Friday, May 31, 2013
Tigo pesa yazidi kufana sasa unaweza kulipia ticket yako kupitia tigo pesa
Bw William Mpinga na Tim Lee Foster
(kati ya picha) wakipiga picha ya
pamoja na wakilishi kutoka kampuni ya
Tigo na fastjet Tanzania mwishoni wa
unzinduzi wa huduma mpya inayo
wawezesha wateja.JPG
Meneja wa chapa ya tigo , Bw William
Mpinga ( Kushoto) akiwa na Meneja
Mkuu wa fastjet Tanzania , Tim Lee
Foster (kulia) wakati wa uzunduzi wa
huduma mpya ambayo itawawezesha
wateja wa Tigo ku.JPG
Waandishi wa habari kutoka vyombo
mbalimbali wakiudhuria press
conference ya uzinduzi wa huduma
mpya inayo wawezesha wateja wa Tigo
kununua tiketi ya ndege za fastjet
kupitia huduma ya Tigo P.JPG
Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company
Thursday, May 30, 2013
P funk adai depresion ndo sababu ya ngwear kujiingiza kwenye madawa
4
P-Funk: Mangwea
alijiingiza kwenye
utumiaji wa madawa
ya kulevya kupunguza
mawazo
May 30, 2013
Producer P-Funk Majani
amefunguka na kusema kuwa
marehemu Albert Mangwea
alijiingiza kwenye utumiaji wa
madawa ya kulevya ili kupunguza
mawazo. Majani amesema kwa
muda mrefu alikuwa akijaribu
kumweka chini Mangwea
kumuonya kuhusu matumizi ya
madawa hayo lakini alikana
kuyatumia.
Ameongeza kuwa anajilaumu
kwakuwa alishindwa kufanikiwa
kumuondoa rapper huyo kwenye
matumizi ya madawa ya kulevya.
“I knew already from 2006
kulikuwa na watu wanaongeaga
kwamba anatumiaga madawa ila
kila nikimkadamiza nimweke
kwenye kiti nimwambia Ngwair
you are using ‘ohh P don’t bring
that shit you are accusing me
and I always said ‘Ngwair come
on’, amesema Majani kwenye
video aliyorekodiwa na mtandao
wa GongaMX.
“Kumbe miaka yote hiyo maskini
alikuwa anatumia. Na I look in
myself and I ask myself what is
the reason for him to do this it
was because psychologically he
was unstable. Mangwea ni mtu
ambaye amefanya vitendo
vikubwa hapa nchini lakini ile
faida na support a ukweli
hajaipata,” aliongeza.
“Ukiangalia wasanii wengine wa
Bongo Records akina Juma
Nature, Profesa Jay they got more
leverage but Mangwea was a very
big artist, he made one of the
best ever albums in Tanzania till
to date. I think that’s what drove
him slowly in depression and
people don’t use drugs unless
they are depressed. Kwasababu
mimi situation kama hiyo
ilishawahi kunifikia.”
Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company
Juhudi za wabunge wa Kenya kuongezewa mshahara zaingia doa
Mahakama nchini Kenya
imesimamisha utekelezaji wa
nyongeza ya mishahara ambayo
wabunge wa nchi hiyo
walipendekeza kujiwekea. Chama
cha mawakili nchini Kenya
kiliwasilisha ombi la kutaka
kuwekewa amri ya kisheria wabunge
hao siku moja baada ya wabunge
hao kupiga kura ya pamoja kutaka
wajoingezee mishahara.
Wanaharakati wamekuwa wakipinga
jaribio hilo huku wakiandaa
maandamano katika barabara za jiji
la Nairobi wakimuomba rais
asiidhinishe kura hiyo.
Hapo jana Rais Uhuru Kenyatta
aliwafokea wabunge hao kwa uamuzi
wao huku akisema kuwa mishahara
ya wafanyikazi wote wa Umma
inadhibitiwa na tume ya mishahara
iliyoundwa.
Kwa upande wao wabunge hao
wameishutumu tume hiyo wakidai
kuwa ilivuka mpaka wake
kupendekeza wapunguziwe
mishahara yao kwa takriban asili
mia hamsini kutoka dola elfu kumi
kwa mwezi.
Wabunge hao wameelezea hasira
zao juu ya tamko la Rais Uhuru
Kenyatta na tume ya kudhibiti
mishahara ya maafisa wa serikali
ambao wanasema waache vitimbi
vyao vya kutaka kuongezwa
mishahara.
Wanatishia kubadilisha sheria ya
idadi ya maafisa wanaoweza
kuhudumu katika tume za serikali
hadi watatu , kupunguza mishahara
ya maafisa wa serikali kwa asilimia
hamsini na saba na kuwaondolea
wananchi wanaopata chini ya
shilingi elfu hamsini kama ajira
uwezo wa kutozwa kodi.
Wabunge hao hata hivyo hawaoni
ubaya wowote wa kulalamika kuwa
mishahara yao inapunguzwa
wakisema wanasubiri tume ya
bunge kuwalipa mishahara yao ya
laki nane na hamsini kutoka laki
tano
Location : Kisinane Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company
matokeo ya kidato cha nne yatoka yaangalie hapa
Dark master akana kauli yake kuhusu kifo cha m2 p
Mwanzilishi wa uvumi wa kwamba Aliyekuwa na Albert mangwear msanii m
wenzke M2p amefariki dark master si zavkweli na yeye alizisikia kwa rafki yake ambaye Yupo bondeni samahanini watanzania get well soon m2 the p
Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company
Haya miss Tanzania disk tusemejr
Mchungaji afedheheswa baada ya kufumaniwa live na mwanakwaya
Habari zilizoripotiwa na mtandao wa
Kenyan-Post zinasema msichana
huyo mweye miaka 23 amekuwa na
mahusiano ya muda mrefu na pasta
huyo kabla hawajabambwa.
Kisa hiki ni kama movie ambazo
tumezoea kuziona zenye story line
ambayo unaweza kutabiri mwisho
wake.
Kwa mujibu wa mtandao huo, ile
‘siku ya 40’ mke wa pasta huyo
alikuwa anatarajia kusafiri kwenda
nyumbani kwao kusalimia wazazi
wake hivyo mumewe alimsindikiza
mpaka kituo cha basi, lakini
alionekana kuwa mtu mwenye haraka
na kumwambia mkewe kuwa siku
hiyo ana mkutano muhimu hivyo
anapaswa kuwahi. Baada ya
kumfikisha kituoni aligeuza gari kwa
haraka na kuondoka.
Huku nyuma mke wa pasta kwa
bahati mbaya (upande wa pasta) na
bahati nzuri (upande wake)
aligundua kuwa amesahau zawadi
aliyokuwa amemnunulia mama yake
mzazi ambaye ndio anaenda
kumsalimia hivyo ikabidi airudie
nyumbani kisha asafiri na basi
litakalokuwa linafuata.
Alipofika nyumbani anapoishi na
mumewe alishangaa kukuta mlango
haujafungwa kwa nje na huku
anakumbuka walipoondoka
waliufunga hivyo akahisi huenda
wamevamiwa mchana kweupe,
alipojaribu kuusukuma ulikuwa
umefungwa kwa ndani ndipo
alipoomba msaada wa majirani
wakavunja kitasa na kuingia ndani.
Mama huyo alipigwa na butwaa kwa
kile alichokikuta ndani baada ya
kumkuta msichana anayemfahamu
kuwa kiongozi wa kwaya ya kanisani
la mumewe wakiwa uchi wa mnyama
katika kitanda chake na mumewe.
Maamuzi aliyochukua ni kuwavamia
kitandani na kuzitupa nje kupitia
dirishani nguo zao wote lakini kwa
bahati mbaya msichana
aliyemfumania alifanikiwa kukimbia
na kumuacha pasta mwenyewe.
Huwa wanasema hasira ni hasara na
maamuzi ya hasira hugeuka majuto
baadae, baada ya mmbaya wake
kukimbia aliamua kumvuta mumewe
(pasta) akisaidiwa na watu
wengine akiwa uchi wa mnyama na
kumtembeza mbele ya umati wa
watu mpaka katika kanisa analotoa
huduma pasta huyo kwa lengo la
kufichua mabaya yake.
Bahati nzuri alijitokeza mwanaume
mmoja aliempatia shati lake ili
ajisitiri.
0
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Wednesday, May 29, 2013
MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA KUZIKWA MOROGORO
Ajali ya kutisha yatokea mzee mmoja apitoteza maisha
Ajali imetokea sasa ivi eneo la ity kwa kisawio ambapo mzee kapoteza Maisha
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Jide aahirisha show
ameahirisha
onesho (show) yake ya miaka 13
ambayo ilikuwa ifanyike Ijumaa
tarehe 31 na kulisogeza mbele
katika tarehe itakayotajwa baada ya
maziko ya Mangwea.
Jide aliyasema hayo akitokwa na
machozi na mwenye huzuni nyingi
asubuhi ya leo alipohojiwa na East
Africa Radio katika kipindi cha
SUPER MIX na mtangazaji
"Zembwela."
Location : Address not available
Posted via Blogaway
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
M to the p afufuka
Habari kutoka Johannesburg ni
kwamba M to the P yuko hai na
ameanza kuongea taratibu.....oo
oops.....watu walishamuua. Atleast
tunaweza kujua nini kilimtokea
Ngwear....Na pia nadhani M to the P
ashakuwa Star.....
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Medical report ya kilichowauwa mangwear na m2p hii hapa
Helen Joseph Hospital - Auckland
Park, Johannesburg, South Africa.
The Medical report from Helen Joseph
hospital, Dr. Shirley Radcliffe
confirming that; Albert Mangwair
died from: “Alcohol toxicity” after
drinking too much, Over-exhaustion
and drugs overdose. The inquest
heard that Albert 28, collapsed in his
friend's home had been more than
five-times the legal S.A drink-drive
limit with 416mg of alcohol per 100
millilitres of blood in his system. Dr.
Radcliffe described the
reasons for ICU admission included
hypoxemia and one of his friend
found “two empty vodka bottles in
the car” and he had been suffering
from the eating disorder (Bulimia)
for several months before his death
and endless partying session with
little or no resting. Sample taken
from his stomach showed poly-drug
cocktail and he overdosed Heroin,
Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms
was also found in his blood, and his
death was caused by massive heart
attack and respiratory failure followed
by sudden heart stop...and end up
dead within seconds.
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Kaka wa coobama kuelekea south Africa
Kaka mkubwa wa
marehemu kusafiri leo
kuufuata mwili wa
Mangwea Africa Kusini
admin May 29th, 2013
0 Comment
Habari zilizopatikana muda huu
zinasema kuwa familia ya Mangwea
inajipanga kutuma ndugu kwenda
Africa Kusini leo (May 29) kwaajili ya
kufanya utaratibu wa kurudi na
mwili wa Marehemu Albert
Mangwea.
Akiongea na Bongo5 muda mfupi
uliopita dada wa marehemu aitwaye
Evelyn, amesema kuwa anahitajika
ndugu wa marehemu asafiri kwenda
Africa Kusini kwaajili ya kufanya
utaratibu wa kurudi na mwili,
sababu kule hawawezi kumtoa na
kumsafirisha bila ndugu yake wa
karibu kwenda.
Kwa Mujibu wa Evelyn familia iko
katika mipango ya mwisho ya safari
hiyo ambayo kaka yao mkubwa na
Mangwea ndiye anayetarajia kusafiri
leo hii (May 29) kwenda South Africa
kuufuata mwili.
“Habari mpya ni kwamba mtu atoke
hapa Tanzania aende akachukue
mwili kule hawawezi kuconfirm yaani
kumtoa kumsafirisha bila ndugu yake
wa karibu kutoka huku, kwahiyo ndio
process zinafanywa, kaka yake
mkubwa ambaye ni kaka yetu atoke
hapa aende South, ndio nadhani
atarudi na huo mwili. Ataondoka leo
hii hii muda wowote na wakati
wowote, “Alisema dada wa
marehemu Albert Mangwea.
Msiba wa rapper kipenzi cha wengi
Ngwea uko Mbezi Beach Goigi kwa
baba yake mdogo , ukishuka goigi
ukiulizia kwa mzee Mangwea kwenye
msiba utaelekezwa. R.I.P
Brother
0
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
M 2 the p amfuata ngwear
BREAKING NEWS: M2 THE P NAYE
AFARIKI DUNIA
Taarifa zilizothibitishwa kutoka nchini
Afrika Kusini ni kwamba yule msanii
aliyepelekwa hospitali pamoja na
Mwana Hip Hop, Albert Mangwair
aitwaye M to the P naye amefariki
dunia leo. M to the P alipelekwa
katika hospitali ya St Hellen iliyopo
jijini nchini humo kwa matibabu
baada ya kukutwa amepoteza
fahamu akiwa na Mangwair aliyefariki
dunia jana.
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
P funk aongeza joto cloudz
BREAKING NEEEWS :::
JOTO HASIRAAAAAAAA LAZID KUKOLEA
JOTO
" Staki kusikia nyimbo zote za
marehemu ALBERT
MANGWEAR alizorekodi BONGO REC
zikipigwa CLOUDS FM kuanzia sasa"
Muda mfupi uliopita nilipokea simu
kutoka kwa Producer mkongwe hapa
bongo anajulikana kwa jina la P Funk
Majani na kuniomba nipokee msg hii
hapa chini na kuwaomba watanzania
walijue hili na baadae atatoa barua
rasmi.
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Tuesday, May 28, 2013
Mabeste kuanza kufanya mziki wa gospel
Msanii wa muziki wa kizazi kipya
aliye chini ya B’Hits Music Group,
Mabeste ameamua kubadilika
kidogo na kuongeza wigo wa
nyimbo anazofanya ambapo sasa
atakuwa akifanya pia kwenye
muziki wa gospel.
Akiongea na Bongo5, Mabeste
amesema ameamua kuimba
gospel kwakuwa ndio muziki
unaogusa mambo ya kijamii na
kuelimisha na rap itabaki kama
biashara.
“Nimefanya kufanya rap a
commercial lakini sasa nina
design nyingine ya muziki
ambayo nataka kuimba ambayo
itakuwa inahusu kijamii as
kuelimisha zaidi kama gospel
ndiyo kitu ambacho sasa hivi
nataka nikifanye na nitarealese
haina hata miezi miwili, ambayo
itakuwa kwenye aina ya gospel.” bongo5
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Download Kali za ngwear hapa
Click hapa umuenzi ngwear
http://mp3yeah.net/mp3/ngwair.html
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Download hit song za cowobam! Hapa
Huu ubunifu wa cowobama tutaumiss em mchek hapa kwa CNN
Kesha ka.. kesha kesha
Kesha ka.. kesha kesha (yeah)
Eyo Q, hakuna kitu tunafanya zaidi
ya ku..
Kesha ka.. kesha kesha
yani tuna yaani
Kesha ka .. kesha kesha
haha tuna
Kesha ka .. kesha kesha (yeah)
Bongo Records baby Holler!
Kesha ka .. kesha kesha
kama mifuko ndo imejaa zaidi ya
ATM
then tuko..high zaidi ya KLM
then tuna kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha
Ke kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha X2
Usiniite half-man, niite man and a
half
u think small, and you'll remain
small for life
Hatuwezi piga same instrument
but we can all be in the same
key.. son
Experience makes a person better
or bitter
naeza flow slow but brain inaeenda
speeder
nasamistrain kama pain
inavyoumiza
na gain tu kila mida complain
nazimaliza (what else?)
Naulenga mwezi na Jua hata
nikiukosa nitatua tu juu ya nyota
na mambo yatakuwa shkopa
Boss Fid kasema you need to try, ye
so Police
so please ni Halali sikatai, wala
usimdiss kama MCs hata ukimrithi
baadae
muulize weeds kama fid wa
squeeze na showbiz defined
masnitch wanamdiss fid afu song
yenyewe nishai
hawa see jinsi nnavyo *flow ka Gs
Rewind**
kama mifuko ndo imejaa zaidi ya
ATM
then tuko..high zaidi ya KLM
then tuna kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha
Ke kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha X2
Bastola cash and.. toa code someka
wapi lipo bata wapi leo
kinaeleweka, napesa mingi mpaka
natamani jiteka
then watu wapo king.ston ka
Jamaica
ni ma model, madodo waku roll na
ma Gangasta
Divas and Hustlers, Paper Chasers!
Nani anaeza piga ngoma kali ka
hii???... me!
Nani anaeza gonga beat nzito ka
hii?? ... P!
Yeah you know that ni Bongo
Records true na Q east zoo tu juu
au si skii
Usipime hizi records ,ziko heavy
place nothin above it man, you
gotta love it man!
Leo ni mwendo wa gambe tu na
Malavidavi na warembo wakali
matata ka Flavi.. (what?)
Tunapata zetu couple of rounds
then ..yeah.. we outta of the town!
kama mifuko ndo imejaa zaidi ya
ATM
then tuko..high zaidi ya KLM
then tuna kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha
Ke kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha X2
watu wana dough, yo mpaka soo
na bado daily wanaget more
kwa mishe na kali flows!
watoto wa mama wana blow
dada zao they **cursey curvy**
wataka tuwe wao baby daddys
wapate... ya ki gangsta ki
hardcore!
tukikesha kama CNN
Kwa kukesha na kula bata, tuko so
allergic
kwa watoto wa geti kali, we are so
magnetic
Mapedeshee wanapigwa tu mitama
counter
si tunazidi chafua bedsheets za
mama zao
tunajikinga japo wanamaindi kuzaa
na si
wanathamani ya Diamond na
tunawabeba for free
issue zote unasimamia playboy
anaunderstand
na leo kesho akizingua unatake her
bestfriend
kama mifuko ndo imejaa zaidi ya
ATM
then tuko..high zaidi ya KLM
then tuna kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha
Ke kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha X2
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Habari za uhakika kuhusu kifo cha ngwear
ripoti kamili
Taarifa Nilizo Pata Kutoka South
Africa Kutoka Kwa Hussein
Original Ambaye Yupo Pretoria
Amesema Ngwear Amefariki Leo
Asubuhi. Alikuwa Ghetto Moja Na
Msanii M To The P.
Walivyokwenda Kuwagongea
Asubuhi Walikuta Ngwear
Amefariki Na M To The P
Amepoteza Fahamu Kabisa. Pia
Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa
Watu Wa Karibu Wa Ngwear
Huko South Africa. Ngwea akiwa na
msanii M to the P jana south
africa.mtu wa karibu anasema
walitakiwa kurudi dar leo lakini
waliwakuta wamezima kwenye room
wote wawili baada ya kuji overdose
madawa ya kulevya na M to the P
yupo hoi hospitali.
waunzi.com
Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Monday, May 27, 2013
Diamond na ney wapagawisha new Maisha club
Friday, May 24, 2013
Je wajua maajabu ya Facebook
FACEBOOK:
A social network where:
People like sad updates
Married couples mingle. flirt and date
young one's
Where a Guy /a Girl can be dating or
in a relationship with someone but
flirts with more than 100 people in
the inbox
Where people are holy on Sunday but
weekdays are always horny
Where a lady can tell you "FUCK YOU"
and yet she gat nuh dick!
Where a Guy can call a lady a bitch
and yet he has never slept with her!
Where celebs sends you there page
to like yet they can't even reply your
damn fucking inbox.
Where people fake love
Where sex chat can make someone
date you
Where haters keep visiting your
profile every now n then
Where ugly one's have beautiful
photos LMAO!!!
Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Thursday, May 23, 2013
Mtwara hapatoshi
Mwandishi wetu aliyepo Mtwara
ametueleza kuwa hivi sasa baadhi
ya wananchi wa eneo la
magomeni mkoani mtwara
wamekimbilia katika Hospitali ya
Mkoa wa Mtwara Lugula
wakihofia usalama wao kutokana
na vurugu za kuchomwa kwa
nyumba zao pamoja na vibanda
vya biashara zilizotokea leo
asubuhi katika eneo hilo.
Location : Address not available
Posted via Blogaway
Mjue peter tosh
Peter Tosh (19 Oktoba
1944 – 11 Septemba 1987)
huyu alikuwa ni
mwanamuziki Mjamaika wa
mtindo wa rege, alikuwa
na kipaji mahiri cha
kutunga mashairi ya
muziki, pia alikuwa ni
mpigaji mahiri wa gitaa.
Peter alizaliwa tarehe 19
Oktoba 1944, akiwa ni
mtoto pekee wa mama
Alvera Coke, baba yake
aliitwa James Mclntosh
ambaye alikuwa ni
mhubiri wa kanisa la
Savanna-la-mar. Peter ni
jina ambalo alibadilisha
lakini jina lake halisi ni
Winston Hubert Mclntosh.
Katika maisha yake
hakubahatika kulelewa na
baba na mama yake,
alilelewa na shangazi yake
sababu wazazi wake
hawakuwa na muda wa
kumlea, hivyo huwezi
kuamini alijitunza
mwenyewe kwa baadhi ya
mambo bila kupata
matunzo kutoka kwa baba
yake ambaye alikuwa ni
baba wa watoto wengi.
Peter alianza kupiga ala
za muziki akiwa kijana wa
umri mdogo, alijifunza
kupiga kinanda kwa miezi
sita pia alijifunza kupiga
gitaa, ala hiyo ndiyo iliyo
kuja kumpa umaarufu,
mwaka 1956 baada ya
kuondoka Savanna-la-mar
Peter na shangazi yake
walikwenda mji wa
Denham katika jiji la
Kingston, Peter alipofikia
umri wa miaka kumi na
tano shangazi yake
alifariki, hivyo alikwenda
kwa mjomba wake West
Road huko Trench Town.
Peter alikutana na Robert
Nesta Marley (Bob Marley)
na Neville O'Reilly
Livingston (Bunny Wailer)
na wakajiunda kuwa
watatu wa kwanza wa
Wailer halisi na wakajiita
Wailin'Wailers, na
walianza kuimba pamoja
mwaka 1962 na alikuwa ni
yeye tu kati yao aliyeweza
kupiga ala, hivyo alifanya
bidii ya kuwafundisha
wenzake na alikuwa ni
mmojawapo
aliyemfundisha Bob
kupiga gitaa. Peter alijitoa
Wailers mwaka 1974 hii ni
baada ya Chris Blackwell
kukataa kutoa albamu yake
ya kwanza yeye akiongoza
safu ya uimbaji.
Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Wednesday, May 22, 2013
Yaliojiri kwenye tamasha L burudani na tigo
Msanii wa kizazi kipya Faridi
Kubanda aka FID Q akimkabidhi
mmoja wa washabiki wako dada
Manka simu na vocha katika
tamasha la tabasamu na Tigo MINI
KABAANG lililofanyika kwenye
viwanja vya sabasaba Morogoro
Location : Address not available
Posted via Blogaway
Tuesday, May 21, 2013
Wakenya wapata wivu baada ya obama kutembelea Tanzania na kuacha kenya
US President Barrack Obama who is
accused of turning his back on his
home country Kenya is heading to
South Africa on a visit where he will
be accompanied by the First Lady in
July.
This visit will see him visit Tanzania,
Senegal, and he will bypass Kenya
his country which he has not visited
since becoming US President. Obama
has living siblings and other
relatives in Kenya. He is also
skipping Zimbabwe.
Obama is expected to meet with
business people, civil society
leaders, young people and support
African demands for democratic
governance when he visits South
Africa from July 26 to August 13. This
will be a long journey for Obama
who is well known for dashing across
time zones on trips made abroad.
It is expected that Obama will use
this visit to Focus on the presidents
Emergency Plan for AIDS relief, the
brainchild of former President
George Bush who is known to have
saved many lives.
Obama last visited Kenya in 2006
before he entered the White House,
his wife Michelle was last in Africa in
2011 when she visited Mandela.
Speculation is rife on whether he
will see ailing Nelson Mandela
during his visit.
During his first term in office Obama
spent a few hours in Ghana and
disappointed many Africans who
expected to spend more time in
Africa.
Obama addressed Ghana’s
parliament in 2009 and proclaimed
that even though the continent was
in need of international aid, “Africa’s
future is up to Africans.”
Obama`s US Ambassador to Kenya
Robert F. Godec revealed
that”Obama- to date has no single
declared intention to visit his own
home country Kenya.
“ President Obama and the United
States deeply value the relationship
with the government and people of
Kenya. We regret that the President
cannot travel to every country; but
our longstanding commitment
remains to all of our African
partners, and to the people of Africa,
as we look to deepen our
partnership with nations across the
region. The President’s trip will
underscore East Africa’s economic
potential and highlight the
President’s desire to deepen trade
and investment ties across the
region, including Kenya. Since its
independence in 1963, Kenya has
been one of America’s strongest and
most enduring partners in Africa.
Our partnership is based on a
shared commitment to democracy,
security, and opportunity. The
United States remains committed to
our partnership with the government
and people of Kenya” explained
Godec.
Asked whether Obama would ever
visit Kenya if the situation with the
ICC was different or if Kenyans had
chosen other leaders? Godec
replied: “We do not have any
information on President Obama’s
future travel plans”.
“The President’s trip to Senegal will
highlight Senegal’s restored place as
an African democratic leader after
the landmark March 2012 elections,
emphasize our strong partnership,
and promote continued cooperation
to advance economic growth and
market reforms. The President’s trip
to South Africa will underscore our
longstanding relationship with the
government and people of South
Africa and our shared commitment
to equality, prosperity, and human
dignity” said Godec
Through sound governance and
economic management, Tanzania has
emerged as a center of regional
growth and investment and a global
leader in the fight against poverty
and disease. Obama`s trip will
underscore East Africa’s economic
potential and highlight the desire to
deepen trade and investment across
the region, including Kenya
Location : Address not available
Posted via Blogaway
Ijue sababu ya ucheleweshwa wa matokeo ya kidato cha sita
MPANGILIO wa alama mpya za kufaulu kwa wahitimu wa kidato cha sita waliohitimu mwaka jana, ambao matokeo ya mitihani yao yanaweza kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, unadaiwa kuzua aibu na kama si uamuzi uliotajwa bungeni wa matumizi ya alama za ufaulu za zamani, matokeo hayo yangeibua aibu kama ilivyojitokeza kwa kidato cha nne, 2012.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari kutoka Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) ambalo linaendelea kupanga matokeo hayo ya kidato cha sita kwa kuzingatia alama za zamani kama ambavyo taarifa ya awali ya Tume iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ilivyosomwa bungeni hivi karibuni, hali ingekuwa mbaya zaidi katika ufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha sita kiasi cha kuweza kutishia uhai wa vyuo vikuu nchini kukosa wanafunzi wa kutosha.
“Hali ilikuwa mbaya sana kama alama za kufaulu zingeachwa zitumike zile mpya na si za zamani. Vyuo vikuu nchini visingeweza kupata wanafunzi wa kutosha.
"Tatizo hapa si uwezo wa wanafunzi moja kwa moja katika kumudu mitihani bali ni kufanywa kwa mabadiliko ya alama bila kuwaandaa.
" Alama hizi zilipaswa kuanza kutumika na wanafunzi wapya, yaani kama wanaanza kidato cha kwanza wawe wanapewa mitihani ya kupimwa kwa kuzingatia alama mpya na waendelee nazo hadi mitihano yao ya mwisho.
“Na hivyo hivyo kwa wanafunzi wa kidato cha sita. Alama hizi mpya zinapaswa kutumika kwako kuanzia wakiwa kidato cha tano mara wanapoanza shule, kila mitihani wanayopewa isahihishwe na kupangiwa alama kwa kutumia hizi alama mpya,” kinaeleza chanzo chetu cha habari kutoka NECTA.
Kwa mujibu wa mabadiliko hayo ya alama, alama mpya zilizokuwa zimetumika awali ni daraja F kuanzia 34 hadi sifuri; badala ya alama hiyo F kuanzia 20 hadi 0; daraja D kwa kuzingatia alama mpya linapaswa kuanzia 35 tofauti na awali, yaani alama 21.
Taarifa zaidi zinabainisha ya kuwa, kati ya sababu za kuchelewa kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha sita tofauti na muda uliotarajiwa yaani mwanzoni mwa Mei, ni pamoja na upangaji upya matokeo hayo, ikiwa ni tofauti na ilivyokuwa kwa kidato cha nne ambapo matokeo yalitangazwa na kisha kufutwa ili kuyapanga upya kwa kutumia alama za zamani.
Lakini alipoulizwa kuhusu masuala hayo ndani ya NECTA, Ofisa Habari wa Taasisi hiyo nyeti nchini, John Nchimbi alisema; “Kwa sasa niseme tu kwamba mchakato wa kuandaa matokeo ya kidato cha sita unaendelea, siwezi kusema lini hasa utakamilika lakini nina uhakika ni katika muda muafaka.”
Kuhusu matokeo ya kidato cha sita kucheleweshwa kutokana kupangwa upya ili kupunguza idadi ya waliofeli kutokana na matumizi ya alama mpya za kufaulu, Nchimbi anasema; “Unajua haya maagizo haya ya bungeni (kupanga matokeo kwa kuzingatia alama za zamani) yamekuja wakati mchakato wa kuandaa matokeo ulikwishaanza. Kwa hiyo baada ya maagizo ilibidi kufanya kazi hiyo tena kwa kufuata maagizo hayo.”
Hata hivyo, hakuweka bayana kama matokeo ya awali kabla ya maagizo ya Serikali yaliyotolewa bungeni kutumia alama za zamani yamewafanya wanafunzi wengi kufeli na badala yake akasema; “Hilo siwezi kulizungumzia kwa sababu mchakato wa matokeo hayo haukuwa umefika mwisho. Takwimu rasmi hazikuwa zimekamilishwa. Kwa hiyo si sahihi kusema rasmi walifeli.”
Lakini wakati hali ikiwa hivyo kwa upande wa matokeo yanayotarajiwa ya kidato cha sita, taarifa zaidi zinabainisha ya kuwa, baada agizo la serikali la kufuta na kurejewa upya kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012, takriban wanafunzi 50,000 wamepata unafuu katika matokeo yao tofauti na awali.
Awali, kwa kuzingatia matokeo ya kidato cha nne mwaka jana yaliyotangazwa Februari, mwaka huu jijini Dar es Salaam, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa, jumla ya watahiniwa 126,847 tu kati ya watahiniwa 397,136 waliofanya mtihani huo walifaulu.
Katika matokeo hayo idadi ya wasichana waliofaulu ilitajwa kuwa ni 46,181 wakati wavulana waliofaulu ikiwa wanafunzi 80,686 na idadi ya watahiniwa wa kujitegemea waliofaulu ni 16,112 kati yao watahiniwa 61,001 waliofanya mtihani wasichana ni 6,7751 na wavulana 9,361.
Katika matokeo hayo watahiniwa waliopata daraja la kwanza ni 1,641, daraja la pili 6,453 na daraja la tatu ni 15,426, wakati waliopata sifuri ni 240,903 lakini kwa kuzingatia taarifa za vyanzo vyetu ndani ya Baraza, idadi hiyo itabadilika kwa sababu ya alama kuongezwa kwa watahiniwa hao wa mwaka 2012.
Lakini matokeo hayo yalitangazwa pamoja na vituko walivyofanya baadhi ya wanafunzi, vikiwamo vituko vya kuandika matusi kwenye karatasi za majibu ya mitihani na kutokana na makosa hayo, watahiniwa 789 walifutiwa mitihiani yao.
Source: Raia mwema
Location : Address not available
Posted via Blogaway
Kikwete amwagia sifa lowassa
Rais Jakaya Kikwete
amemwagia sifa Waziri Mkuu
wa zamani, Edward Lowassa
hatua ambayo inaweza
kutafsiri mengi katika
medani ya siasa nchini.
Akizungumza na wabunge wa
CCM kwenye Ukumbi wa White
House Dodoma juzi, Rais
Kikwete ambaye pia
mwenyekiti wa chama hicho,
alisema nguvu za Lowassa
pekee zinatosha kushinda
uchaguzi mdogo wa kiti cha
udiwani Kata ya Makuyuni
kilichoko wilayani
Monduli.
Kata ya Makuyuni iko
wilayani Monduli, ambako
Lowassa amekuwa mbunge
wake tangu mwaka 1995.
Habari za kutoka ndani ya
kikao hicho zinaeleza kuwa
Rais Kikwete alitoa kauli
hiyo kuhusu kampeni za
uchaguzi huo wa Makuyuni,
baada ya kuwa ametoa ruksa
kwa makada wa chama hicho
wanaotaka urais kuanza
kujipitisha pitisha
miongoni mwa wanachama wa
chama hicho. Lowassa
anatajwa kuwa miongoni mwa
wanaCCM wanaotaka kumrithi
Rais Kikwete kwenye
Uchaguzi Mkuu mwaka 2010.
“Sina tatizo na pale
Makuyuni, najua muscles
(misuli) za Mzee Lowassa
zinatosha kutupa ushindi;
au vipi mzee?” alidokeza
mmoja wa wabunge wa CCM
akimnukuu Rais Kikwete.
Uchaguzi wa Udiwani Kata
ya Makuyuni unaotarajiwa
kufanyika Juni 16, mwaka
huu, utakuwa wa ushindani
mkali kati ya CCM na
Chadema ambao historia yao
kisiasa mkoani Arusha ni
ya uhasama.
Katika uchaguzi huo,
unaofanyika baada ya kifo
cha Abdillah Warsama
(CCM), chama hicho
kitatetea nafasi yake kwa
kumsimamisha Godluck
Lerunya na Chadema ni
Japhet Sironga. Mbali na
Kata ya Makuyuni, uchaguzi
wa udiwani mkoani Arusha
utafanyika pia katika Kata
za Kaloleni, Themi,
Kimandolu na Elerai,
kutokana na waliokuwa
madiwani wa kata hizo
(Chadema), kufukuzwa na
chama chao.
“Mnaweza kuchafuana leo,
kesho mkapata mgombea
mwenye nundu nyingi na
mabandeji kila mahala,
halafu mkapata shida
kumnadi,” alisema.
Siyo mara ya kwanza kwa
Kikwete kumsifia Lowassa
kwani aliwahi kufanya
hivyo mwaka jana huko
Longido wakati akikabidhi
ng’ombe.
Pia aliwahi kumsifia
wakati wa kampeni za
uchaguzi za mwaka 2010
wakati Kikwete
alipomwelezea Lowassa kama
Mbunge makini na kuwaomba
watu wa Monduli kumchagua
tena.
Hata hivyo, alipoulizwa
kama baada ya kuruhusiwa
kuanza kujipitisha kwa
wanaCCM kama anataka
kuwania urais, Lowassa
alijibu kupitia watu wake
wa karibuni kuwa
asingependa kuzungumzia
suala hilo hasa baada ya
Rais kutoa kauli hiyo.
Kutangaza nia ruksa
Rais Kikwete aliwaeleza
wabunge hao kuwa si kosa
kwa watu kutangaza nia ya
kugombea nafasi mbalimbali
za uongozi ikiwamo urais
mwaka 2015.
“Wabunge na mawaziri wenye
nia ya kutangaza nia ya
kugombea urais wawe huru,
kwani hiyo ni haki yao,
isipokuwa wafanye kwa wema
bila kukivuruga chama na
kuwagawa wanaCCM katika
makundi. Sioni tatizo watu
kujipitisha. Sisi sote
hapa tulijipitisha. Lakini
tufanye hivyo kistaarabu
bila kuvurugana.”'
Aliwaagiza wabunge wa
chama hicho kwenda
majimboni mwao kusikiliza
kero za wananchi badala ya
kusubiri wakati wa
uchaguzi.
Membe
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa,
Bernard Membe ambaye naye
anatajwa kuwa miongoni mwa
wagombea amewataka
waandishi waache kuandika
kila siku habari za urais
na badala yake waandike
mambo ya maendeleo.
Akizungumza na waandishi
wa habari jana baada ya
kukutana na mabalozi wa
nchi zinazoendelea kuhusu
Mkutano wa Smart
Partnership, unaotarajiwa
kufanyika nchini, Membe
alisema ni vizuri
yakaandikwa mambo ya
maendeleo na si kila
wakati kuandika mambo ya
urais.
“Mkutano kama huu nchi
kama Kenya watauripoti
vizuri na kwa undani hivyo
mfanye hivyo si kila kitu
urais 2015,” alisema
Membe. Mkutano huo utaanza
Mei 28, hadi Juni Mosi na
utajadili jinsi gani
sayansi na teknolojia
vinaweza kutumika
kuzikwamua kiuchumi. wa kitaa
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Sunday, May 19, 2013
Waraka wa vinega huu hapa
Ni wazi na dhahiri kabisa kesi
iliofunguliwa mahakamani dhidi ya
Lady JayDee haina maana yoyote
isipokuwa ni hofu ya mafisadi wa
muziki nchini (Kusaga na Ruge) kwa
kuwa waraka wa piliulikuwa utoke tar
15 may na mwingine tar 17 may
mwaka huu wa 2013.
Hapa la kujiuliza ni juu ya interview
ya Rugen a kinachoendelea sasa,eti
suala limefika mahakamani,kweli
Kusaga na Ruge mmeweza
kuthibitisha nyie ni mafisadi na
mnamuaibisha Rais Kikwete ambaye
nina uhakika anajua kuwa nyie ndio
kikwazo kikubwa na hata Bungeni
alishawahi kuzungumza kuwa alitoa
studio na pango kumbe tatizo sio
hilo,tujiulize wote kuna nini
wanachoficha hadi kumtafutia kesi
raia mwema asie na hatia?
Tena anaejitafutia rizki ambayo wao
wanapigana nayo kwa
kumkandamiza?
Huku wakitumia mabavu wakilindwa
na baadhi ya viongozi wa serikali na
waandishi ambao majina yao
mtayapata kupitia nyaraka
zinazokuja (zipo 88) na huu ndio wa
kwanza.
Nimesikitika sana na njia pekee ya
kuufahamisha umma juu ya ufisadi
huu wa Ruge Mutahaba na Joseph
Kusaga ni kuyaanika yote ambayo
jamii na Viongozi wa Serikali kama
mlikuwa hamjui sasa ndio wakati
muafaka wa kuwajua watu hawa
ambao kila kukicha ni kuimarisha
ufisadi wao na kujipendekeza kwa
Viongozi sambamba na watoto wao
(mtajua mpaka majina yao)
Naanza kupatwa na wasiwasi
nikijiuliza, endapo Lady JD angekuwa
amegombana na msanii mwenzake
mkubwa kama Prof Jay, Ray C au
Juma Nature wanasiasa wangeingilia
kati? Ni wazi wasingesogea kwa kuwa
hakuna maslahi zaidi ya kuingilia
mgogoro huu ambao hawataki jamii
ijue maovu yao.
Napatwa mashaka jinsi wanasiasa
wanavyolivalia njunga jambo binafsi
Kama hili na kulifanya ni la kiserikali
basi tafuteni chanzo cha tatizo mjue
ni sehemu gani sahihi ya kuanza
kutatua kilichopo na sio kukimbilia
kuunda vikao ambavyo naamini
vimeshaitishwa vingi sana lakini
hakuna kilichosaidia.
Wanasiasa badala ya kutafuta
sababu zinazofanya wasanii
wanalalamika mnakimbilia kutatua
mgogoro wa Ruge na JD ili
kusuluhisha mambo yasiendelee
kuongelewa jamii ijue uovu wa
mafisadi hawa.
Haitasaidia kwa sababu wanaojua
maovu ya hawa mafisadi Rugen na
Kusaga ni wasanii wengi wakubwa na
watu wengine binafsi (kumbukeni
waraka zipo 88)
Vijana mnaowategemea katika
kampeni zenu na mnawaita Taifa la
kesho, lakini mnakubali waendelee
kukandamizwa na kunyanyasika huku
wakizidi kuwaneemesha kina Ruge na
Kusaga.
Tatizo mnalijua kaeni na wasanii
wote wawaelezee matatizo yao,
msikae na wasanii ambao
wanaamrishwa na kina Ruge.
Sikilizeni kilio cha wasanii wengine
pia na itafutwe njia ya kupata maoni
ya kila mmoja na kuachana na watu
wengine ambao wanaendesha
mtandao wa ufisadi chini ya kivuli
cha Ruge (Said Fella na Babu Tale)
ambao mtapata kujua kila kitu
kuhusu ufisadi wao na
kinachoendelea (kumbuka waraka
zipo 88)
Ruge Mutahaba amekuwa ni tatizo
na janga la Kitaifa katika tasnia ya
muziki kwa ujumla, amekuwa
akiwagawa wasanii kwa kutumia
redio Clouds kwa vitisho vya
kutopigiwa nyimbo, au kwa
danganyio la kufanyiwa promotion
mpaka kwenye magazeti endapo tu
utakuwa chini ya bawa lake.
Wasanii wamekuwa hawalipwi vizuri
ili waendelee kumtegemea fisadi
huyu.
Kwani wasanii wote wangekuwa na
kipato cha kuweza kusimama imara
leo hii kauli kama ya Lady JD
ingezungumzwa karibu na kila
mwanabongoflava.
Fred Kavishe (fisadi mwingine)
ambae anasimamia Kili music awards
yuko bega kwa bega na Ruge
kudanganya wananchi nani ni bora
katika tuzo hizo ili kulinda maslahi
yao binafsi.
Na wao huchagua wale wasanii
ambao hawana sauti za kudai haki
yao ili wawatumie kadri
wanavyotaka.Tuzo za Kili ni uozo
mtupu.Imefikia wakati basata itoe
vibali kwa wadau wengine wa muziki
(nako kuna ufisadi)wasio na interest
binafsi na wasanii wao, kuendesha
hizi shughuli ili kukuza
muziki.Kutokuwepo na tuzo zingine
kunasababisha ionekane kuwa
basata nao wamo kwenye mgao wa
mabepari hao wanaoua sanaa ya
Tanzania
Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Saturday, May 18, 2013
Haya sasa
Ney wa Mitego Kuitwa Baba, Mchumba wake Wema ni Mama Kijacho
Location : Address not available
Posted via Blogaway
Dada wa diamond anena kuhusu harusi ya diamond
Esma Abdul ambae ni dada yake
mwimbaji staa wa Tanzania,
Diamond Platnums, amesema
wamejiandaa vizuri kwa ajili ya
harusi ya Diamond ambae
anatarajiwa kumuoa mtangazaji
wa TV aitwae Penny.
Esma ambae anaishi nyumba
moja na kaka yake amesema,
"Tumemkubali sana wifi yetu na
tunampenda kwa sababu mtu
yeyote mimi nitakaetambulishwa
siwezi nikamkataa, manake
nikimuingilia kwenye mapenzi
yake na yeye ataniingilia kwenye
mapenzi yangu."
Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Beckaham awaaga wapenzi wa kabumbu
emotional David Beckham paid
tribute to his 'special' time with
Paris Saint-Germain after playing
the final game of his career
against Brest on Saturday.
Beckham set up Blaise Matuidi's
goal either side of two stunning
strikes from Zlatan Ibrahimovic
before he was withdrawn in the
second half to a standing ovation
from the Parc des Princes crowd
and a centre-circle embrace from
his team-mates.
The 38-year-old was tearful as he
left the pitch before collecting his
Ligue 1 winners' medal after the
full-time whistle, and he confessed
he could scarcely imagine a more
perfect setting than the French
capital in which to call time on his
glittering career.
"To finish my career here is
special. Paris is the most beautiful
place in the world. I'm sad to go,"
he told reporters after the match.
"I feel a lot of satisfaction and
emotion. Tonight is the end of my
career, for sure. I've done my time
at all the clubs where I've been,
be it Manchester United, Real
Madrid and LA Galaxy.
"Now, we'll see what happens.
After a 22-year career, I'm going to
take a few months off to relax with
my family. I said before that, one
way or another, I would stay in
Paris.
"It's special for me here and I
want to continue to be part of PSG,
one way or another."
Team-mate Mamadou Sakho
described the experience of
playing alongside the former
Manchester United and Real
Madrid star as 'beautiful' and
expressed his admiration for
Beckham's laid-back approach to
all aspects of his life.
"I was lucky to be with him here in
the capital," Sakho told Canal +.
"Is there anything more beautiful?
"It was a very emotional exit,
especially given the scope of his
career. He brought us his joie de
vivre, and above all the simplicity
of life both on and off the pitch.
"A little anecdote, for example: we
organised a barbecue at Sylvain
Armand's house, he was called,
and he came to eat sausages with
us in Sylvain's garden!"f WWW.operasports.com
Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Manchester city wamuania falcao
Man City match Falcao buy-out
clause
Manchester City have signalled their
intent to sign Falcao by agreeing to
match the Atletico Madrid striker's
£54 million buy-out clause.
Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Pata s 3 kwa bei nafuuu
Am eletrnics wanauza Samsung galaxy s.3 for only 500000 wahi zipo chache
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Thursday, May 9, 2013
Chicharito Ferguson ni baraka
Chicha: Boss been a blessing
Javier Hernandez has paid tribute
to Manchester United manager Sir
Alex Ferguson.
The 71-year-old Reds boss will retire
at the end of the current season
following more than 26 years at the
Old Trafford helm.
Striker Hernandez, who joined the
club in the summer of 2010, told TV
Azteca in his native Mexico that he
is enormously proud to have worked
under a manager many in football
regard as the best ever.
“When I retire it will be satisfying to
say that I was one of Sir Alex
Ferguson’s boys,” he said.
“But it’s more than an anecdote for
me. I see it as an achievement and
a blessing. It’s a source of pride to
say I was with one of the best
coaches in history.
“Something that impresses me is
that he never lost his
competitiveness. In spite of
everything he won he continues to
be hungry. He’s a winner.”
Sir Alex will take charge of two more
games for Manchester United:
Sunday’s clash against Swansea City
at Old Trafford and the Reds’ final
Msikilize ole kuhusu kustafu kwa Ferguson
Saying goodbye is tough
Ole Gunnar Solskjaer spoke
exclusively to MUTV following the
news of Sir Alex's imminent
retirement...
"I'm a bit stunned that the
manager has decided that enough
is enough, but I'm sure he thought
long and hard about it and it's the
right decision for him.
"The 14 and a half years I spent with
the boss [as a player and coach]
were the greatest of my career. I
learnt from the best. He was a father
figure for all of us - it's amazing how
many players he has brought
through the system. He has been an
inspiration to everyone.
"That last moment with the fans at
Old Trafford is a great feeling but
also a sad one. There aren't many
times where I have been moved to
tears but that day [Ole's testimonial
in 2008] was one of those days. And
you never know it might be on
Sunday [against Swansea] that it hits
the gaffer that it will be the last
time he leads the team out at Old
Trafford. I'm sure it will be
emotional for him.
"Everything I do now as a manager
is through the experience I gained
Wednesday, May 8, 2013
Diamond amponda q chief
Hii ni kauli ya msanii
Diamond kuhusu Q chief: mi
nafanya kazi, mazoezi na dancers,
nahangaika kutafuta sare,
kuandika nyimbo nzuri, wakati
nafanya yote hayo we unakula
unga, halafu unakuja kusema
nasafiria nyota yako, nisafirie
nyota ya mla unga? mi staki,
staki, agombane na wakubwa
wenzake kina dully mi aniache na
wadogo wenzangu staki...?
Diamond awa sukari ya warembo mpaka UK
EEHH!!! jamani kina dada mbona
mnajidhalilisha kiasi hicho!! ni
pombe ulilewa au kitu gani!?? au
ndio mambo ya NATAKA KULEWA
hayo ukaamua ummwagie radhi
mtoto wa mwenzio kilazima, au
huna habari KAMA MCHUMBA WA
MTU HUYO DADA!!?? mmmh!!
WATOTO WA UK MMETISHA!!!
ALAFU nimesikia kuna mdada
kaenda kulala na dancer wa
DIAMOND akizani ni DIAMOND
MWENYEWE biatchhh!
yereeeuwiiiiiiii!!!!!!
tunaendelea kuifatilia kwa ukaribu
tutawaletea picha kamili sooooon!!!
endelea kurefresh blog yenu
mupate mahabari kamili!!!
LMFAO!!
#OKbyeeeeee
Check Video kwenye hii link:http://
zeddylicious.blogspot.com/2013/05
/diamond-aliwa-denda-kilazima-
jukwaani.html#more
Form kazi Ipo
MWENYEKITI WA BARAZA LA
MITIHANI NECTA AGOMA KUFUTA
MATOKEO, ASEMA "NITAJIUZULU"
Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani la
Taifa-NECTA ambaye pia ni Makamu
Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam,Prof.Rwekaza Sympho
Mukandala amesema hayuko tayari
kubadili matokeo ya Kidato cha Nne.
Chanzo cha karibu cha
Prof.Mukandala kinadai kuwa mara
baada ya kutolewa taarifa ya Serikali
inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo
hayo,Prof.Mukandala ameonesha
kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi
tulipitisha matokeo hayo mbele yao
na kwa idhini yao.
Iweje leo Baraza libadili
matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya
nani na kwa ustawi wa elimu ya
wapi?' alinukuliwa akihoji
Prof.Mukandala.
Habari za kuaminka zinadai kuwa
Prof.Mukandala pamoja na Katibu
Mtendaji Dr.Joyce Ndalichako
wanajiandaa kuachia ngazi kama
Serikali itasimamia uamuzi wake huo.
Tuesday, May 7, 2013
Aliyerusha bom apatikana
DEREVA wa pikipiki maarufu kama
bodaboda, Victor
Ambrose,anatuhumiwa kurusha
bomu katika Kanisa Katoliki la
Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia
ya Olasiti jijini Arusha,
lililosababisha vifo vya watu wawili
na wengine karibu 70 kujeruhiwa.
Ambrose mwenye umri wa miaka 20
na mkazi wa Kwa Mrombo, Arusha,
anashikiliwa pamoja na watuhumiwa
wengine tisa, wakiwemo raia wanne
wa Saudi Arabia kwa mahojiano zaidi
ya kuhusika na tukio hilo.
Taarifa zilizopatikana jana jioni,
zilieleza kuwa raia hao wa Saudi
Arabia, waliingia nchini Jumamosi
usiku kwa ndege kupitia Uwanja wa
Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), na
baada ya tukio Jumapili, waliondoka
nchini kupitia mpaka wa Tanzania
na Kenya, Namanga.
Serikali kupitia kwa Waziri wa Mambo
ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel
Nchimbi, ilitoa taarifa hiyo jana
bungeni na kueleza namna uhalifu
huo ulivyotendeka kanisani hapo
juzi, muda mfupi baada ya ibada
kuanza.
Kwa mujibu wa Waziri Nchimbi,
uchunguzi wa awali unaonesha kuwa
mlipuko huo ni bomu. Hata hivyo
uchunguzi wa kubaini aina ya bomu
lililotumika, unaendelea kufanywa na
Polisi na wataalamu wa Jeshi la
Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
(JWTZ).
“Hadi sasa watuhumiwa sita
wanashikiliwa na Jeshi la Polisi.
Miongoni mwao ni Victor Ambrose
mwenye umri wa miaka 20 dereva wa
bodaboda…ambaye anatuhumiwa
kurusha bomu hilo. “Watuhumiwa
wengine watano waliokamatwa ni
raia wa kigeni na Mtanzania mmoja
ambao wanashikiliwa kwa
mahojiano,” alisema Dk Nchimbi.
Waziri alitaja waliokufa katika tukio
hilo kuwa ni mtoto mwenye umri wa
miaka 16, James Gabriel, aliyefariki
usiku wa jana na Regina Kurusei
(45), mkazi wa Olasiti aliyefariki siku
ya tukio wakati akipatiwa matibabu
katika Hospitali ya Mount Meru.
Hata hivyo, Mkuu wa Mkoa wa
Arusha, Magesa Mulongo, alisema
waliokamatwa wamefikia 10, na raia
hao wa nje ni wa Saudi Arabia.
Alisema pia mtu wa tatu alifariki
lakini hakumtaja jina. Kaimu Mganga
Mkuu wa Hospitali ya Mount Meru,
Dk Mariam Murktadha, alifafanua
kuwa kijana Gabriel, alifia Uwanja wa
Ndege wa Arusha, akiwa njiani
kupelekwa Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili kwa matibabu zaidi.
Aliongeza kuwa majeruhi walikuwa
66 na hivi sasa wamebaki 34 na
wengine wameruhusiwa.
Kwa mujibu wa Dk Nchimbi,
majeruhi walikimbizwa Hospitali ya
Mount Meru, wengine Hospitali ya St
Elizabeth kwa Father Babu, Hospitali
ya Selian na mwingine alipelekwa
katika Hospitali ya Dk Wanjara,
Mianzini.
Bomu lilivyorushwa
Akielezea tukio hilo, Waziri Nchimbi
alisema lilirushwa wakati mgeni
rasmi, Balozi wa Vatican nchini na
Mjumbe wa Baba Mtakatifu, Askofu
Fransisco Padilla, akiwa ametoka nje
ya kanisa akijiandaa kukata utepe
kama ishara ya uzinduzi.
Alisema mtu huyo alirusha kitu
chenye ukubwa wa ngumi, kwenda
eneo kulipokuwa na mkusanyiko wa
watu na baada ya kutua, kulitokea
kishindo na mlipuko mkubwa.
Inakadiriwa uzinduzi huo wa Kanisa,
ulihudhuriwa na watu zaidi ya 2,000.
Alisema viongozi wa dini na Serikali
waliohudhuria ibada hiyo,
hawakupata madhara yoyote
kutokana mlipuko huo. Udini
Amewasihi Watanzania kuwa
watulivu wakati vyombo vya dola
vikiwasaka walihusika na shambulio
hilo.
Aidha ametaka kila mwenye taarifa
za kuwezesha kukamatwa wahalifu
hao azitoe Polisi. Kwa mujibu wa
Waziri Nchimbi, siku za hivi karibuni
kumekuwepo jitihada kubwa za watu
wachache wasioitakia mema nchi,
kutaka kupandikiza chuki za kidini
miongoni mwa Watanzania na kuleta
mapigano na mauaji.
“Sina shaka kuwa shambulio la
Arusha ni sehemu ya mikakati hiyo
miovu,” alisema bungeni na
kusisitiza kwamba Serikali itachukua
hatua kali kwa mtu yeyote bila kujali
hadhi na nafasi yake katika jamii.
Wanasiasa waonywa
Wakati huo huo, Waziri Nchimbi
amekemea wanasiasa wanaotafuta
umaarufu wa kisiasa kupitia tukio
hilo, akisisitiza kwamba Serikali
isilaumiwe kwa hatua kali za kisheria
itakazochukua dhidi ya viongozi wa
aina hiyo.
“Kokote duniani tukio la kushitukiza
linalosikitisha na kuhuzunisha kama
hili linapotokea, wananchi wote
huungana na kuwa wamoja kama
taifa na kulaani wahusika na
kuwafariji waathirika wa tukio hilo,”
alisema Dk Nchimbi.
Akikemea wanasiasa wanaotumia
matukio kujinufaisha, huku akitoa
mfano wa Marekani na kusema
mgombea mmoja wa urais wakati wa
uchaguzi mkuu wa mwaka 2012,
aliishutumu Serikali kutokana na
kulipuliwa kwa ubalozi wa Marekani
nchini Libya.
“Ni wazi kuwa mgombea huyo
alichukua tatizo lile kama ajenda ya
kisiasa. Hata hivyo alishutumiwa
vikali na Wamarekani wenzake kwa
kuelezwa kuwa ni mtu mwenye
kukosa kabisa misingi ya uaminifu na
uzalendo kwa taifa lake.”
“Serikali inasikitishwa sana na
wanasiasa wa aina hii, ambao
wanajitokeza nchini na kutafuta
umaarufu wa kisiasa kwa gharama za
maisha ya Watanzania…Serikali
isilaumiwe kwa hatua kali za kisheria
itakazochukua dhidi ya viongozi wa
aina hii, ambao maslahi yao ni
muhimu kuliko maisha ya
Watanzania,” alisema.
Dk Nchimbi alilaani waliohusika
kufanya uhalifu huo na kusema
Serikali kwa nguvu zote itahakikisha
watuhumiwa wote waliohusika na
kushiriki kwa namna yoyote katika
tukio hilo, wanasakwa popote walipo
na kufikishwa katika vyombo vya
sheria.
“Tunawataka viongozi wa kisiasa,
kidini na wananchi wote kwa ujumla
kila mmoja kwa nafasi yake
kuwajibika, ili kuhakikisha kuwa nchi
yetu inaendelea kuwa kisiwa cha
amani na utulivu,” alisema.
TAMKO LA BARAZA KUU LA WAISLAMU WA TANZANIA BAKWATA JUU YA MLIPUKO WA BOMU – ARUSHA Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakaatuh. Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania BAKWATA, limepokea kwa masikitiko makubwa tukio la kurushwa bomu Kanisani na kusababisha upotevu wa maisha na majeraha kwa watu wengi wakati wa sherehe ya uzinduzi wa jengo la Kanisa la Parokia ya Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Orasiti, Arusha.Kimsingi hili ni jambo la kusikitisha, kukera na kufadhaisha sana kutokea hapa nchini. Watanzania kwa miaka mingi, tumezoea hali ya utulivu na amani na tukio kama hili ni changamoto kwa usalama wa Watanzania wote nchi nzima Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania BAKWATA linalaani kitendo hicho cha kikatili na inaviomba vyombo vya dola kufanya jitihada zote kuhakikisha wahusika wanakamatwa na wanachukuliwa hatua, kwani msiba huu ni wetu sote, Wakristo na Watanzania wote. Kwa niaba ya Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania mimi Sheikh Issa Bin Shaaban Simba Mufti wa Tanzania nawapa pole wafiwa wote katika tukio hilo na kuwaombea dua majeruhi na Mwenyezi Mungu (SW) awape tahfif na wapone haraka na kurudi katika shughuli zao za kila siku. Wabillahi Tawfiiq. SHEIKH ISSA BIN SHAABAN SIMBA. MUFTI NA SHEIKH MKUU WA TANZANIA BARA.
Monday, May 6, 2013
Hili ndilo alilosema p funk kuhusu body la Jude na clouds
lly at 11:10 PM
Neno la P-Funk Majani
kwa Lady JayDee
Kuhusu Beef na Radio
Clouds ni Hili
Producer mwenye historia kubwa
na ya kipekee katika muziki wa
Bongo Fleva P-Funk Majani
ameonesha kumuunga mkono Lady
JayDee na kwamba anadhani ni
muda sasa wengine wakafuata
nyayo zake, yeye mwenyewe majani
amemhakikishia Jide kuwa yuko
nae “Count Me in”.
Ameongeza kuwa endapo wasanii
na watayarishaji wa muziki
wakiungana hakuna
kitakachowazua isipokuwa Mungu.
Hata salama kweli hakuna baunsa wa mapenzi
WALISEMA HAYAWI
HAYAWIIIIII . . . . . YAMEKUA SASA
>> Salama J (Yule yule wa Bongo Star
Search) nae akamatika alijivinjari na
jamaa linaloitwa BILL SEPETU (SIO
MPENZI WAKE)
Hapo wanaponda raha ya short time
tu . . . .
Chezeyaaaa Mapenzi
weweeeee . . . . . .
Acha kabisaaaa wewe. Kila mtu
ananasa hii kitu . . . . —
Raia wa saudia watuhumia kuhusika na bomu arusha
Shabulizi katika kanisa Katoliki la
Arusha la sababisha taharuki
Polisi nchini Tanzania inawashikilia
watu wa nane kwa madai ya
kuhusika na mlipuko wa siku ya
jumapili katika kanisa Katoliki la
Olasit viungani mwa mji wa Arusha.
Miongoni mwa washukiwa ambao
wako mikononi mwa polisi ni raia
wanne wa Saudi Arabia, na wengine
wanne ni raia wa Tanzania.
Wakati mwandishi wa BBC Baruan
Muhuza akuzungumza akiwa
hospitalini mjini Arusha amesema
idadi ya watu waliofari dunia
kufuatia mlipuko huo ni wawili na
wala sio watatu kama ilivyoripotiwa
hapo awali.
Polisi mjini Arusha vile vile
wamethibitisha kuwa waliokufa
wakati wa tukio hilo la kigaidi ni
wawili.
Kwa wakati huu polisi wanachunguza
ni kulipuzi aina gani kilitumika
wakati wa shambulizi hilo.
Lakini Baruan Muhuza ambaye
alitembelea eneo la tukio mbali na
majeruhi hakuna hasara kubwa
iliyotokea mahali hapo pia sakafi na
kuta za kanisa hilo hazikuchimbika
sana.
Kutoka Dar es Salaam Leornad
Mubali anaongezea kuwa watu
wawili sana wamethibitishwa kufariki
dunia katika mlipuko huo uliotokea
majira ya saa tano asubuhi katika
kanisa katoliki la Olasit nje kidogo ya
mji wa Arusha nchini Tanzania na
wengine kadhaa kujeruhiwa huku
balozi wa papa na watawa waliokuwa
katika shughuli hiyo maalumu ya
uzinduzi wa parokia mpya ya
mtakatifu Yosefu mfanyakazi
wakinusurika pia .
Kwa mjibu wa Padri Festus
Mangwangi ambaye ni paroko
msaidizi wa kanisa katoliki jimbo la
Arusha mlipuko huo unapotokea
walikuwa tayari katika hatua ya
kubariki maji kwaajili ya uzinduzi wa
kanisa ulikuwa ukiongozwa na balozi
wa Papa Fransis.
Shambulizi la Arusha
Hata hivyo Padre Mangwangi
ameiambia BBC kuwa taarifa
walizonazo muda mfupi baada ya
majeruhi kukimbizwa hospitali watu
kati yao wamefariki huku wengine
wakiendelea kupatiwa matibabu
katika hospitali ya Mount Meru mjini
Arrusha.
Shughuli zote kuhusiana na ibada
hiyo zimesitishwa huku watalaalamu
wa milipuko na polisi wakiendelea
na uchunguzi kuhusiana na mlipuko
huo.
Bado hakuna taarifa zozote
kuhusiana na chanzo halisi cha
bomu hilo ama kundi lolote
linalodaiwa kuhusika na utegaji wa
bomu hilo.
Hili ni shambaulio la kwanza la
bomu nchini Tanzania japo kuwa
mwaka huu pia kulikuwa na mtukio
ya mauaji ya Padre wa kanisa hilo
visiwani Zanzibar ambaye alipigwa
risasi wakati akiwa anajiandaa
kuingia kanisani.
Mchezaji wa chelsea amponda platinum
‘Adam Nditi’ aiponda show
ya Diamond Uingereza,
asema ‘aibu tupu
Mtanzania anayechezea Chelsea
‘Adam Nditi’ aiponda show ya
Diamond Uingereza, asema ‘aibu
tupu’
“Diamond jana manyago aibu tupu
waswahili lazima tubadilike it’s
embarrassing,” ametweet.
“Hajafanya jambo lolote ila shoo
ilikuwa haina very unprofessional
kwenye tangazo walisema inaanza
saa 3 usiku jamaa amefika saa 1
asubuhi.”
“Jukwaa lilikuwa ovyo kama vile watu
hawajalipa kumuuona mmoja Wa
wasani wanaotamba bongo nyimbo
zilikuwa zinapigwa redioni alikuwa
haimbi.”
Diamond yupo ziarani nchini
Uingereza.o
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Mei 6, 2013, ameamua kukatiza ziara yake ya Kiserikali nchini Kuwait ili kurejea nyumbani kutokana na tukio la shambulio la kigaidi la mlipuko mjini Arusha ambako watu wawili wamefariki na 60 wamejeruhiwa. Rais Kikwete alikuwa aondoke kesho kurejea nyumbani, amekatiza ziara hiyo na anaondoka Kuwait City kurejea nyumbani mara moja ili kuwa karibu na wafiwa pamoja na wale waliojeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi. Miongoni mwa shughuli ambazo hazitafanyika sasa kutokana na uamuzi huo wa Rais ni ziara ya kutembelea Kampuni ya Mafuta ya Kuwait katika eneo la Ahmadi mjini Kuwait. Aidha, Rais hatahudhuria dhifa ya chakula cha jioni ambacho alikuwa anaandaliwa na Waziri Mkuu wa Kuwait, Mheshimiwa Sheikh Jaber Al Mubarak Al Hamad Al Sabah.
Babu wa loliondo aendelea kula mafao ya kikombe
Katika kuonesha kuwa Mchungaji
Mstaafu, Ambilikile Mwasapile
‘Babu wa Loliondo’ bado ana fedha
baada ya kuzikusanya kutoka kwa
wateja wake wa huduma ya
kikombe, hivi karibuni alinaswa
ndani ya Benki ya NMB akipata
huduma.
Babu alibambwa ndani ya benki
hiyo Tawi la Loliondo mkoani
Manyara akihudumiwa na mmoja
wa wafanyakazi aliyefahamika kwa
jina la Lembris Lesion ambapo
inaelezwa alikuwa akielekezwa jinsi
ya kujiunga na huduma mpya ya
Jisevie.
Akiwa benki hapo, Babu alionekana
akijaza fomu huku akiwa na begi
ambalo linashukiwa kuwa na fedha
ndani yake ambapo baadhi ya
watu waliokuwa wakimpiga chabo
hawakuonesha kumshangaa
wakiamini bado ana mkwanja wa
kutosha kutokana na ile tiba
ailiyokuwa akiitoa kwa watu wengi
hivi karibuni.
“Unajua Babu alipata pesa nyingi
sana na bado anaendelea
kuzikusanya, kimsingi ana pesa
ndefu benki,” alisema mmoja wa
wateja aliyekuwa eneo hilo
Clouds yajip mapigo yamuasa jide afanye kazi kwa bidii
Baada ya kukaa kimya kwa muda
mrefu, hatimaye mmoja wa
wakurugenzi wa Clouds Media
Group, Ruge Mutahaba ameamua
kujibu shutuma za Lady Jaydee dhidi
yake. Ruge amekitumia kipindi cha
Power Break Fast cha Clouds FM,
kujibu rasmi shutuma hizo.
Amesema anasikitishwa na jinsi
Jaydee anavyoendesha harakati zake
na kudai kuwa anapigana kwenye
vita isiyo sahihi.
“Jaydee akaze buti, anapigana na
wrong war, vita yake ameidirect
tofauti na mizinga yake, bunduki
zake amezielekeza kusiko. Skylight
Band inamsumbua, akubaliane na
ukweli kwamba Skylight ndio
iliyoisababishia Nyumbani Lounge
kushuka ilivyoshuka, sio Lady Jaydee
kama msanii.
Vita yake na bunduki zake
azielekezee Skylight
Band.Hajazungumza hata mara moja
kwamba ndio kitu kinachosumbua.
Mimi naamini kabisa akifanya hiyo
kazi, Jaydee bado ni msanii mzuri,
ana nguvu, afanye kazi kubwa ya
kuweza kurudisha mapambano yake
kisanii, kufanya kazi na aangalie
tatizo lililotokea Nyumbani Lounge
labda anaweza akatatua matatizo
lakini sio kushambulia watu kwenye
mitandao,” amesema Ruge.
Hata hivyo amesema yupo tayari
kukaa meza moja na Lady Jaydee
kuzungumza na kumaliza tofauti zao.
“Mimi niko tayari, kesho, kesho
kutwa, kama yupo tayari na ana watu
wengine wengi tu ambao wanahisi
kuna matatizo binafsi ya kuongea na
Clouds, twende sehemu nyingine
neutral tu, tukodishe, tukae pale
tusikie matatizo.
Haisaidii muziki wetu kuonekana
Bongo Flava ni watu ambao kutwa ni
kulalamika, kutwa ni maneno na
matusi tu pale panapokuwa na
matatizo.”
Ameongeza kuwa suala la wasanii wa
Bongo Flava kupenda kutukana
limewafanya hata wasambaji wa
muziki nchini kuacha kufanya kazi
nao.
“GMC kampuni iliyowapa pesa nyingi
wasanii kwenye biashara sio kuwapa
tu kwa kuwagawia, kwa kufanya nao
biashara, sasa hivi huu ni mwaka
wao wa pili na nusu hawajatoa hata
albam moja ya Bongo Flava.
Wasanii wa Bongo Flava wanafikiria
kwa Mamu pamefungwa lakini Mamu
anaendelea na wasanii wa Gospel na
wanauza vile vile.
Ruge amewaasa wasanii wa Tanzania
akiwemo Lady Jaydee kuzitumia vizuri
fursa za kiuchumi zinazojitokeza na
sio kupenda kulalamika.
“Turudi kwenye mstari wa kuziona
opportunities, turudi kwenye mstari
wa kusema kwamba leo tunataka
kumzungumzia Jaydee akiwa na
perfume, akiwa na lipstick kama jana
iliyozinduliwa na Rihanna ambayo
nikaambiwa kwamba stock ya lipstick
mpya ya Rihanna iliyozinduliwa
ilikwisha baada ya masaa matatu.
That’s how bigger brand is supposed
to be, and that’s how powerful a
brand is supposed to be katika
namna ya kuunganisha na fursa
zilizopo. Unapokuwa na jina tumia
fursa, tumia opportunities
zinazokuijia wewe kujiendeleza na
kujikuza.
Lakini suala la kulaumiana
halitatukuza kwasababu sisi ni radio
binafsi, tutafanya kile tunachokifanya
sisi kwa matakwa ya wasikilizaji wetu
wengi zaidi, tukiiangalia faida kama
motivation, tukiiangalia social
responsibility kama motivation yetu
ya pili, in the long run kuangalia
tunakotaka kwenda kufikia strategy
ambayo kampuni yetu inajiwekea.”
Ruge pia amewakumbusha wasanii
kutojisahau kwakuwa hakuna msanii
anayeweza kuhit maisha yake yote.
“Tuwaandae wasijisahau, na katika
hili simzungumzii Jaydee peke yake,
nazungumzia wasanii wote wa
Tanzania nawazungumzia kuelewa
kwamba tunajisahau sana.
Tunapata hela nyingi sana,
sitashangaa miaka mitatu baada ya
leo, Ommy Dimpoz naye ukamsikia
anaandika hivi hivi, au Diamond
naye ni kwasababu hakujipanga tu.”
Kuhusu shutuma kuwa Clouds FM
inaua muziki wa Bongo Flava, Ruge
amesema, “inanishangaza kidogo
kwasababu Clouds inategemea
matangazo ya biashara kwa asilimia
95, ndio biashara yake hiyo.
Lakini inategemea muziki wa Bongo
Flava kama maudhui ya kipindi,
inaanzaje kuuua, inategema wasanii
wa Bongo Flava kama wasanii wa
kwenda kufanya shows mkoani.”
Kuhusu msimamo wa kampuni Ruge
amesema:
Msimamo wa kampuni ni kwamba
tunaamini kabisa mwanadada kinara
wa muziki wa Tanzania naamini
atakaa na kutafakari la kufanya.
Tunamtakia kila lakheri kwenye show
yake ya tarehe 31 afanye vizuri lakini
atakapokuwa tayari sisi tuko tayari
kuendelea kufanya kazi, anajua cha
kufanya.
Sunday, May 5, 2013
Mlipuko watokea arusha wanne wapoteza maisha
GABRIEL ILIYOTUFIKIA CHUMBA CHA HABARI CHA GLOBU YA JAMII HIVI SASA,INAELEZA KUWA KUMETOKEA MLIPUKA MKUBWA MAENEO YA MBAUDA HUKO JIJINI ARUSHA HIVI SASA NA INADAIWA KUWA KUNA WATU WASIOPUNGUA WANNE WAMEPOTEZA MAISHA .
CHANZO CHA MLIPUKO HUO BADO HAKIJAJULIKANA NA GLOBU YA JAMII INAENDELEA KUFUATILIA KWA UKARIBU TUKIO HILO NA TUTAENDELEA KUFAHAMISHANA KADRI TAARIFA ZITAKAVYOKUWA
Saturday, May 4, 2013
Mfanyabiashara nguli akirusha toka ghorofa ya tisa
TAARIFA za awali zina arifu kuwa
Mfanya Biashara, Costa Shirima
anaedaiwa kujirusha kutoka gorofa ya
tisa ya Hoteli ya Concord iliyopo
Kariakoo Jijini Dar es Salaam
inaelezwa kuwa alifariki dunia muda
mfupi baada ya kujirusha na alikuwa
asafiri na ndege ya saa 10 jioni
kuelekea China kufuata bidhaa za
maduka yake.
Shirima (47), ambaye amefikwa na
umauti muda mfupi baada ya
kudondoka chini ni mfanyabiashara
aliyekuwa akimiliki maduka kadhaa
ya urembo wa akina mama yaliyopo
jirani na Hoteli hiyo ya Concord.
Aidha taarifa hizo za awali kutoka
kwa mmoja wa wanafamilia ambaye
alidai kuwa si msemaji wa familia ya
Shirima ya Mwika Moshi mkoani
Kilimanjaro, nikuwa Marehemu mara
kwamara alikuwa akipendelea kula
katika hoteli hiyo na siku ya tukio
inadaiwa kuwa aliwaeleza watu kuwa
anapanda juu ya Hoteli hiyo
kupunga upepo baada ya kuhisi
hewa nzito mahali alipokuwa.
Inadaiwa kuwa baada ya kupanda
huko juu ghafla alianguka chini na
kudondokea gari dogo aina ya Toyota
Corola linalofanya biashara ya Taxi
na kupoteza maisha yake na gari hilo
kuharibika vibaya kutokana na
kishindo hicho.
Marehemu Shirima mbali na kuwa
Mfanya Biashara wa muda mrefu
Kariakoo pia alikuwa akiendelea na
Ujenzi wa Jengo la Gorofa maeneo ya
Kariakoo.
Marehemu ameacha Mjane na
watoto 5.
BENDI ya Extra Bongo kwa mara nyingine tena imeibomoa The African Stars ‘Twanga Pepeta’ baada ya kumnyakua mnenguaji wake mahiri Aisha Madinda , ambapo mkurugenzi wa Extra Bongo , Ali Choki alimtambulisha Madinda kwa waandishi wa Habari. Choki alisema Madinda amejiunga na Extra kwa matakwa yake mwenyewe , na tayari ameshaanza mazoezi na bendi hiyo wiki mbili
Mwanafunzi ifm afariki baada ya kulishwa chakula na mpenzi wake ambae ni mke wa mtu
Habari zilizotufikia toka IFM- Dar es
salaam ni kwamba mwanafunzi
mmoja ambaye bado hatujafanikiwa
kulipata jina lake amefariki dunia
kwa kulishwa sumu katika chakula
alicholetewa na mpenzi wake ambaye
ni mke wa mtu……
Taarifa zaidi zinadai kwamba
Mwanafunzi huyo alikuwa na
uhusiano wa karibu sana na mke wa
mtu ambaye mbali na starehe za
kimapenzi alikuwa pia anampekea
chakula cha jioni
Baada ya mchezo huo kudumu kwa
muda, mume wa mwanamke
aliusoma mchezo mzima na kuandaa
tego la kuwaangamiza wote….
Habari zinadai kwamba Siku ya
jumatano jioni mwanaume huyo
aliwahi kurudi nyumbani na
kufanikiwa kukinasa chakula
kilichokuwa kimeandaliwa tayari kwa
kupelekwa kwa huyo mwanafunzi
ambaye alikuwa anatembea na mke
wake…..
Baada ya kukinasa, alijifanya kuzuga
na kupotezea…Mkewe alipotoka
alikichukua na kukitia sumu chakula
hicho na kisha kukiweka kama
kilivyokuwa kimeandaliwa….
Lengo lake lilikuwa ni kuwamaliza
wote maana alijua ni lazima akifika
watakaa na kula pamoja…..
Mwanamke alipopeleka chakula
hakukaa kula na badala yake
alimwambia yule mwanafunzi kuwa
mume wake amewahi kurudi siku
hiyo hivyo hatoweza kukaa wale
pamoja….Mwanafunzi huyo
akakipokea na kukila na ndipo mauti
yakamkuta
Habari toka chuoni hapo zinadai
kwamba mwanafunzi huyo alikuwa
ameshadisco lakini alikuwa amepewa
nafasi nyingine ya kurudia mwaka wa
pili , hivyo aliendelea kukaa mtaani
kama mwanafunzi….
Mwili wa marehemu bado uko
Muhimbili kwa uchunguzi zaidi
baada ya polisi kuuzuia kuzikwa….
Hizi ni habari mbaya sana kwa
wanafunzi wa chuo hicho maana ni
jumatatu tu mwanafunzi mwingine
alifariki katika hali ya kutatanisha
baada ya kifo cha mpenzi wake miezi
michache iliyopita….
Habari za ndani zaidi zinadai kuwa
toka mwaka huu uanze mpaka sasa
chuo cha IFM kimepoteza wanafunzi
12 huku wawili wakiripotiwa kuwa na
hali mbaya zaidi katika hospitali ya
Muhimbili…. (28)I
Haya ndio maneno ambayo diamond kamuandikia penny kwa birthday yake
amemwandikia maneno matamu.
“Sometimes I wish you could know
how much you mean to me…its a
lot’..fu***n a lot, I can’t even
explain it.. It’s even more than
money… sometimes I don’t even
know how to col u, a wife,
friend,sister,bedmate, partner.. Ooh
God! I don’t know coz you are more
than dat,”
“Siku zote umekuwa mwema,
mkarimu,mpole,nidhamu na mwenye
mapenzi tele juu yangu…. You
always should keep this in your
mind “I LOVE YOU SO MUCH”…
Happy birthday Darling.”ameandika
Diamond
Kwa maneno haya, hakuna msichana
anayeweza kujizuia kulia kama
akiambiwa na mpenzi wake.
Baada ya kuona ujumbe huo
ulioandikwa na Diamond kwenye
Instagram, Penny amejibu:
“Baby u just made me cry!! Oh God
Naseeb I luv u so much hubby…
wallahi sina hata cha kujibu to make
u understand How I appreciate ur
sweet luv,God has given me so many
things but bringing u in my life is
the best gift I have received…U just
made my day,years,a lifetym…I wont
forget this…thank u hubby.”penny aliongeza.
HAPPY BIRTHDAY PENNY.
Serekali yaanza opereshen kamata makahaba Mrembo brandina awa chambo
MREMBO Brandina Barthon (24),
Jumatatu iliyopita alihukumiwa
kwenda jela miezi 6 baada ya
kupatikana na hatia kwenye kesi ya
ukahaba iliyokuwa ikimkabili katika
Mahakama ya Sokoine Drive (Jiji)
jijini Dar.
Brandina alisomewa hukumu hiyo na
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo,
William Mutaki ambaye alisema
kutokana na ushahidi uliothibitika,
mahakama hiyo inamhukumu kwenda
jela miezi 6, ili liwe fundisho kwa
wengine.
Hukumu hiyo ilimfanya mrembo huyo
kuchanganyikiwa na kuangua kilio
lakini mheshimiwa hakimu aliamua
kukazia hukumu yake bila ya
kupepesa macho.
Wakati mwanamke huyo akiangua
kilio, afande wa Jeshi la Magereza
alimfikia na kumchukua kwa ajili ya
kumpeleka kwenye Karandinga
kuelekea Gereza la Segerea kuanza
maisha ya jela.
Mbali na Brandina, mwanaume
aliyedaiwa kuwa ni mpenzi wa
mtuhumiwa huyo aliyekuwa
akifuatilia kesi hiyo naye alimwaga
machozi baada ya kutolewa hukumu
hiyo.
Wolper ajutia historia yake ya mapenzi
DIVA wa kiwango cha juu cha filamu
hapa Bongo, Jacqueline Wolper,
ameonekana kujutia historia yake ya
kimapenzi baada ya kufungukia
kitendo cha yeye kumuanika kila
aliyekuwa akimpenda kwamba
kimemtibulia na sasa amejifunza
kutokana na makosa.
Jacqueline Wolper.
Akizungumza na Ijumaa hivi
karibuni, Wolper alisema kuwa,
kwenye maisha yake ya huko nyuma
ameshajianika akiwa na wapenzi
tofauti lakini sasa atakayempa nafasi
kwenye moyo wake hatamuanika ila
hilo litakuja baadaye sana kwani
sasa hivi kaweka pembeni kwanza
mambo ya mapenzi.
“Sitaki yajirudie yaliyotokea katika
maisha yangu ya huko nyuma, hata
hivyo sasa hivi niko bize sana na
kazi, mambo ya wanaume nimeamua
kuyaweka pembeni kwanza,” alisema
Wolper na kuongeza:
“Sitaki itokee kama ilivyokuwa kwa
Dallas ambapo kila mtu alijua
alikuwa ni mtu wangu, kwa sasa
nimeamua kutulia kwanza na hata
nikimpata mwingine watu
hawatamjua hadi wakati wa ndoa.”
Source:Global publisher and antipas