Mume wake aitwaye Sohanial
Chouhan (38) alifikishwa polisi
baada ya kugundua kwamba alikuwa
ana tabia ya kumfunga kufuli mkewe
sehemu hizo kwa muda wa miaka
minne kwa madai kwamba
asingefanya hivyo angekuwa
anatembea nje ya ndoa.
Imegundulika kwamba Chouhan
alianza kumwenyesha mkewe
madawa ya kulevya na kisha
akatumia sindano kutoboa matundu
sehemu zote mbili za mlango wa uke
wa Sitabai kisha akaweka kufuli dogo
ambalo alilifunga kila asubuhi
akienda kazini, na kulifungua wakati
anaporejea.
Location : Address not available
Poudly supported by washari company
No comments:
Post a Comment