Tuesday, April 30, 2013

PADRI AKAMATWA AKIVUNJA AMRI SITA MKE WA MTU HUKO MOSHI

KANISA Katoliki Jimbo la Moshi
limeingia katika kashfa nzito baada
ya padri wake, Father Urbanus Ngowi
wa moja ya parokia zake kudaiwa
kufumaniwa na mwanamke
anayesemekana ni mke wa mtu,
Ijumaa Wikienda lina sakata zima.
Sakata la fumanizi hilo linadaiwa
kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita
chumbani kwa padri huyo, Marangu
Wilaya ya Moshi Vijijini ambako
Father Ngowi inasemekana alikutwa
‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo
aliyejulikana kwa jina la kijamii la
Mama P.
Pamoja na kunaswa huko, vyanzo
havijaeleza humo chumbani wawili
hao walikuwa wakifanya nini!
Habari zinadai siku ya tukio,
mwanamke huyo aliingia nyumbani
kwa padri huyo ambapo baadhi ya
ndugu wa mumewe walikuwa
wakimfuatilia baada ya madai
yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu
wenye maswali mengi na mtumishi
huyo wa Mungu.
“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba
Mama P na Father Ngowi wana
ukaribu wenye maswali mengi, mume
wake alifuatilia na kubaini ni kweli
lakini akashindwa kuutenganisha
ukaribu wao,” kilidai chanzo.
Chanzo kikaendelea kudai kwamba
baada ya kuona mkewe amejikita kwa
mtumishi wa Mungu, mumewe (jina
tunalo) alinyoosha mikono juu na
kumwachia Mungu.
Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya
ndugu wa mume kumfuatilia mpaka
anaingia kwa Father Ngowi, wakaona
ni bora watafute mpigapicha ili
kupata picha za tukio ambazo
zitakuwa ushahidi siku za mbele.
“Walipompata wakazama ndani,
sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta
mwanamke huyo na mtumishi wa
Mungu wapo kitandani.”
AWEKWA KITIMOTO
Habari zinadai kwamba kufuatia
tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki
limemweka kitimoto padri huyo
ambaye alikuwa akihudumu katika
Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini
kabla ya kuhamishwa na kupelekwa
Parokia ya Makomu, Marangu ambako
inadaiwa ameshushwa cheo.
Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo,
Father Ngowi alikana kukutwa na
mke wa mtu chumbani kwake lakini
alipobanwa sana na mabosi wa
Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi,
alikiri na kudai ibilisi alimpitia na
kuomba kanisa limsamehe na
kutompa adhabu kali ambayo
itamuathiri kisaikolojia.
Hili ni tukio kubwa na la aina yake
kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki
nchini kwa padri wake kudaiwa
kukutwa na mke wa mtu chumbani
kwake!
SIKU ZA NYUMA
Kuna madai kwamba mwaka jana
(2012), Father Ngowi, mbele ya
waumini wake alisoma barua yenye
kukana shutuma zote zilizoelekezwa
kwake kwamba amekuwa na ukaribu
wenye maswali mengi na wake za
watu.
Taarifa zilidai kuwa padri huyo
aliweka wazi akisema si kweli
kwamba amekuwa na ukaribu
unaotajwa, akawataka waumini wake
wapuuze tuhuma hizo alizosema zina
mwelekeo wa kuchafua sifa yake na
taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.
Hayo ni madai ya vyanzo vyetu
ambavyo viliambatanisha na picha
mbalimbali za tukio hilo lenye
kushtua waumini sambamba na
namba za simu za padri huyo kwa
ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.
IJUMAA WIKIENDA NA FATHER
NGOWI SASA
Baada ya kujazwa madai hayo, kama
ilivyo desturi ya Magazeti ya Global
Publishers likiwemo hili (Ijumaa
Wikienda), lilimsaka Father Ngowi
kwa udi na uvumba ambapo Ijumaa
iliyopita nyakati za mchana
lilifanikiwa kuzungumza naye lakini
kabla ya kufanya hivyo, kifaa cha
kunasia sauti kiliwekwa sawa na
mambo yalikuwa hivi:
Wikienda: Haloo, naongea na Father
Ngowi wa Parokia ya Korongoni,
Marangu, Moshi?
Father Ngowi: Naam ni mimi, nani
mwenzangu?
Wikienda: Naitwa…(mhariri anataja
jina), napiga simu kutoka Magazeti
ya Global Publishers.
Father Ngowi: Uko wapi?
Wikienda: Makao Makuu ya Global
Publishers, Dar es Salaam.
Father Ngowi: Eeh…unasemaje?
Wikienda: Kuna madai ya wewe
kukutwa na mke wa mtu chumbani.
Je, unaweza kunielezea kama ni
kweli na tukio lilikuwaje?
Father Ngowi: Siyo mimi.
Wikienda: Wewe siyo Father Urbanus
Ngowi?
Father Ngowi: Nimekwambia siyo
mimi, hao ni matapeli wanataka pesa
ndiyo wametengeneza hizo picha.
Wikienda: Kwa hiyo unataka
kuniambia hizi picha ni za
kutengeneza?
Father Ngowi: Nimekwambia hao ni
matapeli wanataka pesa.
Wikienda: Ulishaziona picha
zenyewe?
Father Ngowi: Sijui.
NGOMA YATUPWA KWA MKUU WA
JIMBO
Wikienda: Mbona tayari tukio hilo
linadaiwa limeshafika kwenye ngazi
ya jimbo, Moshi kwa Father Paul
Uria?
Father Ngowi: Muulize yeye ndiye
mkubwa wangu.
Wikienda: Basi nisaidie namba yake
ya simu ya mkononi.
Baada ya takribani dakika 10, Father
Ngowi alituma namba ya simu ya
Father Uria na mambo yakawa hivi:
Wikienda (huku kinasa sauti
kikiendelea kufanya kazi): Haloo…
naitwa …(mhariri anajitambulisha)
kutoka Magazeti ya Global
Publishers, Dar es Salaam, naongea
na Mkuu wa Jimbo Kanisa Katoliki,
Moshi, Father Uria?
Father Uria (kwa sauti yenye
unyenyekevu): Ndiyo.
Wikienda: Una taarifa za mtumishi
wako, Father Ngowi kunaswa na mke
wa mtu chumbani?
Father Uria: Kwanza mimi si mkuu
wa jimbo, ni mwakilishi wa mkuu wa
jimbo. Sipo mjini kwa sasa nipo
Kilema huku vijijini kwenye huduma
lakini nilikuta ‘missed calls’ zake
jana (Alhamisi) kwani ilikuwa
tukutane kwa sababu alishanijulisha
kuwa kuna tukio kama hilo
unaloniambia wewe.
NGOMA YAWA NZITO, YATUPWA LEO
JUMATATU
“Kweli tulikuwa tukae jana lakini
ikashindikana, leo (Ijumaa) ni
sikukuu (Muungano), kesho
(Jumamosi) na keshokutwa (Jumapili)
ni wikiendi. Kwa hiyo tutakaa
Jumatatu (leo) hivyo nipigie saa
10:00 jioni siku hiyo ili nikupe
maagizo tutakayofikia na mengine.
Wikienda: Lakini Father Ngowi
alikueleza tukio lilikuwaje?
Father Uria: Nimekwambia tukikaa
ndiyo tutajua kilichotokea. Wewe
nipigie hiyo saa 10 nikupe
kitakachojiri.
Wikienda: Shukrani Father Uria kwa
ushirikiano.
CHANZO:

Vilanova aonya

Vilanova: It's about the team, not
Messi
The Blaugrana coach has urged
supporters to get behind the team
as they look to secure a memorable
comeback from their 4-0 first-leg
deficit against the Bavarians
By antipastos
Apr 30, 2013 5:00:00 PM
Barcelona boss Tito
Vilanova has insisted
that his side will not
be relying on Lionel
Messi in their
Champions League
semi-final tie with
Bayern Munich on Wednesday.
The Blaugrana must overturn a 4-0
deficit from the first leg at the Allianz
Arena and Vilanova that the clash will
not in the four-time Ballon d'Or
winner's hands alone, while hailing
Gerard Pique's affect this campaign.
"When I said that without Pique we
would not be the same team, I mean
it. His season has been excellent. The
fact that we have conceded goals has
to do with the fact some players have
been injured," the 44-year-old told
reporters at a press conference on
Tuesday.
"We know how important Messi is in
our team especially when it comes to
scoring goals. The better he plays,
the better for the team. But we
cannot put all the pressure on his
shoulders, the rest of the team also
has to help him. Obviously Messi will
have a lot to say in tomorrow's
match."
Vilanova acknowledged that reaching
the European final would be difficult
but has faith that the catalunya club
can restore some pride following last
week's mauling in Munich.
"I expect that we will be ourselves -
that we will try to be better than
Bayern," he added. "We know we have
to score, I know we can do that.
"We should be ourselves - that is the
important thing. Scoring goals but
also playing good football. It is very
obvious we cannot concede, it will
make it that much harder, but we
have to get goals as well.
"The players are aware of the
difficulty of the match. We are
Barcelona and we cannot take this tie
for being lost already. If we do not
make it, we have to hold our heads
high, fight until the end and have our
fans feel proud about us.
"We know we need the fans. It is not
the same to have a quiet stadium
compared to a stadium full of people
cheering. Bayern had everyone
cheering for them and that helped
them without a doubt. But we cannot
always ask the fans for help, we also
have to give them something back in
return."
Vilanova also revealed that the tie
comes too soon for Javier Mascherano
to make his return from injury, and
explained that a decision over Sergio
Busquets' fitness will be made after
training on Wednesday.
"Mascherano will not be able to play
tomorrow. He needs six weeks to
recover and only four have gone by, so
he will not be in the team," he
added.
"Sergio Busquets and some others are
still suffering from minor injuries. We
will s

Familia ya bw.& bi HISPANIA wawaskitikia kuwatangazia vifo vya watoto wao wapendw REAL MADRID na BARCA vlvyotokea ktk nch ya ujeruman j'4 na j'5 ucku,mazsh yatafanyka J4 na J5 hii ktk makabur ya bernabeu na camp nou. Salam zwafkie Man Utd, Chelc, Man City, AC Milan, PSG, Arsenal, Juve ndugu jamaa na marafk. Pia taarfa znasema kuwa wa2 waliohusika na vifo hivyo wanatafutwa na polis ambao ni Muller, Ruben, Gomez na jambaz sugu LEWANDOWSK

Prayer for all who expect result

LET US PRAY : Oh! our heavenly LORD,we humbly cm 2 u espcly 4 dis tym whn we'r waitng 4 our 4m 6 rslts,may u guide us 2 persue as far as we expct so dat we may rcgnz our goals.Amen.....!

Wahi maisha ya chuo magumu

Online link open kwa kuombea mkopo wa Bodi ya mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu: http://www.wavuti.com/4/post/2013/04/online-link-open-kwa-kuombea-mkopo-wa-bodi-ya-mikopo-ya-wanafunzi-wa-elimu-ya-juu.html

Monday, April 29, 2013

Where r UN

Boroujerdi: Njama za USA huko Syria zimeshindwa: http://www.kwetubongo.com/boroujerdi-njama-za-usa-huko-syria-zimeshindwa/

LEMA KIZIMBAN

GODBLESS LEMA ATIWA MBARONI KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI: http://www.kwetubongo.com/godbless-lema-atiwa-mbaroni-kwa-tuhuma-za-uchochezi/

Sunday, April 28, 2013

Saturday, April 27, 2013

Samsung wampoteza Apple

market with South
Korea’s Samsung Electronics and LG
both increasing market share in the
first quarter of 2013, according to
UK-based researchers Juniper.
Taking Juniper’s research alongside
data from IDC it looks as though
Samsung now has almost double
Apple‘s market share in
smartphones.
Juniper Research estimates a 30%
year over year increase in
smartphone shipments with the
first quarter 2013 total reaching
almost 200 million.
Samsung sales are up from 63
million in Q4 2012 ( Apple
AAPL +2.15% ‘s sales declined over
the same period due to seasonal
factors). The company today
announced record profits buoyed by
continued strength in smartphones.
Revenues rose 17% to 52.9tn won
and operating profit was up 54%.
Net profit for the January-March
quarter grew by 42%. That’s
despite customers waiting on the
new S4. Figures also include a one-
off charge to settle the $600 million
due to Apple from the two
company’s legal dispute.
Researchers at IDC had slightly
different figures for Samsung and
Apple sales.
Juniper Research points out that
“Apple need to innovate, with the
next product release being critical
in maintaining their position as
innovation leaders. Apple will also
need to ensure that they are
attractive to emerging markets to
retain their title as global brand
leaders.”
Is that entirely true? Strategy
Analytics pointed out back in
February that Q4 sales data showed
the iPhone 5 became the most
popular smartphone on the market:
The research also shows that LG
and China’s Huawei both shipped
around 10 million units with
Europe’s Nokia and Canada’s
BlackBerry down at around 6
million. Samsung smartphone
shipments, however, grew 60%
year over year compared to Apple’s
6.6%.
The leading companies remain
Samsung and Apple by quite a
margin. The consensus over the
past few days, since Apple’s
earnings release Tuesday, is that
really new devices will not come to
market before 2014. That leaves the
iPhone 5 to hold the fort until then.
With the Galaxy S4 launching now
it looks like a tense six months for
Apple and its shareholders.
Follow me on Twitter
@haydn1701 or join me on
Facebook. I am here on Google
More on Forbes:
“ Samsung increased its smartphone
market share by shipping an
estimated 68 million smartphones
accounting for approximately 34% of
all smartphone shipments in the
quarter (increasing from 30% in the
previous quarter).
“ Market research firm IDC estimated
that Samsung shipped 70.7m
smartphones during the first
quarter, up 61% over a year earlier
and capturing 33% market share.
Apple, the second-largest
smartphone maker, sold 37.4m
iPhones. Its market share fell to
17% from 23% a year earlier, IDC
said.
“ “ Apple’s iPhone 5 smartphone
model shipped an estimated 27.4
million units worldwide during the
fourth quarter of 2012,” Strategy
Analytics analyst Neil Shah said.
“The iPhone 5 captured an
impressive 13 percent share of all
smartphones shipped globally and it
has become the world’s best-selling
smartphone model for the first
time ever.”

SHARE
EMAIL
Apple Fattens Payout To Soothe
Investors
Forbes     4/24/2013
Print Report Corrections Reprints & Permissions
From Around the Web
How Cruise Lines Fill
All Those Unsold
Cruise Cabins
New Tech Lets You
Learn a Language in
10 Days
Billionaires Dump
Stocks. Prepare For
Unthinkable. (See
How to Speed Up
Your PC - Tricks
Manufacturers Hate
Where to Find New
iPads for Under $40
How to Exercise Your
Brain to Make It
Strong
How Small Investors
are Making Huge
Returns Trading
Why Snoring Can Kill
- and How to Stop It ?
Author
Author
Author
Author
Author
Follow Comments
Hello Haydn,
I feel you should look at the leader
in total sales & total profits in the
smartphone industry. Even though
the percentage of total
smartphones sold are low, Apple
still enjoy 70% of all smartphone
profits. You can have growth in
third world countries in the
number of smartphones, but profit
generated is very low.
Samsung is in the mobile business
for the last 20 years and they sell
100 different electrical & Electonics
Products in 200 Countries.
Apple with just 2 or 3 products has
a annual revenue of more than
$165 billion in just 5 years selling
in fewer Countries then samsung.
Apple if it starts selling
smartphones in all the Carriers like
samsung, the total sales of Apple
would have doubled.
Apple is mostly interested in
maximizing profits in the
smartphone sector instead of
taking share in the low end market
where samsung has specialized in
the last 20 years in the mobile
industry.
When Apple will come with new
products like Apple TV, they will
take a huge share of profits from
the Smart TV Sector as well.
You should read the following
article to learn more about Apple
and their competition.
http://appleinsider.com/
articles/13/03/23/googles-android-
powered-by-remarkable-new-
flawgic
Reply
I agree – I bemoan the fact that
they earned all that money and
didn’t now what to do with it.
Taking the competition on more
aggressively could give them much
better longevity.
Reply
Why would you “bemoan” Apple
earning “all that money”? As a
shareholder, I think it is completely
awesome. I’ve watched my shares
go from $8 to over $400 in 10
years. If “taking on the competition
more aggressively” means following
the advice of the various
ambulance chasers, er, I mean
“analysts” you cite in this story, I’ll
pass and defer to the leadership
running the company for the past
10 years, thanks very much.
Reply
Life’s less rosy for those who
bought at $700.
Reply
Ah, Haydn’s weekly ant-Apple, pro
Samsung rant.
Here’s the Yankee Group’s latest
survey with contrasting
information, but you won’t see this
writer (or Forbes) attempt to inject
real journalism or balance into
stories that appear on these Web
pages:
Consumers Will Drive iPhone
Ownership Past Android Peak
(Yankee Group, Mashable)
http://www.yankeegroup.com/
ResearchDocument.do?id=60321
Reply
Surely, hdboy, a rant would be a
lot of hot air without data and a
considerable amount of bias. If you
read what I have written you’ll see
I also make the point that in the
iPhone 5 Apple has the world’s
best selling phone as of Q4 2012 ad
this may protect its reputation for
innovation.
Reply
Hi Haydn… in your opening you
suggest “It’s looking ominous in the
smartphone market…” What’s
‘ominous’ about the smartphone
market? Some of us think that the
market is pretty damn exciting… J
Reply
Yes, you’re right. I wanted to say
it’s looking ominous for companies
like Apple, Nokia and BlackBerry.
But I too find it exciting.
Reply
Do articles like this take in to
account that Samsung also makes a
hell of alot more models of
smartphones than Apple does?
Apple has one model, with three
generations available across the
major carriers, albeit there are
multiple memory sizes available.
Samsung has over 30 models across
all carries and generations. It
would stand to reason that they
should have more sales simply due
to the fact that there are more
available.
Reply
What do you mean by take into
account? BY the way – having more
available doesn’t mean more sales.
Reply
Post Your
Comment
Please log in or sign up to comment.
Forbes
writers have the ability to call out
member comments they find
particularly interesting. Called-out
comments are highlighted across
the Forbes network. You'll be
notified if your comment is called
out.
Comments
CALLED-OUT Expand All Comments Follow Comments
Its called selling cheap $50 so
called smartphones. Again look at
profits. Apple is till making the
majority of profits.
Reply
Steven O 1 day ago
Chris Paul 1 day ago
Called-out comment
Haydn Shaughnessy,
Contributor 1 day ago
Called-out comment
spaceageliving 1 day ago
Called-out comment
Chris, you are so on the money
here. When bloggers talk market
share, its clear to me that they
have NO IDEA what they are
talking about. Its just a number
that sounds good. And your data vs
what and where make it clear.
BOGO sales look good on paper but
they make little profit. Plus, Apple
talkes sales units, Samsung talks
shipped, then on sale at surplus
outfits everywhere for less than
cost. The numbers sound good but
make little sense.
Just a thought, Keep up the good
work spreading sense. :-)
Reply
More proof fan boys will pay
bloated prices for old technology.
Apple had a good run, they should
have kept up with Samsung
Reply
So you bemoan Apple earned too
much money and don’t know what
to do with it? Is it why you have to
trash Apple? We call that envy! We
buy Apple products because it
makes the best products, it has the
best and reliable support systems.
Quality comes first not quantity.
Samsung can launch one new cell
phone everyday, it is not going to
matter for consumers who use
Apple products. People I know who
can’t afford a new iPhone bought
Samsung galaxi’s, they end up
trading for a used iPhone, so far
not heard one that decide the
opposite.
Reply
eldernorm 1 day ago
Mike Mitchell 1 day ago
Maeva Yao 1 day ago
Haydn Shaughnessy,
Contributor 1 day ago
Called-out comment
I agree that Apple needs to be
aggressive. Apple has come with
new products almost every three
years. You will see a host of new
products starting this fall which
will double total sales in the next 3
years. They need the money to
innovate and to buy companies
strategically.
Reply
Hey Hayden, did your Samsung
check come in the mail today for
you and the other contributors at
Forbes?
You guys seem to be pumping them
out pretty quickly today.
Also, life is a little less rosy for
those that bought at $700 because
of all those analysts who couldn’t
wait to raise target estimates when
the stock kept going past their
original target estimates.
Plus all the analysts, contributors,
media who couldn’t wait to say
how great Apple was.
Look in the mirror and all your
‘media’ and wall street friends to
see who is the blame for the stock
drop.
Reply
Chris Paul 1 day ago
Dennis H 23 hours ago
hdboy 1 day ago
Called-out comment
Haydn Shaughnessy,
Contributor 1 day ago
Called-out comment
jhlundin 1 day ago
Called-out comment
Haydn Shaughnessy,
Contributor 1 day ago
Called-out comment
Absolutely… I cannot imagine the
discussion in the boardrooms of all
the other players notably Apple,
Nokia and Blackberry while they
are discussing how to counter the
size, tech prowess and
aggressiveness of Samsung… They
would be living the nightmare of
having awoken the sleeping giant!
Reply
Did you really put Apple into the
same sentence as Nokia and
BlackBerry?
iDiot.
Reply
jhlundin 1 day ago
Dennis H 23 hours ago
How many S3s did Samsung sell
compared to Apple’s 37 Million
iPhones?
Stop jumping around from one
figure to another. Looks to me like
you’re trying to confuse the readers
intentionally.
Reply
How many S3s did Verizon sell
compared to iPhones?
How many S3s did AT&T sell
compared to iPhones?
How many S3s did Sprint sell
compared to iPhones?
Stop confusing the readers and
skirting the real numbers.
Reply
Samsung can easily triple what
Apple is selling in iPhones. It’s a
very aggressive company that
wants to be top dog in the mobile
industry. They know what’s
necessary and will do whatever is
necessary to get there. They have
the means and they should utilize
those means. Apple is run by a
bunch of sleepyheads who don’t
seem to have any aggressive
tendencies and won’t do anything
to protect their market share.
That’s why Apple is going to lose
nearly everything to Android like
they did with Windows. Only this
time Apple could have easily stayed
on top with all that cash but
decided to coast and let even
smaller companies take market
share from them. All Apple wanted
to do was squirrel their cash into
some big useless pile. Apple
shareholders will be totally
screwed as Wall Street gives up on
Apple. It’s really a shame that
there are no Apple executives who
are willing to rise to Samsung’s
challenge.
Apple’s iPhone mobile domination
is history and that’s all there is to
it. Apple just threw it away.
Amazon is at the other extreme.
They keep pouring money back into
their business and continue
expanding. Investors think that’s
the best way to stay dominant.
Apple has enough money to start at
least two other businesses, but they
just don’t seem to care. Apple has
to waste money on a $5 billion
headquarters as if that’s going to
do anything for the company when
their mobile business disappears
over the next couple of years. If
anyone wonders why investors are
leaving and why Apple’s stock has
lost nearly half of its value and the
P/E is in the toilet, it’s because of
Apple’s lax attitude about holding
market share. Leaving a six month
gap in a new iPhone introduction is
like taking a nap in the middle of a
race. In the mobile industry
company fortunes are won or lost
in six months. Apple is going to be
ruined.
Reply
my roomate’s mother-in-law makes
$80 every hour on the laptop. She
has been out of work for 9 months
but last month her payment was
$17270 just working on the laptop
for a few hours. Read more on this
site
go to this site home tab for more
detail>>>> Big76 ℂℴℳ
Reply
Apple told me to tell you “Than you
very much”
Reply
Samsung’s name alone means
cheep crap.
Went to a HS sports/game and a
gent had one almost bigger than a
check book he said he liked the
screen but the phone was a pain in
the pocket and wished he had not
purchased it.
Quality and nice styling always win
out.
Samsung remindes me of the
curmmy hand held arcade games
your grandfolks would buy you at
Target/Walmart on sale with every
lousy half ass arcade game loaded
on it and you never picked it up
again because it was cheesey
and you wanted the real deal/
Apple.
Overseas greed from a country that
hates the USA.
TOO MUCH COFFEE MAN
Reply
lrd555 1 day ago
lrd555 1 day ago
Steffen Jobbs 1 day ago
gracejayden1 1 day ago
Anthony Alvarez 1 day
ago
Bill Smit 1 day ago
Christopher Polomis 1
day ago
Called-out comment
Haydn Shaughnessy,
Contributor 1 day ago
Called-out comment
1 2
NEWS People Places Companies
Haydn Shaughnessy
Contributor
Follow (694)
For the past 24 months I've been
writing about enterprise innovation
here on Forbes.com. I'll continue
doing that but increasingly from
your point of view - what it means
for you to innovate and be creative.
I used to edit Innovation
Management. My book, "The Elastic
HAYDN SHAUGHNESSY’S POPULAR
POSTS
Why The Apple vs Samsung Verdict
Is A Big Mistake 204,489 views
How to Be a Social Media Power
Influencer (And Why!)
171,922 views
Who Are The Top 50 Social Media
Power Influencers? 155,755 views
How Good Is The Samsung Galaxy
S4? Try Amazing 139,391 views
Does Google Glass Spell The End Of
The Smartphone Wars?
113,104 views
MORE FROM HAYDN SHAUGHNESSY
With $119 billion between them,
these 29 billionaires under 40 years
old have it made.
see photos
The 29 Youngest
Billionaires:
World's Richest
Under 40
see photos
The 10 Happiest Cities For Young
Professionals
How Wal-Mart Can Win The Online
Retail Battle Against Amazon
America's Richest Counties: Beltway
Takes Six Out Of 10
Real-Time Billionaires
2013 CRM Market Share
Update: 40% Of CRM...
+Active on LinkedIn
Follow (694)
Haydn Shaughnessy , Contributor
I write about enterprise innovation.
Follow 1k
H

Will I am ajib kashifa za wizi wa nyimbo Kwa habari zaidi click here

Will.i.am rebuts accusations of song theft

Kwa wanaotafuta job click here

http://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=441289 Nafasi za Kazi 70 Wiki Hii (22 - 27 April,2013)

Je wajua tatoo zinaweza sababisha ukimwi

BBC News - HIV and hepatitis warning over illegal tattooists

Wednesday, April 24, 2013

XAVI AWAKUBALI BAYER

kiungo nguli wa barcelona xavi hernandez usiku wa jana akizungumza na waandishi wa habari ameonyesha masikitiko yake na kusema yafuatayo

(Bayern munich walikuwa na kasi kuliko sisi na walicheza vyema kuliko sisi jana ulikuwa usiku usiosahaulika kwetu) aliongeza kiungo huyu bora wa kihispania. Jana barcelona ilicharazwa na Bavarians bao nne bila majibu na kuashiria kuwa hii inaweza kuwa safari yao nje ya mashindano hayo makubwa barani ulaya

Record zinaonyesha kwa zaidi ya nusu muongo ni kipigo kikali kabisa kuwahi kuwapata wakatalunya
hao

Monday, April 22, 2013

breaking news

kwa taaarifa zilizotufikia ni kwamba matokeo ya form six mwaka yanaridhisha na sio sawa na ya ndugu zao form four.

Habari ambazo studio imezipata kutoka
Kwa wadau mbalimbali wa elimu wanadai kiwango cha ufaulu kimepanda na hii ni habari njema kwa wote waliohitimu


an

Saturday, April 20, 2013

antipas (Audio) MADEE - SIO MIMI

DJCHOKAblog: (Audio) MADEE - SIO MIMI

antipas (Audio) MADEE - SIO MIMI

DJCHOKAblog: (Audio) MADEE - SIO MIMI

DJCHOKAblog: (Audio) MADEE - SIO MIMI

DJCHOKAblog: (Audio) MADEE - SIO MIMI

NOLNIZ: Download | Diamond Platinum - Mapenzi Basi [Audio]

NOLNIZ: Download | Diamond Platinum - Mapenzi Basi [Audio]

duuuuu hi ni hatari baba hatosheki na mama mpaka mwana Sumbawanga. Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Mpanda, katika Mkoa wa Katavi, imemhukumu Abisai Joseph (40) wa Mtaa wa Kigamboni, kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake. Hukumu hiyo kesi hiyo iliyovutia watu wengi wa mji ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Chiganga Tengwa.Ilidaiwa kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Desemba 18 mwaka jana, akiwa nyumbani kwake. Mwendesha Mashtaka, Ally Mbwijo, aliileza mahakama kuwa siku ya tukio, Abisai alimbaka mwanaye wa umri wa miaka sita. Alidai kuwa mshtakiwa alifanya hivyo baada ya kumvizia mtoto huyo wakati alipotoka nje kwa lengo la kujisaidia haja ndogo Aliiambia mahakama kuwa baada ya kumaliza kumfanyia kitendo hicho cha kinyama, mtoto huyo aliingia ndani huku akilia, jambo lililoshtuma mama yake na kumuuliza mumewe, kulikoni. Mwendesha mashtaka alidai kuwa katika majibu yake, mshtakiwa alidai kuwa alimkuta mtoto nje akibakwa na mjumbe wao wa nyumba kumi Alidai kuwa baada ya maelezo hayo, mama wa mtoto alikwenda kwa majirani kutoa taarifa na kwamba majirani walimshauri waende kutoa taarifa polisi. Mbwijo alidai kuwa katika maelezo yake polisi mtoto huyo alikana kubakwa na mjumbe na kwamba kitendo hicho kilifanywa na baba yake mzazi Abisai Joseph Katika kesi hiyo upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi wanne akiwemo mtoto mwenyewe aliyebakwa na mshitakiwa hakuwa na shahidi yoyote

WAZEE WA IT INSTALL WHATSAPP KWA IPHONE BILA KULIPA Dear wana jamii maelekezo haya yatakuwezesha kudownload whatsApp for your iPhone free of charge (Mimi binafsi nimetoka ku download sasa hivi Step One ; Launch Cydia by tapping on Cydia icon from your Springboard. Step Two ; Here’s Welcome screen of Cydia. Tap the Manage tab available at the bottom of the screen. On the next screen, Tap on Sources section to get the list of Cydia sources. Step Three ;Here you will see the list of Cydia sources “Entered by User” and “Installed by Packages”. Tap on Edit button on the top right. After that you will see the Add button appears at the top Left of the screen. Step Four ; By Tapping the Add Button as shown above, “Enter this Adress http:// repo.hackyouriphone.org After entering the Cydia Source press Add Source button. It will start verifying the Source URL. Step Five Wait until Cydia download and update the sources list. When done! Press the big Return to Cydia button. Now you can see, there’s a new Source/Repo added to Cydia Sources. By Tapping the newly added Source you will find list of packages available in that source. Now ukifika hapo go to search tab and search for vshare, then install it follow instructions like reboot etc Baada ya hapo utaweza kuiona vshare icon kwenye screen yako open it, inafunguka kama Appstore then search for whatsApp baada ya hapo you can download it for free plus other Applications ambazo zinauzwa Appstore. (Hackulo.us) Instalous is no longer existing so this is the best alternative for downloading whatsApp Share

ALICHOSEMA MDHAMINI WA KESIYA DIAMOND! Posted: 7th February 2012 by MillardAyo in News Tags: edo, msanii DIAMOND 3 DIAMOND AUCHUNA KUTOA JIBULA BARUA KALI! Posted: 2nd February 2012 by MillardAyo in News Tags: msanii DIAMOND 9 MSANIII DIAMOND APEWA SIKU21. Posted: 26th January 2012 by MillardAyo in News Tags: msanii DIAMOND 3 DIAMOND akiwa MAHAKAMANIJANA! Posted: 10th January 2012 by MillardAyo in News Tags: msanii DIAMOND 23 POSTS TAGGED ‘MSANII DIAMOND’ Siku kumi na mbili baada ya mwanasheria wamwandishi Francis Godwin anaedai kupigwa namsanii Diamond kutoa siku 21 kwa msanii huyokulipa faini ya milioni 30 kwa mwandishi huyo,mdhamini wa Diamond alikua nae toka mwanzowa tukio Eddo Bashir ambae ni mkazi wa 92.9 Iringa, ameamplfy kwamba mpaka sasa bado yeyena Diamond [...] Wiki moja baada ya kumuandikia barua kali msaniiDIAMOND barua ambayo inamtaka msanii huyokumlipa shilingi milioni 30 mwandishi FransicGodwin wa Iringa kama fidia baada ya kumpiga nakumuharibia vifaa vyake pamoja na kumdhalilisha,mwanasheria wa mwandishi huyo amesema mpaka sasa DIAMOND hajajibu chochote baada yakupokea barua hiyo. Mwanasheria huyo PaulLekamoi amesema [...] Wiki mbili baada ya hukumu ya kesi ya kumpigamwandishi wa habari inayomuhusu mwimbajiDIAMOND PLATNUMS kusomwa, na mwimbaji huyokuamriwa na mahakama ya Iringa kumlipa fainiisiyozidi laki moja mwandishi huyo, leo ishunyingine mpya imeibuka. Ishu yenyewe ni kuhusu mwandishi huyo Francis Godwin wa area 92.9kutoridhika na maamuzi ya mahakama, na sasa [...] Social Connections Facebook

beki kitasa wa bundersliga aiweka man united na mancity kwenye cold war The reigning Premier League champions are understood to have already opened negotiations with the Greece international's current club, Schalke, and are close to reaching agreement over a move when the transfer window reopens on July 1. Roberto Mancini has identified the 21-year-old as a player that can strengthen his back line, with Joleon Lescott and Kolo Toure both linked with Etihad Stadium exits this summer. Lescott has fallen behind Matija Nastasic in the first- team pecking order while Toure is out of contract at the end of the season, meaning Vincent Kompany will be the only other recognised centre- back alongside Nastasic, should both players move on. Manchester City will face competition for Papadopoulos's signature, though, with local rivals Manchester United also believed to be monitoring his development in the Bundesliga. Sir Alex Ferguson might look to bring the Schalke star to Old Trafford as he continues his search for a long-term replacement for Rio Ferdinand, while there are some doubts that still remain over the long-term fitness of Nemanja Vidic. Papadopolous is under contract in Germany until 2016, but with a £17million buy-out clause written into his existing deal, both Manchester City and Manchester United know the size of fee it will take to activate a direct transfer tussle. AC Milan have also been mooted as potential admirers of the Greek defender, who has been capped 16 times by his country, though a big- money move to the Premier League looks like the most likely option.

Friday, April 19, 2013

kumbe messi anamkubali ronaldo wasikilize apa Leo Messi : ''Cristiano Ronaldo is the Best header of the ball right now. And SPEED is one of his rare qualities which makes him more Powerful than others.'' Cristiano Ronaldo : ''Messi's Left footed works are really Amazing. He has a Great ability to dribble with Left foot.''

downloard nyimbo ya 2 face apa One of Nigeria’s living music legends, 2FACE drops the remix of his previously released video for – DANCE FLOOR but this time, the song features two of Africa’s finest - Sarkodie from Ghana & Cabo Snoop from Angola. If you think you are through with the dance floor, think again because the Dance Floor Remix will get you back there over and over again. Let 2Baba, Sarkodie & Cabo Snoop take you to where it is happening… Enjoy! Here is the link http://iroking.com/track/12805/ dance-floor-remix-ft-sarkodie-cabo-snoop

Necta TEGEMEO LA SERIKALI KWA WATAHINIWA WA DIVISION ZERO. "TEARI TUMESHAKUBALIANA NA WIZARA ZOTE ZA ELIMU, YAANI YA TANGANYIKA NA ZANZIBAR YA KUWA WATAHINIWA WOTE AMBAO WANA DIVISION ZERO WARUDIE MITIHANI BILA YA MALIPO YOYOTE. NA KWA WALE AMBAO TEARI WAMESHALIPA, BASI WATARUDISHIWA MALIPO MIEZI MITATU KABLA YA MTIHANI WA TAIFA KWA MWAKA 2013 KUFANYIKA. TUNASHUKURU JUMUIYA ZOTE ZA KIMAENDELEO YA KIELIMU KWA KUSHIRIKIANA NA SISI MKONO KWA MKONO KATIKA KUFANIKISHA HILI" HAYAO NI MANENO YA WAZIRI WA ELIMU AKITANGAZA RASMI KWAMBA WALOFELI WATARUDIA MITIHANI BURE

Finally Huawei E173 za Airtel zinaweza kuwaunlocked, Njia ni kama ya E153 Aliyoweka e2themiza sema kuna changes kidogo. Njia yenyewe ni hii hapa: TAFADHALI SOMA POST YOTE NA UELEWE KABLA HUJAANZA PROCESS NA KUWA MAKINI SANA KWANI UKIKOSEA KIDOGO TU UNAWEZA UWA MODEM YAKO. Download na Extract File nililoambatanisha napost hii. Anza ku install QPST.2.7.378. Ikimalizausiifungue. Then Chomeka modem yako, weka line ambayohaikubaliki ktk hiyo modem, itatokea dashboardna error kuwa huwezi tumia hii simcard click okna exit hiyo dashboard hakikisha unaifungakabisa.Sasa nenda Device Manager> Ports locate modem yako kisha soma COM port yake Sasa search ile software ulio install QPST nafungua QPST configurationStart Menu > Programs> QPST Then click add new port, ile ulio iiangalia katikadevice manager Uncheck "Show serial and USB/QC DiagnosticPorts only. ili zionekane port zote na uione yakokisha Ichague na click ok. Kama umechagua port sahihi then lazima utonaimeandikwa hivi Kisha angalia juu kwenye Tabs na chagua StartClients then chagua Software Download Sasa uhai wa modem yako unategemea hii stage tafadhali kuwa makini sana. Click Back up tabkisha click browse kulia kwako na uchaguelocation ambapo itasave backup yako, then clickstart na iache imalize ku backup. Kumbukakuhakikisha imemaliza salama na Backup yako(.qcn) ipo ktk location uliyochagua kabla ya kuendelea na stage zinazofuata. Kufikia hapaawamu ya kwanza itakuwa imeisha, Chakufanyaifunge kabisa QPST kabla ya kuendelea . Sasa connect Computer yako Internet kwakutumia simu au modem ambayo sio Huawei,hata kwa njia nyingine kama ipo.Then Fungua Huawei Modem Flasher, Ifungue naangalia kushoto kwako na chagua COM port yaModem yako, ushofu utaona COM port ni tofauti but utaona imeandikwa “3G PC UI interface” Then Click Read Modem Info Tab. Itasoma modeminformation na itasema OK ikimaliza, kamaitaandika FAIL ujue una tatizo katika Internet aumodem yako haijaunganishwa vizuri au modeminatumika na sehemu nyingine. Then kisha angalia katika tabs juu na chagua"Select Firmware" Then chagua extract from EXE.Itafunguka window, sasa locate firmwareambayo ipo folder ulilo extract kabla file nilioambatanisha, "E1731Update_11.126.15.00.00.B416" Then itaonyesha kama ifuatavyo Uncheck 05.bin kama hivi Sasa rudi katika tabs juu na sasa chagua tab"Flash Modem" then chagua "Normal Mode" ,Subiri kidogo then kuna kibox kitatokea just clickOK, Baada ya modem kuingia katika Downloadmode (yani subiri km sekunde 10 hivi ndo U clickOK otherwise Itakupa msg yakuwa ime FAIL). Sasa subiria wakati firmware mpya ikiwekwakatika modem yako Kumbuka lazima utapata error katika 07.bin, Hiyoni kawaida wala usiogope. Subiri kidogo thenitakuwa imemaliza, close hiyo Huawei ModemFlasher Sasa chomoa na chomeka modem yako. Utaonahaina uwezo wa kukamata tena network kwasababu imepoteza IMEI so inabidi tufanye restore.Kufanya restore Rudia zile step za mwanzo kwakufungua QPST configuration then add com port,Halafu tunaenda software download, lakini badala ya ku click backup tab, click restore tab.Then click browse na chagua backup filetulilotengeneza mwanzo. Then click Start na acha irestore, Baada ya muda mfupi itakuwa imemaliza. Ikimaliza unaweza funga QPST, then chomoa nachomeka modem yako. Kama utakuwa umefuatastep zote kwa umakini modem yako E173itakuwa Permanently Unlocked na unawezatumia mtandao wowote sasa. Kumbuka IMEIimerudi ile ile kama mwanzo. Ukifanikiwa usisite kutoa Feedback na pia kamautapata shida yoyote ile sema. Note:Njia ni salama kabisa nimesha unlock modemzaidi ya tatu na zinapiga mzigo kama kawaida.Kumbuka kuwa makini kwani unaweza uwamodem yako moja kwa moja.Mimi sitahusika na uharibifu au tatizo lolote litakalojitokeza Just Risk Yourself. Attached:

diamond kazidi