Maisha yangu yakawa ya kutembea
na kisu kama kitendea kazi changu
katika wizi,” anasema huku akitikisa
kichwa kama ishara ya kujutia
matendo aliyoyafanya kwa msukumo
wa madawa ya kulevya. Anakumbuka
akiwa mtumwa wa `unga’, aliingia
katika mikasa kadhaa ikiwa pamoja
na kupigana na polisi baada ya
kunaswa na dawa hizo haramu.
Katika wizi, chochote alichokikuta
mbele yake kilikuwa halali. Anasema
alikwapua vitu magengeni, madukani
na hata magari yaliyoegesha vibaya
alinyofoa vioo na mashine
zinazosaidia kupandisha na
kushusha vioo ndani ya gari.
“Ni matukio ya aibu.
Yanasikitisha…,” anasema Langa
anayedokeza kwamba, akiwa
mtumiaji wa `unga’, alikuwa
anakutana na wasanii na watu
wengine mashuhuri. Hata hivyo
anakataa kuwataja, akidai ni siri
yake. `Ufufuo’ wa Langa kutoka
katika lindi la mateso ya dawa za
kulevya ulipatikana kuanzia Machi
mwaka huu, baada ya familia yake
kumpeleka kijana wao kwa tiba
maalumu ya kuachana na matumizi
ya `madudu’ hayo. Na kweli, elimu
imemwingia na kujikuta akirejea
ufahamu wake wa kawaida.
Ametangaza kuachana na `unga’,
pombe, sigara na badala yake
amejikita zaidi katika mazoezi ya
kurudisha mwili wake katika hali ya
kawaida. Aidha, amekata shauri la
kuirudia fani yake na tayari ana vitu
vipya, Bombokiata na Mteja
Aliyepata Nafuu.
Anasisitiza kwamba, kutokana na
mateso aliyoyapata, anakusudia
katika siku za baadaye afungue kituo
chake cha tiba ya dawa za kulevya ili
aweze kuwaokoa vijana wengine
wanaoangamia kutokana na
matumizi ya dawa hizo haramu
zinazopigwa vita karibu kote
duniani. “Nimenusurika,
namshukuru Mungu.
Nami najipanga kutaka kuwasaidia
wengine waachane na mateso ya
dawa za kulevya. Pia nichukue fursa
hii kuwaomba msamaha wote
niliowakosea kwa namna moja ama
nyingine wakati nikiwa `teja’,”
anasema Langa, kijana mwenye umri
wa miaka 25.
Je, historia ya maisha ya Langa
ikoje? Anasema Desemba mwaka
1985 jijini Dar es Salaam akiwa
tunda la wanandoa Vanessa Kimei na
mumewe Mengisen Kileo. Alisoma
Shule ya Msingi Olympio na
Sekondari ya Loyola, zote za jijini
Dar es Salaam.
Hata hivyo, akiwa kidato cha pili
alihamishiwa Kampala, Uganda
katika Shule ya Vienna na baadaye
Shule ya Hillside International
Academy, huko huko Uganda.
Baadaye alirejea nchini na kujiunga
na masomo ya Stashahada ya Masoko
katika Chuo cha Biashara Dar es
Salaam (CBE), Kampasi ya Dodoma
yako, aliyesimama), aliandika hivi,
"Mkutano wa kuunda baraza la
viongozi wa dini wa kupambana na
madawa. We did it Again, Bringing
more people into Recovery." Januari
2012
Je, unamkumbuka Langa Kileo? Bila
shaka hili ni jina maarufu, hasa kwa
wadau wa masuala ya burudani wa
ndani na nje ya nchi.
Huyu ni mmoja wa matunda ya
shindano la muziki la Coca-Cola Pop
Stars mwaka 2004 ambalo washindi
wake waliounda kundi la Wakilisha.
Mbali ya Langa, wengine ni Sarah
Kaisi ‘Shaa’ na Witness Mwaijaga
`Witness’. Huo ndio uliokuwa
mwanzo wa kung’ara kisanii kwa
wakali hao, ingawa kwa sasa kundi
hilo limesambaratika, kila mmoja
akitamba kivyake.
Lakini kwa bahati mbaya, mmoja
wao, Langa kwa miaka ya hivi
karibuni hakusikika kabisa, jambo
lililomlazimu mwandishi wa makala
haya kumtafuta sababu za ukimya
wake.
Haikuwa kazi rahisi, lakini hatimaye
Langa alipatikana na bila kutafuna
maneno alisema kwamba, alishindwa
kufanya kazi baada ya kuwa `teja’
aliyekubuhu.
Yaani alizama katika matumizi ya
dawa za kulevya kiasi cha kupoteza
kabisa mwelekeo si wa kisanii pekee,
bali hata kimaisha.
“Siyo siri, kilichokuwa kimenifikisha
katika hali hiyo ni dawa za kulevya.
Kwa miaka mitano nilitumia sana
Cocaine, Heroin, bangi na pombe.
Namshukuru Mungu sasa nimerejea
katika hali yangu…
“Siamini kama nimenusurika kwa
sababu madawa yalinitesa, nikafanya
mengi ya ajabu yaliyoichukiza familia
yangu na marafiki ikiwa pamoja na
kuwa mwizi na mkabaji mitaani na
nyakati za usiku,” anasema Langa
ambaye kundi lao la Wakilisha
lilitamba na nyimbo kama
`Unaniacha Hoi’ na `Kiswanglish’.
Anaeleza kwamba, kwake hayo ndiyo
aliyoyaona maisha yanayomfaa,
akidai awali alikuwa amechoshwa
kuishi kwa masharti kutoka kwa
wazazi wake waliokuwa wanampa
mwongozo wa maisha, lakini bila
kujua akadhani `anachungwa’.
Kwamba, umaarufu na ngekewa ya
kuzishika pesa katika umri mdogo
kupitia muziki vilimtia kiburi zaidi,
na hivyo kuamua kujitenga kabisa na
familia yake iliyomlea kwa mapenzi
mazito.
“Niliamini naweza kujitegemea
kupitia kazi yangu ya muziki,
nikajichanganya mtaani,” anasema
kijana huyo aliyetoa kibao chake cha
kwanza, Matawi ya Juu mara baada
ya kusambaratika kwa kundi la
Wakilisha kutokana na kila mmoja
kuamua kujitegemea kimuziki. Na
kweli, Matawi ya Juu ilidhihirisha
kuwa Langa ni moto wa kuotea mbali
katika fani. Aliweza kusimama kwa
miguu yake na kutikisa.
Mwenyewe anasema: “Jina hilo la
Matawi ya Juu lilidhihirisha hivyo
pale video ya kibao hicho ilipotajwa
kuwania Tuzo za MTV Base kwa
upande wa hapa Bongo miaka
michache iliyopita, kisha kutwaa
Tuzo ya Kisima nchini Kenya. “Moto
huo uliwafanya baadhi ya wasanii
wakongwe katika gemu ya Bongo
Fleva kunitafuta na kunipa
majukumu ya kushiriki katika kazi
zao, ikiwemo Chagua Moja ya Farid
Kubanda `Fid Q’.
“Baada ya kuona wakongwe
wamekubali vitu vyangu na kuanza
kunishirikisha…nikapata pia safari za
nje ya nchi. Huko Nairobi (Kenya)
niliweza kufanya kazi na vichwa
vikali vinavyounda Kundi la
Necessary Noise, Naaziz na Wyre
(Kevin Wyre)….”
Anasema mafanikio hayo yalimtuma
kufyatua albamu yake ya kwanza
aliyoipa jina la Langa, akiamini
itampaisha zaidi kimaisha na
kimuziki. Hata hivyo, mambo
yalikwenda kinyume. Anasema
alipoipeleka sokoni, wauzaji
wakubwa waliigomea, hivyo kumpa
wakati mgumu wa kuwaza na
hatimaye kujikuta akiongeza kasi ya
matumizi ya dawa za kulevya.
Siyo siri, kugoma kwa albamu yangu
sokoni kulichangia kasi ya kutumia
dawa za kulevya…niliona ni njia
pekee ya kuondoa mawazo kwa
sababu kazi iligoma, na home
(nyumbani) nilishaharibu.
Sikufanya tena kazi kwa umakini na
kila kazi niliyoitia haikufanya
vizuri….” Anasema kwamba, baada
ya mambo kumwendea mrama, ndipo
alipoanza kuiba vitu nyumbani kwao
kwa lengo la kuviuza na inapotokea
amekosa, alidiriki hata kupiga debe
katika vituo vya mabasi ili mradi
apate fedha za kununua `unga’.
Haikuishia hapo, kwani anasema
alijiingiza katika kundi la wahuni
waliojihusisha na wizi na ujambazi.
“Kwa ujumla nilipoteza mwelekeo.
Maisha yangu yakawa ya kutembea
na kisu kama kitendea kazi changu
katika wizi,” anasema huku akitikisa
kichwa kama ishara ya kujutia
matendo aliyoyafanya kwa msukumo
wa madawa ya kulevya. Anakumbuka
akiwa mtumwa wa `unga’, aliingia
katika mikasa kadhaa ikiwa pamoja
na kupigana na polisi baada ya
kunaswa na dawa hizo haramu.
Katika wizi, chochote alichokikuta
mbele yake kilikuwa halali. Anasema
alikwapua vitu magengeni, madukani
na hata magari yaliyoegesha vibaya
alinyofoa vioo na mashine
zinazosaidia kupandisha na
kushusha vioo ndani ya gari.
“Ni matukio ya aibu.
Yanasikitisha…,” anasema Langa
anayedokeza kwamba, akiwa
mtumiaji wa `unga’, alikuwa
anakutana na wasanii na watu
wengine mashuhuri. Hata hivyo
anakataa kuwataja, akidai ni siri
yake. `Ufufuo’ wa Langa kutoka
katika lindi la mateso ya dawa za
kulevya ulipatikana kuanzia Machi
mwaka huu, baada ya familia yake
kumpeleka kijana wao kwa tiba
maalumu ya kuachana na matumizi
ya `madudu’ hayo. Na kweli, elimu
imemwingia na kujikuta akirejea
ufahamu wake wa kawaida.
Ametangaza kuachana na `unga’,
pombe, sigara na badala yake
amejikita zaidi katika mazoezi ya
kurudisha mwili wake katika hali ya
kawaida. Aidha, amekata shauri la
kuirudia fani yake na tayari ana vitu
vipya, Bombokiata na Mteja
Aliyepata Nafuu.
Anasisitiza kwamba, kutokana na
mateso aliyoyapata, anakusudia
katika siku za baadaye afungue kituo
chake cha tiba ya dawa za kulevya ili
aweze kuwaokoa vijana wengine
wanaoangamia kutokana na
matumizi ya dawa hizo haramu
zinazopigwa vita karibu kote
duniani. “Nimenusurika,
namshukuru Mungu.
Nami najipanga kutaka kuwasaidia
wengine waachane na mateso ya
dawa za kulevya. Pia nichukue fursa
hii kuwaomba msamaha wote
niliowakosea kwa namna moja ama
nyingine wakati nikiwa `teja’,”
anasema Langa, kijana mwenye umri
wa miaka 25.
Je, historia ya maisha ya Langa
ikoje? Anasema Desemba mwaka
1985 jijini Dar es Salaam akiwa
tunda la wanandoa Vanessa Kimei na
mumewe Mengisen Kileo. Alisoma
Shule ya Msingi Olympio na
Sekondari ya Loyola, zote za jijini
Dar es Salaam.
Hata hivyo, akiwa kidato cha pili
alihamishiwa Kampala, Uganda
katika Shule ya Vienna na baadaye
Shule ya Hillside International
Academy, huko huko Uganda.
Baadaye alirejea nchini na kujiunga
na masomo ya Stashahada ya Masoko
katika Chuo cha Biashara Dar es
Salaam (CBE), Kampasi ya Dodoma
Thursday, June 13, 2013
Hizi ndo post mbalimbalu za wasanii mbalimbali kuhusiana na kifo cha langa

Joh Makini
Wiki mbili nyuma tulipanga kufanya
trak kwa Dunga tukaisogeza mbele
kupisha msiba wa Ngwea nakumbuka
mpaka session alipanga alhamis
aliamplz tumalize msiba lkn kumbe
yeye ndio alikua anafata daah! Mara
ya mwisho kuongea ni uliponiambia
nichek beat kwenye email alaf
tuchangie mawazo kutakufuta idea
daaah! Baadae tena ukanitext
umepata idea mbili platinum ideas
tukienda studio tunaua! Sasa
umeondoka ghafla mimi na dunga
tumebaki na beat tu sasa #RIP
LANGA.
THE CITY of PHD
DAAAAAAAH MUNGU TUSAIDIE!!MI
NIMESHAKOSA AMANI KABISA HAPA
NILIPO!!!HAYA NI MAJONZI
MAKUBWA!!REST IN PEACE LANGA!!
GONE TOO SOON!!DAAAAAH
Nick Mweusi
KAMA HIZI HABARI ZA LANGA NI
KWELI SHOW YANGU NA GNAKO
CLUB KAKALA HAiTAfANyIKA. RIP
LANGA
Afande Sele The’King
Tunavyotaka sisi, sivyo anavyotaka
yeye (Mungu) mapenzi yake ni zaidi.
Mungu akupumzishe pema LANGA
KILEO
K Wa MaujanjaSaplayaz
Kapumzike na amani zote hatuta
acha kukukumbuka daima
Mad Ice
Oh lord shed light on these dark
moments of the Tanzanian Music
Industry! Its not even a week since
we buried Ngwea and another one is
down … R.I.P Langa!
Cpwaa
Another Brother, Another Soldier,
Another buddy,another talented
Tanzanian Hip Hop Artist gone!……
bado siamini.. #RIPLanga #
BongoFlavaStayCalmAndUnited
Fina Mango
RIP Langa. Pole sana Mama na Mzee
Kileo Mungu awake nguvu Kwa
wakati huu mgumu
D knob
Rip Langa. Sijui cha kuongea
kiukweli Dah.
Nikki Mbishi
Langa unaenda wapi kichaa wangu?
Mwanao bado nalia na Ngwea halafu
unasepa badala ya kubaki tuanue
matanga.
Maskini langa
Tasnia ya muziki nchini imepata pigo
lingine. Mwanamuziki Langa Kileo
amefariki dunia. Langa ambaye ni
msanii alieanza kwenye kundi la
wakilisha alikimbizwa hospitali ya
Muhimbili baada ya kuzidiwa na
ugonjwa unaodhaniwa kuwa ni
malaria. Taarifa ya daktari kuhusu
kifo chake bado haijatolewa.
Tunawapa pole ndugu, jamaa,
marafiki na mashabiki wote wa Langa
katika kipindi hiki kigumu
lingine. Mwanamuziki Langa Kileo
amefariki dunia. Langa ambaye ni
msanii alieanza kwenye kundi la
wakilisha alikimbizwa hospitali ya
Muhimbili baada ya kuzidiwa na
ugonjwa unaodhaniwa kuwa ni
malaria. Taarifa ya daktari kuhusu
kifo chake bado haijatolewa.
Tunawapa pole ndugu, jamaa,
marafiki na mashabiki wote wa Langa
katika kipindi hiki kigumu
Rip broda

Tanzania, pichani) amefariki dunia
leo hii.
Langa alipelekwa hospitali akiwa
hajitambui. Anadaiwa kuwa
alikumbwa na Malaria kali sana, Hali
iliyopelekea kukimbizwa Hospitali ya
Muhimbili jana.
Uchunguzi wa chanzo cha kifo chake
bado unaendelea.
Msanii Langa aliwahi kutamba na
kikundi cha Wakilisha pamoja na
witness na sara ni miongoni mwa
wasanii wakongwe wa bongo flava
nchini Tanzania.
Mungu amrehemu.
Majina ya waliomaliza form six na kwenda jeshini majina yao yatoka third round
Ukitaka kujua kambi uliyopangwa bonyeza hii link hapa http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/467916-kidato-cha-sita-2013-wanatakiwa-kuripoti-jkt-24-06-2013-a.html#post6573529
Q the don afungua studio yake
Baada ya kufanya kazi kwa kuajiriwa
kwenye studio za watu kwa muda
mrefu, hatimaye producer wa Mchizi
Wangu ya N2N Soldier na CNN ya
marehemu Mangwair, Q The Don
amefungua studio yake mwenyewe
iitwayo, Sheidon Productions.
Studio hizo zipo jijini Mwanza
alikokaa kwa muda mrefu tangua
atokee nchini Kenya.
“Sheidon productions now
official..for them haters… tehe tehe
tehe. mungu mkubwa. patience
pays.. asante kwa wote walio amini
na kunikubali… nipo kwajili yenu…
karibuni sana,” ameandika kwenye
ukurasa wake wa Facebook.
Kwa muda mrefu Q alikuwa akifanya
kazi na studio ya MO Records ya
Mwanza na aliwahi kufanya kazi
Bongo Records
kwenye studio za watu kwa muda
mrefu, hatimaye producer wa Mchizi
Wangu ya N2N Soldier na CNN ya
marehemu Mangwair, Q The Don
amefungua studio yake mwenyewe
iitwayo, Sheidon Productions.
Studio hizo zipo jijini Mwanza
alikokaa kwa muda mrefu tangua
atokee nchini Kenya.
“Sheidon productions now
official..for them haters… tehe tehe
tehe. mungu mkubwa. patience
pays.. asante kwa wote walio amini
na kunikubali… nipo kwajili yenu…
karibuni sana,” ameandika kwenye
ukurasa wake wa Facebook.
Kwa muda mrefu Q alikuwa akifanya
kazi na studio ya MO Records ya
Mwanza na aliwahi kufanya kazi
Bongo Records

Jose bana
I was reading http://mobi.supersport.com/football/spain/news/130610/Mou_cast_long_shadow_over_Spain_team on SuperSport for Android
I was reading http://mobi.supersport.com/football/spain/news/130613/Laporta_defends_Messi_in_tax_case on SuperSport for Android
Wednesday, June 12, 2013
WATANZANIA WAKARIBISHWA SIKU YA WACHANGIA DAMU DUNIANI, IJUMAA TAREHE 14 JUNI, 2013. 2
anzania kupitia Mpango wa Damu
Salama Tanzania itaungana na nchi
nyengine
Duniani katika sherehe za
Kuwashukuru na kuwatambua
Wachangia Damu Duniani
siku ya Ijumaa ya tarehe 14 Juni, 2013
ambapo kitaifa sherehe hizo
zitafanyika katika viwanja vya Mkendo
Wialyani Musoma, mkoani Mara huku
mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Waziri
mwenye dhamana Katika Wizara ya
Afya na
Ustawi wa Jamii Mh. Dk. Hussein
Mwinyi.
*
*Kwa Mujibu wa Mpango wa Damu
Salama Tanzania, wananchi ambao
wako katika
mikoa mengine nje ya kanda ya ziwa
wanaweza kujumuika na vituo vya
Damu
Salama vilivyo katika kanda zao ili
kuweza kusheherekea na kujitolea
damu
siku hiyo.
*
*Aidha, sehemu zilizoanishwa na
Mpango wa Damu Salama Tanzania
ambapo
sherehe hizo zitafanyika Kimkoa ni
Makao Makuu ya Mpango wa Damu
Salama
Tanzania, Ilala Mchikichini kwa Mkoa
wa Dar es salaam, Viwanja vya
Tangamano kwa Mkoa wa Tanga,
Mkoani Tabora Katika Kituo cha Damu
Salama
Kitete, Viwanja vya Luanda Nzovwe
Jijini Mbeya, Kwa wilaya ya Kilwa
mkoani
Lindi sherehe zitafanyika katika
Bustani ya Mkapa, Morogoro katika
Kituo
cha Damu Salama Rwegosore, na
Mkoani Lindi katika kituo cha Damu
Salama
Ilulu.
*
*Sherehe hizo za Kila mwaka
zinalengo la kuamsha ari pamoja na
kuongeza
uwelewa juu ya mahitaji ya damu na
umuhimu wa kuchangia damu kwa
hiari ili
kuokoa maisha ya watu wanaohitaji
damu duniani ikiwa pamoja na
kuwashukuru
na kuwapongeza wachangia damu
wote duniani.
Kidunia sherehe hizi zitafanyika Jijini
Paris, Ufaransa chini ya Shirika la
Afya Duniani (WHO) ikishirikiana na
Shirikisho la Kimataifa la Msalaba
Mwekundu (IFRC), Shirikisho la
Kimataifa laTaasisi za Kuchangia
Damu
(IFBDO), na Jumuiya ya Kimataifa
Mpango wa Damu Salama (ISBT).
Ujumbe wa
Mwaka huu ni TOA ZAWADI YA
MAISHA. CHANGIA DAMU.
*
*Rafiki wa Damu Salama Tanzania
inawaomba watanzania wote
kujitokeza kwa
wingi siku ya Ijumaa kuweza
kujumuika pamoja katika sherehe hizi
muhimu
ambazo zinagusa moja kwa moja
maisha ya mwanadamu. Mahitaji ya
damu nchini
bado ni makubwa na wahitaji
wamekuwa
Salama Tanzania itaungana na nchi
nyengine
Duniani katika sherehe za
Kuwashukuru na kuwatambua
Wachangia Damu Duniani
siku ya Ijumaa ya tarehe 14 Juni, 2013
ambapo kitaifa sherehe hizo
zitafanyika katika viwanja vya Mkendo
Wialyani Musoma, mkoani Mara huku
mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Waziri
mwenye dhamana Katika Wizara ya
Afya na
Ustawi wa Jamii Mh. Dk. Hussein
Mwinyi.
*
*Kwa Mujibu wa Mpango wa Damu
Salama Tanzania, wananchi ambao
wako katika
mikoa mengine nje ya kanda ya ziwa
wanaweza kujumuika na vituo vya
Damu
Salama vilivyo katika kanda zao ili
kuweza kusheherekea na kujitolea
damu
siku hiyo.
*
*Aidha, sehemu zilizoanishwa na
Mpango wa Damu Salama Tanzania
ambapo
sherehe hizo zitafanyika Kimkoa ni
Makao Makuu ya Mpango wa Damu
Salama
Tanzania, Ilala Mchikichini kwa Mkoa
wa Dar es salaam, Viwanja vya
Tangamano kwa Mkoa wa Tanga,
Mkoani Tabora Katika Kituo cha Damu
Salama
Kitete, Viwanja vya Luanda Nzovwe
Jijini Mbeya, Kwa wilaya ya Kilwa
mkoani
Lindi sherehe zitafanyika katika
Bustani ya Mkapa, Morogoro katika
Kituo
cha Damu Salama Rwegosore, na
Mkoani Lindi katika kituo cha Damu
Salama
Ilulu.
*
*Sherehe hizo za Kila mwaka
zinalengo la kuamsha ari pamoja na
kuongeza
uwelewa juu ya mahitaji ya damu na
umuhimu wa kuchangia damu kwa
hiari ili
kuokoa maisha ya watu wanaohitaji
damu duniani ikiwa pamoja na
kuwashukuru
na kuwapongeza wachangia damu
wote duniani.
Kidunia sherehe hizi zitafanyika Jijini
Paris, Ufaransa chini ya Shirika la
Afya Duniani (WHO) ikishirikiana na
Shirikisho la Kimataifa la Msalaba
Mwekundu (IFRC), Shirikisho la
Kimataifa laTaasisi za Kuchangia
Damu
(IFBDO), na Jumuiya ya Kimataifa
Mpango wa Damu Salama (ISBT).
Ujumbe wa
Mwaka huu ni TOA ZAWADI YA
MAISHA. CHANGIA DAMU.
*
*Rafiki wa Damu Salama Tanzania
inawaomba watanzania wote
kujitokeza kwa
wingi siku ya Ijumaa kuweza
kujumuika pamoja katika sherehe hizi
muhimu
ambazo zinagusa moja kwa moja
maisha ya mwanadamu. Mahitaji ya
damu nchini
bado ni makubwa na wahitaji
wamekuwa

Tuesday, June 11, 2013
Usumbufu wa nini tena
Check out Call Control for your Android, a community powered call/texts blocking application! http://www.everycall.us/m/download.html
Kwa heri mfalme mido

Ahmed Hossam Hussein Abdulhamid
‘Mido ametangaza kustaafu kucheza
soka baada ya kucheza kwenye
kiwango cha juu kwa muda wa miaka
14 .
Mido anaweza kuwa mmoja wa
wachezaji wa Kiafrika waliowahi
kucheza soka kwenye vilabu vingi
barani ulaya akiwa amecheza kwenye
ligi za Uholanzi, Ubelgiji ,
Hispania,Ufaransa,England ,Italia na
nchini kao Misri ambapo amecheza
kwenye klabu za Zamalek alikoanzia
maisha yake ya soka wakati akiwa na
miaka 16, Gent ya Ubelgiji, Ajax
Amsterdam ya Uholanzi,Celta Vigo ya
Hispania , Olympique Marseile ya
Ufaransa,As Roma ya
Italia ,Tottenham Hotspurs ,
Middlesborough,Wigan Athletic,West
Ham United na Barnsley zote za
Engand .
Mido amewahi kuichezea timu yake
ya taifa ya Misri kwenye mechi 51
ambapo alifunga mabao 20 huku
akiwa sehemu muhimu ya kikosi
kilichotwaa ubingwa wa Afrika mwaka
2006 . Hata hivyo Mido atakumbukwa
kwa sababu mbaya kwenye timu ya
taifa yakiwemo matukio kadhaa ya
utovu wa nidhamu kama kukataa
kutolewa uwanjani na kumtolea
kocha wake Hassan Shehata maneno
machafu baada ya kutolewa uwanjani
wakati wa mchezo wa fainali ya
kombe la mataifa ya Afrika mwaka
2006 .
Mido amewahi kutwaa mataji manne
kwenye klabu za Ajax Amsterdam na
Zamalek pamoja na kombe la mataifa
ya Afrika mwaka 2006 ambapo
alifunga bao moja kwenye michuano
hiyo . Mido pia amewahi kutwaa
tuzo za mchezaji bora nchini Ubelgiji
ambako alitwaa mara mbili , tuzo ya
mchezaji bora wa Misri na tuzo ya
mchezaji bora mwenye umri mdogo
barani Afrika mwaka 2001/2002.
Mido amestaafu akiwa amecheza
jumla ya mechi 294 kwenye klabu
mbalimbali alizopita pamoja na timu
za taifa ikiwemo timu ya vijana
ambapo amefunga mabao 93 na
mpaka anamalizia safari yake ya
kucheza soka akiwa na umri wa
miaka 30 huku klabu yake ya mwisho
ikiwa Barnsley inayoshiriki ligi daraja
la kwanza nchini England ambayo
aliichezea kwenye mechi moja pek
Mourinho anene
I was reading http://mobi.supersport.com/football/barclays-premier-league/news/130611/I_want_to_build_Chelsea_dynasty on SuperSport for Android
Bongo muvi yapata pigo

Habari iliyotufikia hivi punde ni
kwamba msanii wa filamu nchini Jaji
Khamis (Kashi)aliyewahi kutamba na
michezo ya ITV enzi zile akiwa na
wasanii kama mzee masinde,samson
na wengine katika mchezo wa Tamu
chungu na mingine mingi Amefariki
dunia mchana huu katika hosptali ya
taifa ya muhimbili alikokuwa
amelazwa,akizungumza na the super
stars tz raisi wa shirikisho la wasanii
amesema kuwa tasnia yake bado
inaendelea kukumbwa na majanga
lakini amedai yote ni kazi ya mungu
Nae mzee masinde ambaye alikuwa
nae katika kundi moja akiwa kama
kiongozi wake amesema kashi ni
msanii ambaye alikuwa mpiganaji na
kwa hakika ni pigo kubwa katika
tasnia yetu
Mungu ailaze roho ya marehemu Jaji
Khamis (Kashi)
mahali pema pepponi Amini.
Sunday, June 9, 2013
Huu si ubinadamu
Mume wake aitwaye Sohanial
Chouhan (38) alifikishwa polisi
baada ya kugundua kwamba
alikuwa
ana tabia ya kumfunga kufuli
mkewe
sehemu hizo kwa muda wa miaka
minne kwa madai kwamba
asingefanya hivyo angekuwa
anatembea nje ya ndoa.
Imegundulika kwamba Chouhan
alianza kumwenyesha mkewe
madawa ya kulevya na kisha
akatumia sindano kutoboa
matundu
sehemu zote mbili za mlango wa
uke
wa Sitabai kisha akaweka kufuli
dogo
ambalo alilifunga kila asubuhi
akienda kazini, na kulifungua
wakati
anaporejea.
Chouhan (38) alifikishwa polisi
baada ya kugundua kwamba
alikuwa
ana tabia ya kumfunga kufuli
mkewe
sehemu hizo kwa muda wa miaka
minne kwa madai kwamba
asingefanya hivyo angekuwa
anatembea nje ya ndoa.
Imegundulika kwamba Chouhan
alianza kumwenyesha mkewe
madawa ya kulevya na kisha
akatumia sindano kutoboa
matundu
sehemu zote mbili za mlango wa
uke
wa Sitabai kisha akaweka kufuli
dogo
ambalo alilifunga kila asubuhi
akienda kazini, na kulifungua
wakati
anaporejea.

Saturday, June 1, 2013
Umejiuliza why obama kachagua tanzania kwenye visit yake Africa
President Obama has announced
that he will be making a
homecoming African tour and
hopefully this is the beginning of
a series of such tours .
Africa’s son and the most
powerful man on the planet will
crisscross the continent from
Senegal in the west to South
Africa in the south and Tanzania
in the east, a grand safari.
The choice of countries is
possibly based on the criteria
outlined in my previous paper on
how Obama can engage Africa,
namely , size of countries and
their importance to the US ; the
long term relationship as an ally
or foe ; economic interests ;
security interests ; how aligned
are these countries with the
values of America and; the needs
of these countries, namely , their
need for foreign aid .
A major criterion must be added
to this list , namely , the China
factor. Since I wrote the paper
the Chinese leader has made
visits to the continent and
America is realizing that China is
making a major effort to engage
Africa.
Obama ’s visit is no doubt an
effort to emphasise that America
is a major player on the
continent and wants to be a
partner in developing the
resources of the continent. What
should be the wish list for the
countries visited and what are
the implications for the rest of
the continent, other countries
which will obviously look forward
to a visit by the President ?
In particular, what should they
do to merit a visit? The exposure
that it gives the countries visited
and in particular, the
opportunities in terms of
investment and tourism can not
be underestimated . In this paper
the emphasis is on business
opportunities on the continent
and the benefits of the visits will
be maximized if countries can
demonstrate that they are good
destinations for investment.
Why Senegal , South Africa and
Tanzania ?
Why were these three countries
chosen ? A quick review
demonstrates how the criteria
noted above played a significant
role in Obama’ s choice . Senegal
is a regional hub, playing an
increasing role in security issues
in Mali and the Sahel region as a
whole.
The bitterly fought recent
election which saw a siting
president accept defeat to a
challenger established the
democratic credential of that
country. Senegal has been stable
since independence albeit with a
long running insurgency in the
Cassamance region .
The US has economic presence ; it
is among the top five
destinations for Senegal’s
exports, with the US accounting
for 4 .8 % of that country’ s exports,
the fifth largest destination .
South Africa is the guardian of
the Cape of Good Hope where a
significant proportion of
American trade is routed
through.
South Africa, the continent’s
largest economy conducts
significant trade with America ,
with the US being the second
largest destination (8 .6 % ) for
South African exports, after China
the leading destination . The US ,
accounting for 8 % of South
Africa’s imports is the third
largest source after China and
Germany .
Tanzania ’s position in the group
has security implications in the
still volatile region , notably
Somalia and Yemen. The country
which has also made strides in
governance and economic
liberalization has seen
impressive economic growth rates
for over a decade .
It is a richly endowed country
with vast potential in oil ,
uranium , gas , agriculture and
tourism. Obama may also be
sending a message to Kenya, the
neighbouring country where his
father hails from, notably, that
Kenya should get its act together
to merit a visit. Tanzania which
has borders with eight countries
is in a good position as a
regional hub.
It does not have significant trade
relationship with the America, at
the moment; the US does not
feature among the top five
countries in terms of destination
for exports or source of imports .
The wish list and implications for
other countries All three
countries possess resources that
would be of interest to the US ,
are of interest to US security
concerns and are within Obama ’s
stated views on making the world
a better place .
What should be the wish list of
these countries and how should
they prepare for Obama ’ s visit?
The overall objective should be
to market their countries with
regard to governance ,
opportunities for US investors
and the market for goods and
services in those countries and
the US .
A key consideration should be on
how the US should assist in the
development of the
infrastructure , a major
impediment to economic
development and trade . Senegal
must emphasise its position as a
regional hub and base for US
investment and security projects .
It ’s relatively good ( particularly
compared to neighbouring
countries) infrastructure and
links with countries in the region
gives it a strong edge.
The Senegalese President stated
in a speech in July 2012 that his
government wanted an optimal
energy mix , with a view to
reducing supply costs over the
medium and long term through
diversification —natural gas ,
hydropower, and renewable
energies —as well as through
regional integration. American
companies should be well placed
to play an important role in
energy projects .
Senegal has vast solar energy
potential and American
companies who have pioneered
shale gas franking techniques
should be invited to make
explorations and investment .
Other opportunities that should
be explored include investment
in fertilizer production and other
downstream activities for the
country’s phosphates .
Investment opportunities should
also be explored for
manufacturing using cotton ,
groundnuts and fish,
commodities where Senegal has
abundant raw materials . US
investment and markets can also
be explored for the country’s
ship construction and repair
industry .
The country’s tourism industry
could benefit from US investment
and visitors . Senegal still has a
lot to do to make the country
attractive to investors . The World
Bank ranked the country 166 th
with regard to ease of doing
business in 2012 , having slipped
by four places in the index from
2011 .
The country’s five worst rankings
in terms of individual indicators
are : getting electricity ;
registering property ; paying
taxes ; protecting investors and
enforcing contracts. In the run
up to Obama ’s visit the country
needs to do a lot to make it an
attractive destination for
investors .
South Africa will be looking for
acknowledgement and concrete
measures to develop and expand
its position as the largest , most
developed and diversified
economy on the continent. It
should be looking at getting US
companies to invest in
production for the home market
and exports to the rest of Africa
and the world.
US investment in power
generation and support in
marketing South Africa as a
tourist destination should be
areas to stress. US support for
regional integration would also
be appreciated. Of particular
importance is US help in
addressing the dichotomy in the
country, a first world advanced
economy and a third world
developing economy existing side
by side.
Despite steady but relatively low
economic growth and sound
macroeconomic and fiscal policies
the economy has a daunting
problem of skill shortages co -
existing with very high
unemployment. The World Bank
stated that “the potential for
faster growth has been held back
by industrial concentration , skill
shortages, labour market
rigidities , chronically low savings
and investment rates and spatial
barriers from the former
apartheid system .”
US help in revamping the
educational sector with emphasis
on math , science and technical
skills and assistance in the
regulatory and delivery framework
of the industrial and labour
markets should be a priority. The
country scores quite high, 39th ,
in terms of the World Bank ’s
ranking on ease of doing
business .
The worst individual rankings
are : getting electricity ; trading
across borders ; resolving
insolvency , enforcing contracts
and registering property. South
Africa needs to do a lot to rise up
in rankings in these areas where
it currently lags behind . In
addition , there are two areas
which are not covered by the
rankings , namely , availability of
skilled labour and crime, two very
important issues that the country
needs to address to demonstrate
that it is a good destination for
investment.
American help, possibly modelled
on the New York City experience
in crime reduction should be
considered. Tanzania is well
endowed in minerals , agriculture
and tourism potential. The
country will be looking for US
investment in a wide range of
sectors and in particular, in
mining and processing and
manufacturing the plethora of
raw materials for the domestic ,
regional and world market .
It would be looking to develop its
huge tourist potential in terms of
investment in facilities and
marketing the country to US
tourists. Investment in the
agricultural sector in a country
with a huge area and a wide
range of agro -climatic conditions
would be welcomed.
Agricultural production has been
stagnant because of low yields
even with this huge potential
and US support and investment
should be considered. Tanzania
is ranked 134 th in terms of ease
of doing business . In terms of
the individual indicators the
country ranks lowest in: dealing
with construction permits ;
registering property , paying
taxes ; resolving insolvency and ;
getting credit .
The country needs to take
measures to improve these and
other indicators to demonstrate
that it is open for business . It
has identified bottlenecks in the
infrastructure as priority in its
development plan. Efforts would
need to be made to continue and
escalate the fight against
corruption and in training to
ensure that a skilled workforce is
available if it is to continue its
rapid economic growth .
All three countries need to make
preparation for Obama ’ s visit so
that they can get the maximum
benefits . They must prepare an
agenda long before the visit to
ensure that Obama ’s team is
made up of the relevant staff and
potential investors . They need to
highlight the sound
macroeconomic and fiscal policies
that all of these countries have
put in place and measures that
they are taking to make them
more attractive to investors .
They need to highlight their
importance in terms of security
issues. This trip will hopefully be
the start of other African tours
and countries should try to gear
up for future visits by Obama .
Countries which could be next on
the list need to closely monitor
developments in the three
countries and prepare for visits .
Obama as a “change ” President
is likely to visit countries that
meet his progressive agenda and
America’ s interests .
Other countries need to find out
what are the prime motivators for
Obama to come calling . A country
with democratic, legal, press and
economic freedom , sensible
macroeconomic policies is likely
to attract Obama ’s attention and
if he decides to pay a visit it
could give that country an
opportunity to sell its attributes
to the world and attract investors
and tourists.
Obama is star attraction and
countries he visits need to make
use of the brand . Senegal, South
Africa and Tanzania must do
their best to get value from the
brand. This means doing an
Obama on Obama , who would
have done considerable research
on countries he is visiting.
They should do their homework
by letting him, members of his
team and business executives
know what their countries
priorities are ; do media
campaigns involving print ,
broadcast or digital slot to
engage a wider pool of potential
investors and policy makers and ;
get the home team aware and
prepared for the opportunities
before and when they meet with
the American team .
The emphasis must be on the
infrastructure , including physical ,
governance and education and
regional projects. Obama is keen
on infrastructure projects and so
he should be eager to discuss
how America can help build and
maintain Africa ’s infrastructure.
Obviously, he and his team and
business executives
accompanying them would need
to be convinced of the viability of
proposals, benefits to the US and
the position of the competition .
African countries must emphasise
that America is losing out in the
current scramble for the
continent’ s resources and that
the US needs to up its game .
Africa has got resources that are
in strong demand and other
countries, including China, India
and Brazil are taking a keen
interest in the continent . For
Africa the competition is good
and it would welcome America
taking an active role in
developing its resources. The US
has certain attributes that make
the country a good partner in
aid , investment, trade and
security.
The emphasis must be on
investment and trade , to explore,
discuss and decide on areas ,
projects and business deals by
African and American
participants in meetings. Other
African countries must take note
and try to be next on the list
which will give them a spotlight
and opportunities.
Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company
Dunia ina mambo mwanaume amuwekea mkewe padlock
Mume wake aitwaye Sohanial
Chouhan (38) alifikishwa polisi
baada ya kugundua kwamba alikuwa
ana tabia ya kumfunga kufuli mkewe
sehemu hizo kwa muda wa miaka
minne kwa madai kwamba
asingefanya hivyo angekuwa
anatembea nje ya ndoa.
Imegundulika kwamba Chouhan
alianza kumwenyesha mkewe
madawa ya kulevya na kisha
akatumia sindano kutoboa matundu
sehemu zote mbili za mlango wa uke
wa Sitabai kisha akaweka kufuli dogo
ambalo alilifunga kila asubuhi
akienda kazini, na kulifungua wakati
anaporejea.
Location : Address not available
Poudly supported by washari company
Gari ya wema sepetu yapata ajali
The same ndinga ambayo walitupia
kibendera cha logo ya kampuni ya
Wema Sepetu “Endless Fame”
wakiwa kwenye safari ya kuelekea
Dodoma kwenye launching ya new
season ya Clouds FM. Siku chache
zilizopita lipata ajali mbaya na mtu
aliyekuwa ndani yake alipata
majeraha kadhaa..gali hilo ambalo
mara nyingi linatumiwa na
PetitMan coordinator wa Endless
Fame lakini siku ya ajali hakuwepo
ndani yake na aliyekuwa
anaendesha ni jamaa anaitwa
Robby. Cheki hapo juu picha ya
kwanza ikimuonyesha Wema
pembeni ya hilo gari
baada ya kupata ajal washari
Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company
Gari ya wema sepetu yapata ajali
The same ndinga ambayo walitupia
kibendera cha logo ya kampuni ya
Wema Sepetu “Endless Fame”
wakiwa kwenye safari ya kuelekea
Dodoma kwenye launching ya new
season ya Clouds FM. Siku chache
zilizopita lipata ajali mbaya na mtu
aliyekuwa ndani yake alipata
majeraha kadhaa..gali hilo ambalo
mara nyingi linatumiwa na
PetitMan coordinator wa Endless
Fame lakini siku ya ajali hakuwepo
ndani yake na aliyekuwa
anaendesha ni jamaa anaitwa
Robby. Cheki hapo juu picha ya
kwanza ikimuonyesha Wema
pembeni ya hilo gari
baada ya kupata ajal washari
Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company
Subscribe to:
Posts (Atom)