Friday, May 31, 2013

Tigo pesa yazidi kufana sasa unaweza kulipia ticket yako kupitia tigo pesa



Bw William Mpinga na Tim Lee Foster

(kati ya picha) wakipiga picha ya

pamoja na wakilishi kutoka kampuni ya

Tigo na fastjet Tanzania mwishoni wa

unzinduzi wa huduma mpya inayo

wawezesha wateja.JPG

Meneja wa chapa ya tigo , Bw William

Mpinga ( Kushoto) akiwa na Meneja

Mkuu wa fastjet Tanzania , Tim Lee

Foster (kulia) wakati wa uzunduzi wa

huduma mpya ambayo itawawezesha

wateja wa Tigo ku.JPG

Waandishi wa habari kutoka vyombo

mbalimbali wakiudhuria press

conference ya uzinduzi wa huduma

mpya inayo wawezesha wateja wa Tigo

kununua tiketi ya ndege za fastjet

kupitia huduma ya Tigo P.JPG

Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company

Thursday, May 30, 2013

P funk adai depresion ndo sababu ya ngwear kujiingiza kwenye madawa



4

P-Funk: Mangwea

alijiingiza kwenye

utumiaji wa madawa

ya kulevya kupunguza

mawazo

May 30, 2013

Producer P-Funk Majani

amefunguka na kusema kuwa

marehemu Albert Mangwea

alijiingiza kwenye utumiaji wa

madawa ya kulevya ili kupunguza

mawazo. Majani amesema kwa

muda mrefu alikuwa akijaribu

kumweka chini Mangwea

kumuonya kuhusu matumizi ya

madawa hayo lakini alikana

kuyatumia.

Ameongeza kuwa anajilaumu

kwakuwa alishindwa kufanikiwa

kumuondoa rapper huyo kwenye

matumizi ya madawa ya kulevya.

“I knew already from 2006

kulikuwa na watu wanaongeaga

kwamba anatumiaga madawa ila

kila nikimkadamiza nimweke

kwenye kiti nimwambia Ngwair

you are using ‘ohh P don’t bring

that shit you are accusing me

and I always said ‘Ngwair come

on’, amesema Majani kwenye

video aliyorekodiwa na mtandao

wa GongaMX.

“Kumbe miaka yote hiyo maskini

alikuwa anatumia. Na I look in

myself and I ask myself what is

the reason for him to do this it

was because psychologically he

was unstable. Mangwea ni mtu

ambaye amefanya vitendo

vikubwa hapa nchini lakini ile

faida na support a ukweli

hajaipata,” aliongeza.

“Ukiangalia wasanii wengine wa

Bongo Records akina Juma

Nature, Profesa Jay they got more

leverage but Mangwea was a very

big artist, he made one of the

best ever albums in Tanzania till

to date. I think that’s what drove

him slowly in depression and

people don’t use drugs unless

they are depressed. Kwasababu

mimi situation kama hiyo

ilishawahi kunifikia.”

Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company

eGadgetry: Samsung Galaxy SIII Fake

eGadgetry: Samsung Galaxy SIII Fake

Juhudi za wabunge wa Kenya kuongezewa mshahara zaingia doa


Mahakama nchini Kenya

imesimamisha utekelezaji wa

nyongeza ya mishahara ambayo

wabunge wa nchi hiyo

walipendekeza kujiwekea. Chama

cha mawakili nchini Kenya

kiliwasilisha ombi la kutaka

kuwekewa amri ya kisheria wabunge

hao siku moja baada ya wabunge

hao kupiga kura ya pamoja kutaka

wajoingezee mishahara.

Wanaharakati wamekuwa wakipinga

jaribio hilo huku wakiandaa

maandamano katika barabara za jiji

la Nairobi wakimuomba rais

asiidhinishe kura hiyo.

Hapo jana Rais Uhuru Kenyatta

aliwafokea wabunge hao kwa uamuzi

wao huku akisema kuwa mishahara

ya wafanyikazi wote wa Umma

inadhibitiwa na tume ya mishahara

iliyoundwa.

Kwa upande wao wabunge hao

wameishutumu tume hiyo wakidai

kuwa ilivuka mpaka wake

kupendekeza wapunguziwe

mishahara yao kwa takriban asili

mia hamsini kutoka dola elfu kumi

kwa mwezi.

Wabunge hao wameelezea hasira

zao juu ya tamko la Rais Uhuru

Kenyatta na tume ya kudhibiti

mishahara ya maafisa wa serikali

ambao wanasema waache vitimbi

vyao vya kutaka kuongezwa

mishahara.

Wanatishia kubadilisha sheria ya

idadi ya maafisa wanaoweza

kuhudumu katika tume za serikali

hadi watatu , kupunguza mishahara

ya maafisa wa serikali kwa asilimia

hamsini na saba na kuwaondolea

wananchi wanaopata chini ya

shilingi elfu hamsini kama ajira

uwezo wa kutozwa kodi.

Wabunge hao hata hivyo hawaoni

ubaya wowote wa kulalamika kuwa

mishahara yao inapunguzwa

wakisema wanasubiri tume ya

bunge kuwalipa mishahara yao ya

laki nane na hamsini kutoka laki

tano

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company

matokeo ya kidato cha nne yatoka yaangalie hapa


 bonyeza hapa 

Location : Address not available
Poudly supported by washari company

Dark master akana kauli yake kuhusu kifo cha m2 p



Mwanzilishi wa uvumi wa kwamba Aliyekuwa na Albert mangwear msanii m

wenzke M2p amefariki dark master si zavkweli na yeye alizisikia kwa rafki yake ambaye Yupo bondeni samahanini watanzania get well soon m2 the p

Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company

Haya miss Tanzania disk tusemejr



Ndo latest tweet yake

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Mchungaji afedheheswa baada ya kufumaniwa live na mwanakwaya



Habari zilizoripotiwa na mtandao wa

Kenyan-Post zinasema msichana

huyo mweye miaka 23 amekuwa na

mahusiano ya muda mrefu na pasta

huyo kabla hawajabambwa.

Kisa hiki ni kama movie ambazo

tumezoea kuziona zenye story line

ambayo unaweza kutabiri mwisho

wake.

Kwa mujibu wa mtandao huo, ile

‘siku ya 40’ mke wa pasta huyo

alikuwa anatarajia kusafiri kwenda

nyumbani kwao kusalimia wazazi

wake hivyo mumewe alimsindikiza

mpaka kituo cha basi, lakini

alionekana kuwa mtu mwenye haraka

na kumwambia mkewe kuwa siku

hiyo ana mkutano muhimu hivyo

anapaswa kuwahi. Baada ya

kumfikisha kituoni aligeuza gari kwa

haraka na kuondoka.

Huku nyuma mke wa pasta kwa

bahati mbaya (upande wa pasta) na

bahati nzuri (upande wake)

aligundua kuwa amesahau zawadi

aliyokuwa amemnunulia mama yake

mzazi ambaye ndio anaenda

kumsalimia hivyo ikabidi airudie

nyumbani kisha asafiri na basi

litakalokuwa linafuata.

Alipofika nyumbani anapoishi na

mumewe alishangaa kukuta mlango

haujafungwa kwa nje na huku

anakumbuka walipoondoka

waliufunga hivyo akahisi huenda

wamevamiwa mchana kweupe,

alipojaribu kuusukuma ulikuwa

umefungwa kwa ndani ndipo

alipoomba msaada wa majirani

wakavunja kitasa na kuingia ndani.

Mama huyo alipigwa na butwaa kwa

kile alichokikuta ndani baada ya

kumkuta msichana anayemfahamu

kuwa kiongozi wa kwaya ya kanisani

la mumewe wakiwa uchi wa mnyama

katika kitanda chake na mumewe.

Maamuzi aliyochukua ni kuwavamia

kitandani na kuzitupa nje kupitia

dirishani nguo zao wote lakini kwa

bahati mbaya msichana

aliyemfumania alifanikiwa kukimbia

na kumuacha pasta mwenyewe.

Huwa wanasema hasira ni hasara na

maamuzi ya hasira hugeuka majuto

baadae, baada ya mmbaya wake

kukimbia aliamua kumvuta mumewe

(pasta) akisaidiwa na watu

wengine akiwa uchi wa mnyama na

kumtembeza mbele ya umati wa

watu mpaka katika kanisa analotoa

huduma pasta huyo kwa lengo la

kufichua mabaya yake.

Bahati nzuri alijitokeza mwanaume

mmoja aliempatia shati lake ili

ajisitiri.

0

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Wednesday, May 29, 2013

 MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA KUZIKWA MOROGORO 


 MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA KUZIKWA MOROGORO 

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Ajali ya kutisha yatokea mzee mmoja apitoteza maisha



Ajali imetokea sasa ivi eneo la ity kwa kisawio ambapo mzee kapoteza Maisha

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

King kibadeni rasm msimbazi



 Kibadeni Sasa Rasmi Simba 

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Jide aahirisha show


ameahirisha

onesho (show) yake ya miaka 13

ambayo ilikuwa ifanyike Ijumaa

tarehe 31 na kulisogeza mbele

katika tarehe itakayotajwa baada ya

maziko ya Mangwea.

Jide aliyasema hayo akitokwa na

machozi na mwenye huzuni nyingi

asubuhi ya leo alipohojiwa na East

Africa Radio katika  kipindi cha

SUPER MIX na mtangazaji

"Zembwela."

Location : Address not available

Posted via Blogaway

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

M to the p afufuka


Habari kutoka Johannesburg ni

kwamba M to the P yuko hai na

ameanza kuongea taratibu.....oo

oops.....watu walishamuua. Atleast

tunaweza kujua nini kilimtokea

Ngwear....Na pia nadhani M to the P

ashakuwa Star.....



Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Medical report ya kilichowauwa mangwear na m2p hii hapa



Helen Joseph Hospital - Auckland

Park, Johannesburg, South Africa.

The Medical report from Helen Joseph

hospital, Dr. Shirley Radcliffe

confirming that; Albert Mangwair

died from: “Alcohol toxicity” after

drinking too much, Over-exhaustion

and drugs overdose. The inquest

heard that Albert 28, collapsed in his

friend's home had been more than

five-times the legal S.A drink-drive

limit with 416mg of alcohol per 100

millilitres of blood in his system. Dr.

Radcliffe described the

reasons for ICU admission included

hypoxemia and one of his friend

found “two empty vodka bottles in

the car” and he had been suffering

from the eating disorder (Bulimia)

for several months before his death

and endless partying session with

little or no resting. Sample taken

from his stomach showed poly-drug

cocktail and he overdosed Heroin,

Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms

was also found in his blood, and his

death was caused by massive heart

attack and respiratory failure followed

by sudden heart stop...and end up

dead within seconds.

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Kaka wa coobama kuelekea south Africa



Kaka mkubwa wa

marehemu kusafiri leo

kuufuata mwili wa

Mangwea Africa Kusini

admin May 29th, 2013

0 Comment

Habari zilizopatikana muda huu

zinasema kuwa familia ya Mangwea

inajipanga kutuma ndugu kwenda

Africa Kusini leo (May 29) kwaajili ya

kufanya utaratibu wa kurudi na

mwili wa Marehemu Albert

Mangwea.

Akiongea na Bongo5 muda mfupi

uliopita dada wa marehemu aitwaye

Evelyn, amesema kuwa anahitajika

ndugu wa marehemu asafiri kwenda

Africa Kusini kwaajili ya kufanya

utaratibu wa kurudi na mwili,

sababu kule hawawezi kumtoa na

kumsafirisha bila ndugu yake wa

karibu kwenda.

Kwa Mujibu wa Evelyn familia iko

katika mipango ya mwisho ya safari

hiyo ambayo kaka yao mkubwa na

Mangwea ndiye anayetarajia kusafiri

leo hii (May 29) kwenda South Africa

kuufuata mwili.

“Habari mpya ni kwamba mtu atoke

hapa Tanzania aende akachukue

mwili kule hawawezi kuconfirm yaani

kumtoa kumsafirisha bila ndugu yake

wa karibu kutoka huku, kwahiyo ndio

process zinafanywa, kaka yake

mkubwa ambaye ni kaka yetu atoke

hapa aende South, ndio nadhani

atarudi na huo mwili. Ataondoka leo

hii hii muda wowote na wakati

wowote, “Alisema dada wa

marehemu Albert Mangwea.

Msiba wa rapper kipenzi cha wengi

Ngwea uko Mbezi Beach Goigi kwa

baba yake mdogo , ukishuka goigi

ukiulizia kwa mzee Mangwea kwenye

msiba utaelekezwa. R.I.P

Brother

0

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

M 2 the p amfuata ngwear



BREAKING NEWS: M2 THE P NAYE

AFARIKI DUNIA

Taarifa zilizothibitishwa kutoka nchini

Afrika Kusini ni kwamba yule msanii

aliyepelekwa hospitali pamoja na

Mwana Hip Hop, Albert Mangwair

aitwaye M to the P naye amefariki

dunia leo. M to the P alipelekwa

katika hospitali ya St Hellen iliyopo

jijini nchini humo kwa matibabu

baada ya kukutwa amepoteza

fahamu akiwa na Mangwair aliyefariki

dunia jana.

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

P funk aongeza joto cloudz



BREAKING NEEEWS :::

JOTO HASIRAAAAAAAA LAZID KUKOLEA

JOTO

" Staki kusikia nyimbo zote za

marehemu ALBERT

MANGWEAR alizorekodi BONGO REC

zikipigwa CLOUDS FM kuanzia sasa"

Muda mfupi uliopita nilipokea simu

kutoka kwa Producer mkongwe hapa

bongo anajulikana kwa jina la P Funk

Majani na kuniomba nipokee msg hii

hapa chini na kuwaomba watanzania

walijue hili na baadae atatoa barua

rasmi.

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Tuesday, May 28, 2013

Mabeste kuanza kufanya mziki wa gospel



Msanii wa muziki wa kizazi kipya

aliye chini ya B’Hits Music Group,

Mabeste ameamua kubadilika

kidogo na kuongeza wigo wa

nyimbo anazofanya ambapo sasa

atakuwa akifanya pia kwenye

muziki wa gospel.

Akiongea na Bongo5, Mabeste

amesema ameamua kuimba

gospel kwakuwa ndio muziki

unaogusa mambo ya kijamii na

kuelimisha na rap itabaki kama

biashara.

“Nimefanya kufanya rap a

commercial lakini sasa nina

design nyingine ya muziki

ambayo nataka kuimba ambayo

itakuwa inahusu kijamii as

kuelimisha zaidi kama gospel

ndiyo kitu ambacho sasa hivi

nataka nikifanye na nitarealese

haina hata miezi miwili, ambayo

itakuwa kwenye aina ya gospel.” bongo5 

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Download Kali za ngwear hapa



Click hapa umuenzi ngwear

 http://mp3yeah.net/mp3/ngwair.html 

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Download hit song za cowobam! Hapa



 downloadkwakuclick hapa 

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Huu ubunifu wa cowobama tutaumiss em mchek hapa kwa CNN


Kesha ka.. kesha kesha

Kesha ka.. kesha kesha (yeah)

Eyo Q, hakuna kitu tunafanya zaidi

ya ku..

Kesha ka.. kesha kesha

yani tuna yaani

Kesha ka .. kesha kesha

haha tuna

Kesha ka .. kesha kesha (yeah)

Bongo Records baby Holler!

Kesha ka .. kesha kesha

kama mifuko ndo imejaa zaidi ya

ATM

then tuko..high zaidi ya KLM

then tuna kesha kama CNN

Kesha ka .. kesha kesha

Ke kesha kama CNN

Kesha ka .. kesha kesha X2

Usiniite half-man, niite man and a

half

u think small, and you'll remain

small for life

Hatuwezi piga same instrument

but we can all be in the same

key.. son

Experience makes a person better

or bitter

naeza flow slow but brain inaeenda

speeder

nasamistrain kama pain

inavyoumiza

na gain tu kila mida complain

nazimaliza (what else?)

Naulenga mwezi na Jua hata

nikiukosa nitatua tu juu ya nyota

na mambo yatakuwa shkopa

Boss Fid kasema you need to try, ye

so Police

so please ni Halali sikatai, wala

usimdiss kama MCs hata ukimrithi

baadae

muulize weeds kama fid wa

squeeze na showbiz defined

masnitch wanamdiss fid afu song

yenyewe nishai

hawa see jinsi nnavyo *flow ka Gs

Rewind**

kama mifuko ndo imejaa zaidi ya

ATM

then tuko..high zaidi ya KLM

then tuna kesha kama CNN

Kesha ka .. kesha kesha

Ke kesha kama CNN

Kesha ka .. kesha kesha X2

Bastola cash and.. toa code someka

wapi lipo bata wapi leo

kinaeleweka, napesa mingi mpaka

natamani jiteka

then watu wapo king.ston ka

Jamaica

ni ma model, madodo waku roll na

ma Gangasta

Divas and Hustlers, Paper Chasers!

Nani anaeza piga ngoma kali ka

hii???... me!

Nani anaeza gonga beat nzito ka

hii?? ... P!

Yeah you know that ni Bongo

Records true na Q east zoo tu juu

au si skii

Usipime hizi records ,ziko heavy

place nothin above it man, you

gotta love it man!

Leo ni mwendo wa gambe tu na

Malavidavi na warembo wakali

matata ka Flavi.. (what?)

Tunapata zetu couple of rounds

then ..yeah.. we outta of the town!

kama mifuko ndo imejaa zaidi ya

ATM

then tuko..high zaidi ya KLM

then tuna kesha kama CNN

Kesha ka .. kesha kesha

Ke kesha kama CNN

Kesha ka .. kesha kesha X2

watu wana dough, yo mpaka soo

na bado daily wanaget more

kwa mishe na kali flows!

watoto wa mama wana blow

dada zao they **cursey curvy**

wataka tuwe wao baby daddys

wapate... ya ki gangsta ki

hardcore!

tukikesha kama CNN

Kwa kukesha na kula bata, tuko so

allergic

kwa watoto wa geti kali, we are so

magnetic

Mapedeshee wanapigwa tu mitama

counter

si tunazidi chafua bedsheets za

mama zao

tunajikinga japo wanamaindi kuzaa

na si

wanathamani ya Diamond na

tunawabeba for free

issue zote unasimamia playboy

anaunderstand

na leo kesho akizingua unatake her

bestfriend

kama mifuko ndo imejaa zaidi ya

ATM

then tuko..high zaidi ya KLM

then tuna kesha kama CNN

Kesha ka .. kesha kesha

Ke kesha kama CNN

Kesha ka .. kesha kesha X2



Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Habari za uhakika kuhusu kifo cha ngwear



ripoti kamili

Taarifa Nilizo Pata Kutoka South

Africa Kutoka Kwa Hussein

Original Ambaye Yupo Pretoria

Amesema Ngwear Amefariki Leo

Asubuhi. Alikuwa Ghetto Moja Na

Msanii M To The P.

Walivyokwenda Kuwagongea

Asubuhi Walikuta Ngwear

Amefariki Na M To The P

Amepoteza Fahamu Kabisa. Pia

Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa

Watu Wa Karibu Wa Ngwear

Huko South Africa. Ngwea akiwa na

msanii M to the P jana south

africa.mtu wa karibu anasema

walitakiwa kurudi dar leo lakini

waliwakuta wamezima kwenye room

wote wawili baada ya kuji overdose

madawa ya kulevya na M to the P

yupo hoi hospitali.

 waunzi.com 

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Friday, May 24, 2013

Je wajua maajabu ya Facebook


FACEBOOK:

A social network where:

People like sad updates

Married couples mingle. flirt and date

young one's

Where a Guy /a Girl can be dating or

in a relationship with someone but

flirts with more than 100 people in

the inbox

Where people are holy on Sunday but

weekdays are always horny

Where a lady can tell you "FUCK YOU"

and yet she gat nuh dick!

Where a Guy can call a lady a bitch

and yet he has never slept with her!

Where celebs sends you there page

to like yet they can't even reply your

damn fucking inbox.

Where people fake love

Where sex chat can make someone

date you

Where haters keep visiting your

profile every now n then

Where ugly one's have beautiful

photos LMAO!!!

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Thursday, May 23, 2013

Mtwara hapatoshi



Mwandishi wetu aliyepo Mtwara

ametueleza kuwa hivi sasa baadhi

ya wananchi wa eneo la

magomeni mkoani mtwara

wamekimbilia katika Hospitali ya

Mkoa wa Mtwara Lugula

wakihofia usalama wao kutokana

na vurugu za kuchomwa kwa

nyumba zao pamoja na vibanda

vya biashara zilizotokea leo

asubuhi katika eneo hilo.

Location : Address not available
Posted via Blogaway

Mjue peter tosh



Peter Tosh (19 Oktoba

1944 – 11 Septemba 1987)

huyu alikuwa ni

mwanamuziki Mjamaika wa

mtindo wa rege, alikuwa

na kipaji mahiri cha

kutunga mashairi ya

muziki, pia alikuwa ni

mpigaji mahiri wa gitaa.

Peter alizaliwa tarehe 19

Oktoba 1944, akiwa ni

mtoto pekee wa mama

Alvera Coke, baba yake

aliitwa James Mclntosh

ambaye alikuwa ni

mhubiri wa kanisa la

Savanna-la-mar. Peter ni

jina ambalo alibadilisha

lakini jina lake halisi ni

Winston Hubert Mclntosh.

Katika maisha yake

hakubahatika kulelewa na

baba na mama yake,

alilelewa na shangazi yake

sababu wazazi wake

hawakuwa na muda wa

kumlea, hivyo huwezi

kuamini alijitunza

mwenyewe kwa baadhi ya

mambo bila kupata

matunzo kutoka kwa baba

yake ambaye alikuwa ni

baba wa watoto wengi.

Peter alianza kupiga ala

za muziki akiwa kijana wa

umri mdogo, alijifunza

kupiga kinanda kwa miezi

sita pia alijifunza kupiga

gitaa, ala hiyo ndiyo iliyo

kuja kumpa umaarufu,

mwaka 1956 baada ya

kuondoka Savanna-la-mar

Peter na shangazi yake

walikwenda mji wa

Denham katika jiji la

Kingston, Peter alipofikia

umri wa miaka kumi na

tano shangazi yake

alifariki, hivyo alikwenda

kwa mjomba wake West

Road huko Trench Town.

Peter alikutana na Robert

Nesta Marley (Bob Marley)

na Neville O'Reilly

Livingston (Bunny Wailer)

na wakajiunda kuwa

watatu wa kwanza wa

Wailer halisi na wakajiita

Wailin'Wailers, na

walianza kuimba pamoja

mwaka 1962 na alikuwa ni

yeye tu kati yao aliyeweza

kupiga ala, hivyo alifanya

bidii ya kuwafundisha

wenzake na alikuwa ni

mmojawapo

aliyemfundisha Bob

kupiga gitaa. Peter alijitoa

Wailers mwaka 1974 hii ni

baada ya Chris Blackwell

kukataa kutoa albamu yake

ya kwanza yeye akiongoza

safu ya uimbaji.

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Wednesday, May 22, 2013

Yaliojiri kwenye tamasha L burudani na tigo



Msanii wa kizazi kipya Faridi

Kubanda aka FID Q akimkabidhi

mmoja wa washabiki wako dada

Manka simu na vocha katika

tamasha la  tabasamu na Tigo MINI

KABAANG lililofanyika kwenye

viwanja vya sabasaba Morogoro

Location : Address not available
Posted via Blogaway

Tuesday, May 21, 2013

Wakenya wapata wivu baada ya obama kutembelea Tanzania na kuacha kenya


US President Barrack Obama who is

accused of turning his back on his

home country Kenya is heading to

South Africa on a visit where he will

be accompanied by the First Lady in

July.

This visit will see him visit Tanzania,

Senegal, and he will bypass Kenya

his country which he has not visited

since becoming US President. Obama

has living siblings and other

relatives in Kenya. He is also

skipping Zimbabwe.

Obama is expected to meet with

business people, civil society

leaders, young people and support

African demands for democratic

governance when he visits South

Africa from July 26 to August 13. This

will be a long journey for Obama

who is well known for dashing across

time zones on trips made abroad.

It is expected that Obama will use

this visit to Focus on the presidents

Emergency Plan for AIDS relief, the

brainchild of former President

George Bush who is known to have

saved many lives.

Obama last visited Kenya in 2006

before he entered the White House,

his wife Michelle was last in Africa in

2011 when she visited Mandela.

Speculation is rife on whether he

will see ailing Nelson Mandela

during his visit.

During his first term in office Obama

spent a few hours in Ghana and

disappointed many Africans who

expected to spend more time in

Africa.

Obama addressed Ghana’s

parliament in 2009 and proclaimed

that even though the continent was

in need of international aid, “Africa’s

future is up to Africans.”

Obama`s US Ambassador to Kenya

Robert F. Godec revealed

that”Obama- to date has no single

declared intention to visit his own

home country Kenya.

“ President Obama and the United

States deeply value the relationship

with the government and people of

Kenya. We regret that the President

cannot travel to every country; but

our longstanding commitment

remains to all of our African

partners, and to the people of Africa,

as we look to deepen our

partnership with nations across the

region. The President’s trip will

underscore East Africa’s economic

potential and highlight the

President’s desire to deepen trade

and investment ties across the

region, including Kenya. Since its

independence in 1963, Kenya has

been one of America’s strongest and

most enduring partners in Africa.

Our partnership is based on a

shared commitment to democracy,

security, and opportunity. The

United States remains committed to

our partnership with the government

and people of Kenya” explained

Godec.

Asked whether Obama would ever

visit Kenya if the situation with the

ICC was different or if Kenyans had

chosen other leaders? Godec

replied: “We do not have any

information on President Obama’s

future travel plans”.

“The President’s trip to Senegal will

highlight Senegal’s restored place as

an African democratic leader after

the landmark March 2012 elections,

emphasize our strong partnership,

and promote continued cooperation

to advance economic growth and

market reforms. The President’s trip

to South Africa will underscore our

longstanding relationship with the

government and people of South

Africa and our shared commitment

to equality, prosperity, and human

dignity” said Godec

Through sound governance and

economic management, Tanzania has

emerged as a center of regional

growth and investment and a global

leader in the fight against poverty

and disease. Obama`s trip will

underscore East Africa’s economic

potential and highlight the desire to

deepen trade and investment across

the region, including Kenya

Location : Address not available
Posted via Blogaway

BongoClan™ Website No1 Ya Vijana: " MATOKEO YA KIDATO CHA SITA".....SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYA KIMYA

BongoClan™ Website No1 Ya Vijana: " MATOKEO YA KIDATO CHA SITA".....SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYA KIMYA

BongoClan™ Website No1 Ya Vijana: " MATOKEO YA KIDATO CHA SITA".....SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYA KIMYA

BongoClan™ Website No1 Ya Vijana: " MATOKEO YA KIDATO CHA SITA".....SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYA KIMYA

Ijue sababu ya ucheleweshwa wa matokeo ya kidato cha sita



MPANGILIO wa alama mpya za kufaulu kwa wahitimu wa kidato cha sita waliohitimu mwaka jana, ambao matokeo ya mitihani yao yanaweza kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, unadaiwa kuzua aibu na kama si uamuzi uliotajwa bungeni wa matumizi ya alama za ufaulu za zamani, matokeo hayo yangeibua aibu kama ilivyojitokeza kwa kidato cha nne, 2012.

Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari kutoka Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) ambalo linaendelea kupanga matokeo hayo ya kidato cha sita kwa kuzingatia alama za zamani kama ambavyo taarifa ya awali ya Tume iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ilivyosomwa bungeni hivi karibuni, hali ingekuwa mbaya zaidi katika ufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha sita kiasi cha kuweza kutishia uhai wa vyuo vikuu nchini kukosa wanafunzi wa kutosha.

“Hali ilikuwa mbaya sana kama alama za kufaulu zingeachwa zitumike zile mpya na si za zamani. Vyuo vikuu nchini visingeweza kupata wanafunzi wa kutosha.

"Tatizo hapa si uwezo wa wanafunzi moja kwa moja katika kumudu mitihani bali ni kufanywa kwa mabadiliko ya alama bila kuwaandaa.

" Alama hizi zilipaswa kuanza kutumika na wanafunzi wapya, yaani kama wanaanza kidato cha kwanza wawe wanapewa mitihani ya kupimwa kwa kuzingatia alama mpya na waendelee nazo hadi mitihano yao ya mwisho.

“Na hivyo hivyo kwa wanafunzi wa kidato cha sita. Alama hizi mpya zinapaswa kutumika kwako kuanzia wakiwa kidato cha tano mara wanapoanza shule, kila mitihani wanayopewa isahihishwe na kupangiwa alama kwa kutumia hizi alama mpya,” kinaeleza chanzo chetu cha habari kutoka NECTA.

Kwa mujibu wa mabadiliko hayo ya alama, alama mpya zilizokuwa zimetumika awali ni daraja F kuanzia 34 hadi sifuri; badala ya alama hiyo F kuanzia 20 hadi 0; daraja D kwa kuzingatia alama mpya linapaswa kuanzia 35 tofauti na awali, yaani alama 21.

Taarifa zaidi zinabainisha ya kuwa, kati ya sababu za kuchelewa kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha sita tofauti na muda uliotarajiwa yaani mwanzoni mwa Mei, ni pamoja na upangaji upya matokeo hayo, ikiwa ni tofauti na ilivyokuwa kwa kidato cha nne ambapo matokeo yalitangazwa na kisha kufutwa ili kuyapanga upya kwa kutumia alama za zamani.

Lakini alipoulizwa kuhusu masuala hayo ndani ya NECTA, Ofisa Habari wa Taasisi hiyo nyeti nchini, John Nchimbi alisema; “Kwa sasa niseme tu kwamba mchakato wa kuandaa matokeo ya kidato cha sita unaendelea, siwezi kusema lini hasa utakamilika lakini nina uhakika ni katika muda muafaka.”

Kuhusu matokeo ya kidato cha sita kucheleweshwa kutokana kupangwa upya ili kupunguza idadi ya waliofeli kutokana na matumizi ya alama mpya za kufaulu, Nchimbi anasema; “Unajua haya maagizo haya ya bungeni (kupanga matokeo kwa kuzingatia alama za zamani) yamekuja wakati mchakato wa kuandaa matokeo ulikwishaanza. Kwa hiyo baada ya maagizo ilibidi kufanya kazi hiyo tena kwa kufuata maagizo hayo.”

Hata hivyo, hakuweka bayana kama matokeo ya awali kabla ya maagizo ya Serikali yaliyotolewa bungeni kutumia alama za zamani yamewafanya wanafunzi wengi kufeli na badala yake akasema; “Hilo siwezi kulizungumzia kwa sababu mchakato wa matokeo hayo haukuwa umefika mwisho. Takwimu rasmi hazikuwa zimekamilishwa. Kwa hiyo si sahihi kusema rasmi walifeli.”

Lakini wakati hali ikiwa hivyo kwa upande wa matokeo yanayotarajiwa ya kidato cha sita, taarifa zaidi zinabainisha ya kuwa, baada agizo la serikali la kufuta na kurejewa upya kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012, takriban wanafunzi 50,000 wamepata unafuu katika matokeo yao tofauti na awali.

Awali, kwa kuzingatia matokeo ya kidato cha nne mwaka jana yaliyotangazwa Februari, mwaka huu jijini Dar es Salaam, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa, jumla ya watahiniwa 126,847 tu kati ya watahiniwa 397,136 waliofanya mtihani huo walifaulu.

Katika matokeo hayo idadi ya wasichana waliofaulu ilitajwa kuwa ni 46,181 wakati wavulana waliofaulu ikiwa wanafunzi 80,686 na idadi ya watahiniwa wa kujitegemea waliofaulu ni 16,112 kati yao watahiniwa 61,001 waliofanya mtihani wasichana ni 6,7751 na wavulana 9,361.

Katika matokeo hayo watahiniwa waliopata daraja la kwanza ni 1,641, daraja la pili 6,453 na daraja la tatu ni 15,426, wakati waliopata sifuri ni 240,903 lakini kwa kuzingatia taarifa za vyanzo vyetu ndani ya Baraza, idadi hiyo itabadilika kwa sababu ya alama kuongezwa kwa watahiniwa hao wa mwaka 2012.

Lakini matokeo hayo yalitangazwa pamoja na vituko walivyofanya baadhi ya wanafunzi, vikiwamo vituko vya kuandika matusi kwenye karatasi za majibu ya mitihani na kutokana na makosa hayo, watahiniwa 789 walifutiwa mitihiani yao.

Source: Raia mwema

Location : Address not available
Posted via Blogaway

Kikwete amwagia sifa lowassa


Rais Jakaya Kikwete

amemwagia sifa Waziri Mkuu

wa zamani, Edward Lowassa

hatua ambayo inaweza

kutafsiri mengi katika

medani ya siasa nchini.

Akizungumza na wabunge wa

CCM kwenye Ukumbi wa White

House Dodoma juzi, Rais

Kikwete ambaye pia

mwenyekiti wa chama hicho,

alisema nguvu za Lowassa

pekee zinatosha kushinda

uchaguzi mdogo wa kiti cha

udiwani Kata ya Makuyuni

kilichoko wilayani

Monduli.

Kata ya Makuyuni iko

wilayani Monduli, ambako

Lowassa amekuwa mbunge

wake tangu mwaka 1995.

Habari za kutoka ndani ya

kikao hicho zinaeleza kuwa

Rais Kikwete alitoa kauli

hiyo kuhusu kampeni za

uchaguzi huo wa Makuyuni,

baada ya kuwa ametoa ruksa

kwa makada wa chama hicho

wanaotaka urais kuanza

kujipitisha pitisha

miongoni mwa wanachama wa

chama hicho. Lowassa

anatajwa kuwa miongoni mwa

wanaCCM wanaotaka kumrithi

Rais Kikwete kwenye

Uchaguzi Mkuu mwaka 2010.

“Sina tatizo na pale

Makuyuni, najua muscles

(misuli) za Mzee Lowassa

zinatosha kutupa ushindi;

au vipi mzee?” alidokeza

mmoja wa wabunge wa CCM

akimnukuu Rais Kikwete.

Uchaguzi wa Udiwani Kata

ya Makuyuni unaotarajiwa

kufanyika Juni 16, mwaka

huu, utakuwa wa ushindani

mkali kati ya CCM na

Chadema ambao historia yao

kisiasa mkoani Arusha ni

ya uhasama.

Katika uchaguzi huo,

unaofanyika baada ya kifo

cha Abdillah Warsama

(CCM), chama hicho

kitatetea nafasi yake kwa

kumsimamisha Godluck

Lerunya na Chadema ni

Japhet Sironga. Mbali na

Kata ya Makuyuni, uchaguzi

wa udiwani mkoani Arusha

utafanyika pia katika Kata

za Kaloleni, Themi,

Kimandolu na Elerai,

kutokana na waliokuwa

madiwani wa kata hizo

(Chadema), kufukuzwa na

chama chao.

“Mnaweza kuchafuana leo,

kesho mkapata mgombea

mwenye nundu nyingi na

mabandeji kila mahala,

halafu mkapata shida

kumnadi,” alisema.

Siyo mara ya kwanza kwa

Kikwete kumsifia Lowassa

kwani aliwahi kufanya

hivyo mwaka jana huko

Longido wakati akikabidhi

ng’ombe.

Pia aliwahi kumsifia

wakati wa kampeni za

uchaguzi za mwaka 2010

wakati Kikwete

alipomwelezea Lowassa kama

Mbunge makini na kuwaomba

watu wa Monduli kumchagua

tena.

Hata hivyo, alipoulizwa

kama baada ya kuruhusiwa

kuanza kujipitisha kwa

wanaCCM kama anataka

kuwania urais, Lowassa

alijibu kupitia watu wake

wa karibuni kuwa

asingependa kuzungumzia

suala hilo hasa baada ya

Rais kutoa kauli hiyo.

Kutangaza nia ruksa

Rais Kikwete aliwaeleza

wabunge hao kuwa si kosa

kwa watu kutangaza nia ya

kugombea nafasi mbalimbali

za uongozi ikiwamo urais

mwaka 2015.

“Wabunge na mawaziri wenye

nia ya kutangaza nia ya

kugombea urais wawe huru,

kwani hiyo ni haki yao,

isipokuwa wafanye kwa wema

bila kukivuruga chama na

kuwagawa wanaCCM katika

makundi. Sioni tatizo watu

kujipitisha. Sisi sote

hapa tulijipitisha. Lakini

tufanye hivyo kistaarabu

bila kuvurugana.”'

Aliwaagiza wabunge wa

chama hicho kwenda

majimboni mwao kusikiliza

kero za wananchi badala ya

kusubiri wakati wa

uchaguzi.

Membe

Waziri wa Mambo ya Nje na

Ushirikiano wa Kimataifa,

Bernard Membe ambaye naye

anatajwa kuwa miongoni mwa

wagombea amewataka

waandishi waache kuandika

kila siku habari za urais

na badala yake waandike

mambo ya maendeleo.

Akizungumza na waandishi

wa habari jana baada ya

kukutana na mabalozi wa

nchi zinazoendelea kuhusu

Mkutano wa Smart

Partnership, unaotarajiwa

kufanyika nchini, Membe

alisema ni vizuri

yakaandikwa mambo ya

maendeleo na si kila

wakati kuandika mambo ya

urais.

“Mkutano kama huu nchi

kama Kenya watauripoti

vizuri na kwa undani hivyo

mfanye hivyo si kila kitu

urais 2015,” alisema

Membe. Mkutano huo utaanza

Mei 28, hadi Juni Mosi na

utajadili jinsi gani

sayansi na teknolojia

vinaweza kutumika

kuzikwamua kiuchumi. wa kitaa 

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Sunday, May 19, 2013

Waraka wa vinega huu hapa



Ni wazi na dhahiri kabisa kesi

iliofunguliwa mahakamani dhidi ya

Lady JayDee haina maana yoyote

isipokuwa ni hofu ya mafisadi wa

muziki nchini (Kusaga na Ruge) kwa

kuwa waraka wa piliulikuwa utoke tar

15 may na mwingine tar 17 may

mwaka huu wa 2013.

Hapa la kujiuliza ni juu ya interview

ya Rugen a kinachoendelea sasa,eti

suala limefika mahakamani,kweli

Kusaga na Ruge mmeweza

kuthibitisha nyie ni mafisadi na

mnamuaibisha Rais Kikwete ambaye

nina uhakika anajua kuwa nyie ndio

kikwazo kikubwa na hata Bungeni

alishawahi kuzungumza kuwa alitoa

studio na pango kumbe tatizo sio

hilo,tujiulize wote kuna nini

wanachoficha hadi kumtafutia kesi

raia mwema asie na hatia?

Tena anaejitafutia rizki ambayo wao

wanapigana nayo kwa

kumkandamiza?

Huku wakitumia mabavu wakilindwa

na baadhi ya viongozi wa serikali na

waandishi ambao majina yao

mtayapata kupitia nyaraka

zinazokuja (zipo 88) na huu ndio wa

kwanza.

Nimesikitika sana na njia pekee ya

kuufahamisha umma juu ya ufisadi

huu wa Ruge Mutahaba na Joseph

Kusaga ni kuyaanika yote ambayo

jamii na Viongozi wa Serikali kama

mlikuwa hamjui sasa ndio wakati

muafaka wa kuwajua watu hawa

ambao kila kukicha ni kuimarisha

ufisadi wao na kujipendekeza kwa

Viongozi sambamba na watoto wao

(mtajua mpaka majina yao)

Naanza kupatwa na wasiwasi

nikijiuliza, endapo Lady JD angekuwa

amegombana na msanii mwenzake

mkubwa kama Prof Jay, Ray C au

Juma Nature wanasiasa wangeingilia

kati? Ni wazi wasingesogea kwa kuwa

hakuna maslahi zaidi ya kuingilia

mgogoro huu ambao hawataki jamii

ijue maovu yao.

Napatwa mashaka jinsi wanasiasa

wanavyolivalia njunga jambo binafsi

Kama hili na kulifanya ni la kiserikali

basi tafuteni chanzo cha tatizo mjue

ni sehemu gani sahihi ya kuanza

kutatua kilichopo na sio kukimbilia

kuunda vikao ambavyo naamini

vimeshaitishwa vingi sana lakini

hakuna kilichosaidia.

Wanasiasa badala ya kutafuta

sababu zinazofanya wasanii

wanalalamika mnakimbilia kutatua

mgogoro wa Ruge na JD ili

kusuluhisha mambo yasiendelee

kuongelewa jamii ijue uovu wa

mafisadi hawa.

Haitasaidia kwa sababu wanaojua

maovu ya hawa mafisadi Rugen na

Kusaga ni wasanii wengi wakubwa na

watu wengine binafsi (kumbukeni

waraka zipo 88)

Vijana mnaowategemea katika

kampeni zenu na mnawaita Taifa la

kesho, lakini mnakubali waendelee

kukandamizwa na kunyanyasika huku

wakizidi kuwaneemesha kina Ruge na

Kusaga.

Tatizo mnalijua kaeni na wasanii

wote wawaelezee matatizo yao,

msikae na wasanii ambao

wanaamrishwa na kina Ruge.

Sikilizeni kilio cha wasanii wengine

pia na itafutwe njia ya kupata maoni

ya kila mmoja na kuachana na watu

wengine ambao wanaendesha

mtandao wa ufisadi chini ya kivuli

cha Ruge (Said Fella na Babu Tale)

ambao mtapata kujua kila kitu

kuhusu ufisadi wao na

kinachoendelea (kumbuka waraka

zipo 88)

Ruge Mutahaba amekuwa ni tatizo

na janga la Kitaifa katika tasnia ya

muziki kwa ujumla, amekuwa

akiwagawa wasanii kwa kutumia

redio Clouds kwa vitisho vya

kutopigiwa nyimbo, au kwa

danganyio la kufanyiwa promotion

mpaka kwenye magazeti endapo tu

utakuwa chini ya bawa lake.

Wasanii wamekuwa hawalipwi vizuri

ili waendelee kumtegemea fisadi

huyu.

Kwani wasanii wote wangekuwa na

kipato cha kuweza kusimama imara

leo hii kauli kama ya Lady JD

ingezungumzwa karibu na kila

mwanabongoflava.

Fred Kavishe (fisadi mwingine)

ambae anasimamia Kili music awards

yuko bega kwa bega na Ruge

kudanganya wananchi nani ni bora

katika tuzo hizo ili kulinda maslahi

yao binafsi.

Na wao huchagua wale wasanii

ambao hawana sauti za kudai haki

yao ili wawatumie kadri

wanavyotaka.Tuzo za Kili ni uozo

mtupu.Imefikia wakati basata itoe

vibali kwa wadau wengine wa muziki

(nako kuna ufisadi)wasio na interest

binafsi na wasanii wao, kuendesha

hizi shughuli ili kukuza

muziki.Kutokuwepo na tuzo zingine

kunasababisha ionekane kuwa

basata nao wamo kwenye mgao wa

mabepari hao wanaoua sanaa ya

Tanzania

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Saturday, May 18, 2013

Haya sasa


 Ney wa Mitego Kuitwa Baba, Mchumba wake Wema ni Mama Kijacho 

Location : Address not available
Posted via Blogaway

Dada wa diamond anena kuhusu harusi ya diamond



Esma Abdul ambae ni dada yake

mwimbaji staa wa Tanzania,

Diamond Platnums, amesema

wamejiandaa vizuri kwa ajili ya

harusi ya Diamond ambae

anatarajiwa kumuoa mtangazaji

wa TV aitwae Penny.

Esma ambae anaishi nyumba

moja na kaka yake amesema,

"Tumemkubali sana wifi yetu na

tunampenda kwa sababu mtu

yeyote mimi nitakaetambulishwa

siwezi nikamkataa, manake

nikimuingilia kwenye mapenzi

yake na yeye ataniingilia kwenye

mapenzi yangu."

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Beckaham awaaga wapenzi wa kabumbu


emotional David Beckham paid

tribute to his 'special' time with

Paris Saint-Germain after playing

the final game of his career

against Brest on Saturday.

Beckham set up Blaise Matuidi's

goal either side of two stunning

strikes from Zlatan Ibrahimovic

before he was withdrawn in the

second half to a standing ovation

from the Parc des Princes crowd

and a centre-circle embrace from

his team-mates.

The 38-year-old was tearful as he

left the pitch before collecting his

Ligue 1 winners' medal after the

full-time whistle, and he confessed

he could scarcely imagine a more

perfect setting than the French

capital in which to call time on his

glittering career.

"To finish my career here is

special. Paris is the most beautiful

place in the world. I'm sad to go,"

he told reporters after the match.

"I feel a lot of satisfaction and

emotion. Tonight is the end of my

career, for sure. I've done my time

at all the clubs where I've been,

be it Manchester United, Real

Madrid and LA Galaxy.

"Now, we'll see what happens.

After a 22-year career, I'm going to

take a few months off to relax with

my family. I said before that, one

way or another, I would stay in

Paris.

"It's special for me here and I

want to continue to be part of PSG,

one way or another."

Team-mate Mamadou Sakho

described the experience of

playing alongside the former

Manchester United and Real

Madrid star as 'beautiful' and

expressed his admiration for

Beckham's laid-back approach to

all aspects of his life.

"I was lucky to be with him here in

the capital," Sakho told Canal +.

"Is there anything more beautiful?

"It was a very emotional exit,

especially given the scope of his

career. He brought us his joie de

vivre, and above all the simplicity

of life both on and off the pitch.

"A little anecdote, for example: we

organised a barbecue at Sylvain

Armand's house, he was called,

and he came to eat sausages with

us in Sylvain's garden!"f WWW.operasports.com 

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Manchester city wamuania falcao



Man City match Falcao buy-out

clause

Manchester City have signalled their

intent to sign Falcao by agreeing to

match the Atletico Madrid striker's

£54 million buy-out clause.

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Pata s 3 kwa bei nafuuu



Am eletrnics wanauza Samsung galaxy s.3 for only 500000 wahi zipo chache

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Yanga moja simba bila



Shiu

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

Thursday, May 9, 2013

Chicharito Ferguson ni baraka


Chicha: Boss been a blessing
Javier Hernandez has paid tribute
to Manchester United manager Sir
Alex Ferguson.
The 71-year-old Reds boss will retire
at the end of the current season
following more than 26 years at the
Old Trafford helm.
Striker Hernandez, who joined the
club in the summer of 2010, told TV
Azteca in his native Mexico that he
is enormously proud to have worked
under a manager many in football
regard as the best ever.
“When I retire it will be satisfying to
say that I was one of Sir Alex
Ferguson’s boys,” he said.
“But it’s more than an anecdote for
me. I see it as an achievement and
a blessing. It’s a source of pride to
say I was with one of the best
coaches in history.
“Something that impresses me is
that he never lost his
competitiveness. In spite of
everything he won he continues to
be hungry. He’s a winner.”
Sir Alex will take charge of two more
games for Manchester United:
Sunday’s clash against Swansea City
at Old Trafford and the Reds’ final

Msikilize ole kuhusu kustafu kwa Ferguson

Saying goodbye is tough
Ole Gunnar Solskjaer spoke
exclusively to MUTV following the
news of Sir Alex's imminent
retirement...
"I'm a bit stunned that the
manager has decided that enough
is enough, but I'm sure he thought
long and hard about it and it's the
right decision for him.
"The 14 and a half years I spent with
the boss [as a player and coach]
were the greatest of my career. I
learnt from the best. He was a father
figure for all of us - it's amazing how
many players he has brought
through the system. He has been an
inspiration to everyone.
"That last moment with the fans at
Old Trafford is a great feeling but
also a sad one. There aren't many
times where I have been moved to
tears but that day [Ole's testimonial
in 2008] was one of those days. And
you never know it might be on
Sunday [against Swansea] that it hits
the gaffer that it will be the last
time he leads the team out at Old
Trafford. I'm sure it will be
emotional for him.
"Everything I do now as a manager
is through the experience I gained

Wednesday, May 8, 2013

tembelea.blogspot.com: HII NDO KAULI YA IRENE UWOYA BAADA YA KUTUHUMIWA KUGAWA URODA KWA DIAMOND

tembelea.blogspot.com: HII NDO KAULI YA IRENE UWOYA BAADA YA KUTUHUMIWA KUGAWA URODA KWA DIAMOND

Diamond amponda q chief

Hii ni  kauli  ya msanii
Diamond kuhusu Q chief: mi
nafanya kazi, mazoezi na dancers,
nahangaika kutafuta sare,
kuandika nyimbo nzuri, wakati
nafanya yote hayo we unakula
unga, halafu unakuja kusema
nasafiria nyota yako, nisafirie
nyota ya mla unga? mi staki,
staki, agombane na wakubwa
wenzake kina dully mi aniache na
wadogo wenzangu staki...?

Diamond awa sukari ya warembo mpaka UK

EEHH!!! jamani kina dada mbona
mnajidhalilisha kiasi hicho!! ni
pombe ulilewa au kitu gani!?? au
ndio mambo ya NATAKA KULEWA
hayo ukaamua ummwagie radhi
mtoto wa mwenzio kilazima, au
huna habari KAMA MCHUMBA WA
MTU HUYO DADA!!?? mmmh!!
WATOTO WA UK MMETISHA!!!
ALAFU nimesikia kuna mdada
kaenda kulala na dancer wa
DIAMOND akizani ni DIAMOND
MWENYEWE biatchhh!
yereeeuwiiiiiiii!!!!!!
tunaendelea kuifatilia kwa ukaribu
tutawaletea picha kamili sooooon!!!
endelea kurefresh blog yenu
mupate mahabari kamili!!!
LMFAO!!
#OKbyeeeeee
Check Video kwenye hii link:http://
zeddylicious.blogspot.com/2013/05
/diamond-aliwa-denda-kilazima-
jukwaani.html#more

Form kazi Ipo

MWENYEKITI WA BARAZA LA
MITIHANI NECTA AGOMA KUFUTA
MATOKEO, ASEMA "NITAJIUZULU"
Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani la
Taifa-NECTA ambaye pia ni Makamu
Mkuuwa Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam,Prof.Rwekaza Sympho
Mukandala amesema hayuko tayari
kubadili matokeo ya Kidato cha Nne.
Chanzo cha karibu cha
Prof.Mukandala kinadai kuwa mara
baada ya kutolewa taarifa ya Serikali
inayotaka 'kuboreshwa' kwa matokeo
hayo,Prof.Mukandala ameonesha
kukataa amri hiyo hadi sasa. 'Sisi
tulipitisha matokeo hayo mbele yao
na kwa idhini yao.
Iweje leo Baraza libadili
matokeo?.Tunafanya hivi kwa faida ya
nani na kwa ustawi wa elimu ya
wapi?' alinukuliwa akihoji
Prof.Mukandala.
Habari za kuaminka zinadai kuwa
Prof.Mukandala pamoja na Katibu
Mtendaji Dr.Joyce Ndalichako
wanajiandaa kuachia ngazi kama
Serikali itasimamia uamuzi wake huo.

Tuesday, May 7, 2013

Aliyerusha bom apatikana


DEREVA wa pikipiki maarufu kama
bodaboda, Victor
Ambrose,anatuhumiwa kurusha
bomu katika Kanisa Katoliki la
Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia
ya Olasiti jijini Arusha,
lililosababisha vifo vya watu wawili
na wengine karibu 70 kujeruhiwa.
Ambrose mwenye umri wa miaka 20
na mkazi wa Kwa Mrombo, Arusha,
anashikiliwa pamoja na watuhumiwa
wengine tisa, wakiwemo raia wanne
wa Saudi Arabia kwa mahojiano zaidi
ya kuhusika na tukio hilo.
Taarifa zilizopatikana jana jioni,
zilieleza kuwa raia hao wa Saudi
Arabia, waliingia nchini Jumamosi
usiku kwa ndege kupitia Uwanja wa
Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), na
baada ya tukio Jumapili, waliondoka
nchini kupitia mpaka wa Tanzania
na Kenya, Namanga.
Serikali kupitia kwa Waziri wa Mambo
ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel
Nchimbi, ilitoa taarifa hiyo jana
bungeni na kueleza namna uhalifu
huo ulivyotendeka kanisani hapo
juzi, muda mfupi baada ya ibada
kuanza.
Kwa mujibu wa Waziri Nchimbi,
uchunguzi wa awali unaonesha kuwa
mlipuko huo ni bomu. Hata hivyo
uchunguzi wa kubaini aina ya bomu
lililotumika, unaendelea kufanywa na
Polisi na wataalamu wa Jeshi la
Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
(JWTZ).
“Hadi sasa watuhumiwa sita
wanashikiliwa na Jeshi la Polisi.
Miongoni mwao ni Victor Ambrose
mwenye umri wa miaka 20 dereva wa
bodaboda…ambaye anatuhumiwa
kurusha bomu hilo. “Watuhumiwa
wengine watano waliokamatwa ni
raia wa kigeni na Mtanzania mmoja
ambao wanashikiliwa kwa
mahojiano,” alisema Dk Nchimbi.
Waziri alitaja waliokufa katika tukio
hilo kuwa ni mtoto mwenye umri wa
miaka 16, James Gabriel, aliyefariki
usiku wa jana na Regina Kurusei
(45), mkazi wa Olasiti aliyefariki siku
ya tukio wakati akipatiwa matibabu
katika Hospitali ya Mount Meru.
Hata hivyo, Mkuu wa Mkoa wa
Arusha, Magesa Mulongo, alisema
waliokamatwa wamefikia 10, na raia
hao wa nje ni wa Saudi Arabia.
Alisema pia mtu wa tatu alifariki
lakini hakumtaja jina. Kaimu Mganga
Mkuu wa Hospitali ya Mount Meru,
Dk Mariam Murktadha, alifafanua
kuwa kijana Gabriel, alifia Uwanja wa
Ndege wa Arusha, akiwa njiani
kupelekwa Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili kwa matibabu zaidi.
Aliongeza kuwa majeruhi walikuwa
66 na hivi sasa wamebaki 34 na
wengine wameruhusiwa.
Kwa mujibu wa Dk Nchimbi,
majeruhi walikimbizwa Hospitali ya
Mount Meru, wengine Hospitali ya St
Elizabeth kwa Father Babu, Hospitali
ya Selian na mwingine alipelekwa
katika Hospitali ya Dk Wanjara,
Mianzini.
Bomu lilivyorushwa
Akielezea tukio hilo, Waziri Nchimbi
alisema lilirushwa wakati mgeni
rasmi, Balozi wa Vatican nchini na
Mjumbe wa Baba Mtakatifu, Askofu
Fransisco Padilla, akiwa ametoka nje
ya kanisa akijiandaa kukata utepe
kama ishara ya uzinduzi.
Alisema mtu huyo alirusha kitu
chenye ukubwa wa ngumi, kwenda
eneo kulipokuwa na mkusanyiko wa
watu na baada ya kutua, kulitokea
kishindo na mlipuko mkubwa.
Inakadiriwa uzinduzi huo wa Kanisa,
ulihudhuriwa na watu zaidi ya 2,000.
Alisema viongozi wa dini na Serikali
waliohudhuria ibada hiyo,
hawakupata madhara yoyote
kutokana mlipuko huo. Udini
Amewasihi Watanzania kuwa
watulivu wakati vyombo vya dola
vikiwasaka walihusika na shambulio
hilo.
Aidha ametaka kila mwenye taarifa
za kuwezesha kukamatwa wahalifu
hao azitoe Polisi. Kwa mujibu wa
Waziri Nchimbi, siku za hivi karibuni
kumekuwepo jitihada kubwa za watu
wachache wasioitakia mema nchi,
kutaka kupandikiza chuki za kidini
miongoni mwa Watanzania na kuleta
mapigano na mauaji.
“Sina shaka kuwa shambulio la
Arusha ni sehemu ya mikakati hiyo
miovu,” alisema bungeni na
kusisitiza kwamba Serikali itachukua
hatua kali kwa mtu yeyote bila kujali
hadhi na nafasi yake katika jamii.
Wanasiasa waonywa
Wakati huo huo, Waziri Nchimbi
amekemea wanasiasa wanaotafuta
umaarufu wa kisiasa kupitia tukio
hilo, akisisitiza kwamba Serikali
isilaumiwe kwa hatua kali za kisheria
itakazochukua dhidi ya viongozi wa
aina hiyo.
“Kokote duniani tukio la kushitukiza
linalosikitisha na kuhuzunisha kama
hili linapotokea, wananchi wote
huungana na kuwa wamoja kama
taifa na kulaani wahusika na
kuwafariji waathirika wa tukio hilo,”
alisema Dk Nchimbi.
Akikemea wanasiasa wanaotumia
matukio kujinufaisha, huku akitoa
mfano wa Marekani na kusema
mgombea mmoja wa urais wakati wa
uchaguzi mkuu wa mwaka 2012,
aliishutumu Serikali kutokana na
kulipuliwa kwa ubalozi wa Marekani
nchini Libya.
“Ni wazi kuwa mgombea huyo
alichukua tatizo lile kama ajenda ya
kisiasa. Hata hivyo alishutumiwa
vikali na Wamarekani wenzake kwa
kuelezwa kuwa ni mtu mwenye
kukosa kabisa misingi ya uaminifu na
uzalendo kwa taifa lake.”
“Serikali inasikitishwa sana na
wanasiasa wa aina hii, ambao
wanajitokeza nchini na kutafuta
umaarufu wa kisiasa kwa gharama za
maisha ya Watanzania…Serikali
isilaumiwe kwa hatua kali za kisheria
itakazochukua dhidi ya viongozi wa
aina hii, ambao maslahi yao ni
muhimu kuliko maisha ya
Watanzania,” alisema.
Dk Nchimbi alilaani waliohusika
kufanya uhalifu huo na kusema
Serikali kwa nguvu zote itahakikisha
watuhumiwa wote waliohusika na
kushiriki kwa namna yoyote katika
tukio hilo, wanasakwa popote walipo
na kufikishwa katika vyombo vya
sheria.
“Tunawataka viongozi wa kisiasa,
kidini na wananchi wote kwa ujumla
kila mmoja kwa nafasi yake
kuwajibika, ili kuhakikisha kuwa nchi
yetu inaendelea kuwa kisiwa cha
amani na utulivu,” alisema.

TAMKO LA BARAZA KUU LA WAISLAMU WA TANZANIA BAKWATA JUU YA MLIPUKO WA BOMU – ARUSHA Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakaatuh. Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania BAKWATA, limepokea kwa masikitiko makubwa tukio la kurushwa bomu Kanisani na kusababisha upotevu wa maisha na majeraha kwa watu wengi wakati wa sherehe ya uzinduzi wa jengo la Kanisa la Parokia ya Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Orasiti, Arusha.Kimsingi hili ni jambo la kusikitisha, kukera na kufadhaisha sana kutokea hapa nchini. Watanzania kwa miaka mingi, tumezoea hali ya utulivu na amani na tukio kama hili ni changamoto kwa usalama wa Watanzania wote nchi nzima Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania BAKWATA linalaani kitendo hicho cha kikatili na inaviomba vyombo vya dola kufanya jitihada zote kuhakikisha wahusika wanakamatwa na wanachukuliwa hatua, kwani msiba huu ni wetu sote, Wakristo na Watanzania wote. Kwa niaba ya Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania mimi Sheikh Issa Bin Shaaban Simba Mufti wa Tanzania nawapa pole wafiwa wote katika tukio hilo na kuwaombea dua majeruhi na Mwenyezi Mungu (SW) awape tahfif na wapone haraka na kurudi katika shughuli zao za kila siku. Wabillahi Tawfiiq. SHEIKH ISSA BIN SHAABAN SIMBA. MUFTI NA SHEIKH MKUU WA TANZANIA BARA.

Monday, May 6, 2013

Hili ndilo alilosema p funk kuhusu body la Jude na clouds

lly at 11:10 PM
Neno la P-Funk Majani
kwa Lady JayDee
Kuhusu Beef na Radio
Clouds ni Hili
Producer mwenye historia kubwa
na ya kipekee katika muziki wa
Bongo Fleva P-Funk Majani
ameonesha kumuunga mkono Lady
JayDee na kwamba anadhani ni
muda sasa wengine wakafuata
nyayo zake, yeye mwenyewe majani
amemhakikishia Jide kuwa yuko
nae “Count Me in”.
Ameongeza kuwa endapo wasanii
na watayarishaji wa muziki
wakiungana hakuna
kitakachowazua isipokuwa Mungu.

Hata salama kweli hakuna baunsa wa mapenzi

WALISEMA HAYAWI
HAYAWIIIIII . . . . . YAMEKUA SASA
>> Salama J (Yule yule wa Bongo Star
Search) nae akamatika alijivinjari na
jamaa linaloitwa BILL SEPETU (SIO
MPENZI WAKE)
Hapo wanaponda raha ya short time
tu . . . .
Chezeyaaaa Mapenzi
weweeeee . . . . . .
Acha kabisaaaa wewe. Kila mtu
ananasa hii kitu . . . . —

Raia wa saudia watuhumia kuhusika na bomu arusha

Shabulizi katika kanisa Katoliki la
Arusha la sababisha taharuki
Polisi nchini Tanzania inawashikilia
watu wa nane kwa madai ya
kuhusika na mlipuko wa siku ya
jumapili katika kanisa Katoliki la
Olasit viungani mwa mji wa Arusha.
Miongoni mwa washukiwa ambao
wako mikononi mwa polisi ni raia
wanne wa Saudi Arabia, na wengine
wanne ni raia wa Tanzania.
Wakati mwandishi wa BBC Baruan
Muhuza akuzungumza akiwa
hospitalini mjini Arusha amesema
idadi ya watu waliofari dunia
kufuatia mlipuko huo ni wawili na
wala sio watatu kama ilivyoripotiwa
hapo awali.
Polisi mjini Arusha vile vile
wamethibitisha kuwa waliokufa
wakati wa tukio hilo la kigaidi ni
wawili.
Kwa wakati huu polisi wanachunguza
ni kulipuzi aina gani kilitumika
wakati wa shambulizi hilo.
Lakini Baruan Muhuza ambaye
alitembelea eneo la tukio mbali na
majeruhi hakuna hasara kubwa
iliyotokea mahali hapo pia sakafi na
kuta za kanisa hilo hazikuchimbika
sana.
Kutoka Dar es Salaam Leornad
Mubali anaongezea kuwa watu
wawili sana wamethibitishwa kufariki
dunia katika mlipuko huo uliotokea
majira ya saa tano asubuhi katika
kanisa katoliki la Olasit nje kidogo ya
mji wa Arusha nchini Tanzania na
wengine kadhaa kujeruhiwa huku
balozi wa papa na watawa waliokuwa
katika shughuli hiyo maalumu ya
uzinduzi wa parokia mpya ya
mtakatifu Yosefu mfanyakazi
wakinusurika pia .
Kwa mjibu wa Padri Festus
Mangwangi ambaye ni paroko
msaidizi wa kanisa katoliki jimbo la
Arusha mlipuko huo unapotokea
walikuwa tayari katika hatua ya
kubariki maji kwaajili ya uzinduzi wa
kanisa ulikuwa ukiongozwa na balozi
wa Papa Fransis.
Shambulizi la Arusha
Hata hivyo Padre Mangwangi
ameiambia BBC kuwa taarifa
walizonazo muda mfupi baada ya
majeruhi kukimbizwa hospitali watu
kati yao wamefariki huku wengine
wakiendelea kupatiwa matibabu
katika hospitali ya Mount Meru mjini
Arrusha.
Shughuli zote kuhusiana na ibada
hiyo zimesitishwa huku watalaalamu
wa milipuko na polisi wakiendelea
na uchunguzi kuhusiana na mlipuko
huo.
Bado hakuna taarifa zozote
kuhusiana na chanzo halisi cha
bomu hilo ama kundi lolote
linalodaiwa kuhusika na utegaji wa
bomu hilo.
Hili ni shambaulio la kwanza la
bomu nchini Tanzania japo kuwa
mwaka huu pia kulikuwa na mtukio
ya mauaji ya Padre wa kanisa hilo
visiwani Zanzibar ambaye alipigwa
risasi wakati akiwa anajiandaa
kuingia kanisani.

Mchezaji wa chelsea amponda platinum

‘Adam Nditi’ aiponda show
ya Diamond Uingereza,
asema ‘aibu tupu
Mtanzania anayechezea Chelsea
‘Adam Nditi’ aiponda show ya
Diamond Uingereza, asema ‘aibu
tupu’
“Diamond jana manyago aibu tupu
waswahili lazima tubadilike it’s
embarrassing,” ametweet.
“Hajafanya jambo lolote ila shoo
ilikuwa haina very unprofessional
kwenye tangazo walisema inaanza
saa 3 usiku jamaa amefika saa 1
asubuhi.”
“Jukwaa lilikuwa ovyo kama vile watu
hawajalipa kumuuona mmoja Wa
wasani wanaotamba bongo nyimbo
zilikuwa zinapigwa redioni alikuwa
haimbi.”
Diamond yupo ziarani nchini
Uingereza.o

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Mei 6, 2013, ameamua kukatiza ziara yake ya Kiserikali nchini Kuwait ili kurejea nyumbani kutokana na tukio la shambulio la kigaidi la mlipuko mjini Arusha ambako watu wawili wamefariki na 60 wamejeruhiwa. Rais Kikwete alikuwa aondoke kesho kurejea nyumbani, amekatiza ziara hiyo na anaondoka Kuwait City kurejea nyumbani mara moja ili kuwa karibu na wafiwa pamoja na wale waliojeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi. Miongoni mwa shughuli ambazo hazitafanyika sasa kutokana na uamuzi huo wa Rais ni ziara ya kutembelea Kampuni ya Mafuta ya Kuwait katika eneo la Ahmadi mjini Kuwait. Aidha, Rais hatahudhuria dhifa ya chakula cha jioni ambacho alikuwa anaandaliwa na Waziri Mkuu wa Kuwait, Mheshimiwa Sheikh Jaber Al Mubarak Al Hamad Al Sabah.

Babu wa loliondo aendelea kula mafao ya kikombe

Katika kuonesha kuwa Mchungaji
Mstaafu, Ambilikile Mwasapile
‘Babu wa Loliondo’ bado ana fedha
baada ya kuzikusanya kutoka kwa
wateja wake wa huduma ya
kikombe, hivi karibuni alinaswa
ndani ya Benki ya NMB akipata
huduma.
Babu alibambwa ndani ya benki
hiyo Tawi la Loliondo mkoani
Manyara akihudumiwa na mmoja
wa wafanyakazi aliyefahamika kwa
jina la Lembris Lesion ambapo
inaelezwa alikuwa akielekezwa jinsi
ya kujiunga na huduma mpya ya
Jisevie.
Akiwa benki hapo, Babu alionekana
akijaza fomu huku akiwa na begi
ambalo linashukiwa kuwa na fedha
ndani yake ambapo baadhi ya
watu waliokuwa wakimpiga chabo
hawakuonesha kumshangaa
wakiamini bado ana mkwanja wa
kutosha kutokana na ile tiba
ailiyokuwa akiitoa kwa watu wengi
hivi karibuni.
“Unajua Babu alipata pesa nyingi
sana na bado anaendelea
kuzikusanya, kimsingi ana pesa
ndefu benki,” alisema mmoja wa
wateja aliyekuwa eneo hilo

Clouds yajip mapigo yamuasa jide afanye kazi kwa bidii

Baada ya kukaa kimya kwa muda
mrefu, hatimaye mmoja wa
wakurugenzi wa Clouds Media
Group, Ruge Mutahaba ameamua
kujibu shutuma za Lady Jaydee dhidi
yake. Ruge amekitumia kipindi cha
Power Break Fast cha Clouds FM,
kujibu rasmi shutuma hizo.
Amesema anasikitishwa na jinsi
Jaydee anavyoendesha harakati zake
na kudai kuwa anapigana kwenye
vita isiyo sahihi.
“Jaydee akaze buti, anapigana na
wrong war, vita yake ameidirect
tofauti na mizinga yake, bunduki
zake amezielekeza kusiko. Skylight
Band inamsumbua, akubaliane na
ukweli kwamba Skylight ndio
iliyoisababishia Nyumbani Lounge
kushuka ilivyoshuka, sio Lady Jaydee
kama msanii.
Vita yake na bunduki zake
azielekezee Skylight
Band.Hajazungumza hata mara moja
kwamba ndio kitu kinachosumbua.
Mimi naamini kabisa akifanya hiyo
kazi, Jaydee bado ni msanii mzuri,
ana nguvu, afanye kazi kubwa ya
kuweza kurudisha mapambano yake
kisanii, kufanya kazi na aangalie
tatizo lililotokea Nyumbani Lounge
labda anaweza akatatua matatizo
lakini sio kushambulia watu kwenye
mitandao,” amesema Ruge.
Hata hivyo amesema yupo tayari
kukaa meza moja na Lady Jaydee
kuzungumza na kumaliza tofauti zao.
“Mimi niko tayari, kesho, kesho
kutwa, kama yupo tayari na ana watu
wengine wengi tu ambao wanahisi
kuna matatizo binafsi ya kuongea na
Clouds, twende sehemu nyingine
neutral tu, tukodishe, tukae pale
tusikie matatizo.
Haisaidii muziki wetu kuonekana
Bongo Flava ni watu ambao kutwa ni
kulalamika, kutwa ni maneno na
matusi tu pale panapokuwa na
matatizo.”
Ameongeza kuwa suala la wasanii wa
Bongo Flava kupenda kutukana
limewafanya hata wasambaji wa
muziki nchini kuacha kufanya kazi
nao.
“GMC kampuni iliyowapa pesa nyingi
wasanii kwenye biashara sio kuwapa
tu kwa kuwagawia, kwa kufanya nao
biashara, sasa hivi huu ni mwaka
wao wa pili na nusu hawajatoa hata
albam moja ya Bongo Flava.
Wasanii wa Bongo Flava wanafikiria
kwa Mamu pamefungwa lakini Mamu
anaendelea na wasanii wa Gospel na
wanauza vile vile.
Ruge amewaasa wasanii wa Tanzania
akiwemo Lady Jaydee kuzitumia vizuri
fursa za kiuchumi zinazojitokeza na
sio kupenda kulalamika.
“Turudi kwenye mstari wa kuziona
opportunities, turudi kwenye mstari
wa kusema kwamba leo tunataka
kumzungumzia Jaydee akiwa na
perfume, akiwa na lipstick kama jana
iliyozinduliwa na Rihanna ambayo
nikaambiwa kwamba stock ya lipstick
mpya ya Rihanna iliyozinduliwa
ilikwisha baada ya masaa matatu.
That’s how bigger brand is supposed
to be, and that’s how powerful a
brand is supposed to be katika
namna ya kuunganisha na fursa
zilizopo. Unapokuwa na jina tumia
fursa, tumia opportunities
zinazokuijia wewe kujiendeleza na
kujikuza.
Lakini suala la kulaumiana
halitatukuza kwasababu sisi ni radio
binafsi, tutafanya kile tunachokifanya
sisi kwa matakwa ya wasikilizaji wetu
wengi zaidi, tukiiangalia faida kama
motivation, tukiiangalia social
responsibility kama motivation yetu
ya pili, in the long run kuangalia
tunakotaka kwenda kufikia strategy
ambayo kampuni yetu inajiwekea.”
Ruge pia amewakumbusha wasanii
kutojisahau kwakuwa hakuna msanii
anayeweza kuhit maisha yake yote.
“Tuwaandae wasijisahau, na katika
hili simzungumzii Jaydee peke yake,
nazungumzia wasanii wote wa
Tanzania nawazungumzia kuelewa
kwamba tunajisahau sana.
Tunapata hela nyingi sana,
sitashangaa miaka mitatu baada ya
leo, Ommy Dimpoz naye ukamsikia
anaandika hivi hivi, au Diamond
naye ni kwasababu hakujipanga tu.”
Kuhusu shutuma kuwa Clouds FM
inaua muziki wa Bongo Flava, Ruge
amesema, “inanishangaza kidogo
kwasababu Clouds inategemea
matangazo ya biashara kwa asilimia
95, ndio biashara yake hiyo.
Lakini inategemea muziki wa Bongo
Flava kama maudhui ya kipindi,
inaanzaje kuuua, inategema wasanii
wa Bongo Flava kama wasanii wa
kwenda kufanya shows mkoani.”
Kuhusu msimamo wa kampuni Ruge
amesema:
Msimamo wa kampuni ni kwamba
tunaamini kabisa mwanadada kinara
wa muziki wa Tanzania naamini
atakaa na kutafakari la kufanya.
Tunamtakia kila lakheri kwenye show
yake ya tarehe 31 afanye vizuri lakini
atakapokuwa tayari sisi tuko tayari
kuendelea kufanya kazi, anajua cha
kufanya.

Sunday, May 5, 2013

Mlipuko watokea arusha wanne wapoteza maisha

GABRIEL ILIYOTUFIKIA CHUMBA CHA HABARI CHA GLOBU YA JAMII HIVI SASA,INAELEZA KUWA KUMETOKEA MLIPUKA MKUBWA MAENEO YA MBAUDA HUKO JIJINI ARUSHA HIVI SASA NA INADAIWA KUWA KUNA WATU WASIOPUNGUA WANNE WAMEPOTEZA MAISHA .

CHANZO CHA MLIPUKO HUO BADO HAKIJAJULIKANA NA GLOBU YA JAMII INAENDELEA KUFUATILIA KWA UKARIBU TUKIO HILO NA TUTAENDELEA KUFAHAMISHANA KADRI TAARIFA ZITAKAVYOKUWA

Saturday, May 4, 2013

Mfanyabiashara nguli akirusha toka ghorofa ya tisa

TAARIFA za awali zina arifu kuwa
Mfanya Biashara, Costa Shirima
anaedaiwa kujirusha kutoka gorofa ya
tisa ya Hoteli ya Concord iliyopo
Kariakoo Jijini Dar es Salaam
inaelezwa kuwa alifariki dunia muda
mfupi baada ya kujirusha na alikuwa
asafiri na ndege ya saa 10 jioni
kuelekea China kufuata bidhaa za
maduka yake.
Shirima (47), ambaye amefikwa na
umauti muda mfupi baada ya
kudondoka chini ni mfanyabiashara
aliyekuwa akimiliki maduka kadhaa
ya urembo wa akina mama yaliyopo
jirani na Hoteli hiyo ya Concord.
Aidha taarifa hizo za awali kutoka
kwa mmoja wa wanafamilia ambaye
alidai kuwa si msemaji wa familia ya
Shirima ya Mwika Moshi mkoani
Kilimanjaro, nikuwa Marehemu mara
kwamara alikuwa akipendelea kula
katika hoteli hiyo na siku ya tukio
inadaiwa kuwa aliwaeleza watu kuwa
anapanda juu ya Hoteli hiyo
kupunga upepo baada ya kuhisi
hewa nzito mahali alipokuwa.
Inadaiwa kuwa baada ya kupanda
huko juu ghafla alianguka chini na
kudondokea gari dogo aina ya Toyota
Corola linalofanya biashara ya Taxi
na kupoteza maisha yake na gari hilo
kuharibika vibaya kutokana na
kishindo hicho.
Marehemu Shirima mbali na kuwa
Mfanya Biashara wa muda mrefu
Kariakoo pia alikuwa akiendelea na
Ujenzi wa Jengo la Gorofa maeneo ya
Kariakoo.
Marehemu ameacha Mjane na
watoto 5.

BENDI ya Extra Bongo kwa mara nyingine tena imeibomoa The African Stars ‘Twanga Pepeta’ baada ya kumnyakua mnenguaji wake mahiri Aisha Madinda , ambapo mkurugenzi wa Extra Bongo , Ali Choki alimtambulisha Madinda kwa waandishi wa Habari. Choki alisema Madinda amejiunga na Extra kwa matakwa yake mwenyewe , na tayari ameshaanza mazoezi na bendi hiyo wiki mbili

Mwanafunzi ifm afariki baada ya kulishwa chakula na mpenzi wake ambae ni mke wa mtu

Habari zilizotufikia toka IFM- Dar es
salaam ni kwamba mwanafunzi
mmoja ambaye bado hatujafanikiwa
kulipata jina lake amefariki dunia
kwa kulishwa sumu katika chakula
alicholetewa na mpenzi wake ambaye
ni mke wa mtu……
Taarifa zaidi zinadai kwamba
Mwanafunzi huyo alikuwa na
uhusiano wa karibu sana na mke wa
mtu ambaye mbali na starehe za
kimapenzi alikuwa pia anampekea
chakula cha jioni
Baada ya mchezo huo kudumu kwa
muda, mume wa mwanamke
aliusoma mchezo mzima na kuandaa
tego la kuwaangamiza wote….
Habari zinadai kwamba Siku ya
jumatano jioni mwanaume huyo
aliwahi kurudi nyumbani na
kufanikiwa kukinasa chakula
kilichokuwa kimeandaliwa tayari kwa
kupelekwa kwa huyo mwanafunzi
ambaye alikuwa anatembea na mke
wake…..
Baada ya kukinasa, alijifanya kuzuga
na kupotezea…Mkewe alipotoka
alikichukua na kukitia sumu chakula
hicho na kisha kukiweka kama
kilivyokuwa kimeandaliwa….
Lengo lake lilikuwa ni kuwamaliza
wote maana alijua ni lazima akifika
watakaa na kula pamoja…..
Mwanamke alipopeleka chakula
hakukaa kula na badala yake
alimwambia yule mwanafunzi kuwa
mume wake amewahi kurudi siku
hiyo hivyo hatoweza kukaa wale
pamoja….Mwanafunzi huyo
akakipokea na kukila na ndipo mauti
yakamkuta
Habari toka chuoni hapo zinadai
kwamba mwanafunzi huyo alikuwa
ameshadisco lakini alikuwa amepewa
nafasi nyingine ya kurudia mwaka wa
pili , hivyo aliendelea kukaa mtaani
kama mwanafunzi….
Mwili wa marehemu bado uko
Muhimbili kwa uchunguzi zaidi
baada ya polisi kuuzuia kuzikwa….
Hizi ni habari mbaya sana kwa
wanafunzi wa chuo hicho maana ni
jumatatu tu mwanafunzi mwingine
alifariki katika hali ya kutatanisha
baada ya kifo cha mpenzi wake miezi
michache iliyopita….
Habari za ndani zaidi zinadai kuwa
toka mwaka huu uanze mpaka sasa
chuo cha IFM kimepoteza wanafunzi
12 huku wawili wakiripotiwa kuwa na
hali mbaya zaidi katika hospitali ya
Muhimbili…. (28)I

Haya ndio maneno ambayo diamond kamuandikia penny kwa birthday yake

amemwandikia maneno matamu.
“Sometimes I wish you could know
how much you mean to me…its a
lot’..fu***n a lot, I can’t even
explain it.. It’s even more than
money… sometimes I don’t even
know how to col u, a wife,
friend,sister,bedmate, partner.. Ooh
God! I don’t know coz you are more
than dat,”
“Siku zote umekuwa mwema,
mkarimu,mpole,nidhamu na mwenye
mapenzi tele juu yangu…. You
always should keep this in your
mind “I LOVE YOU SO MUCH”…
Happy birthday Darling.”ameandika
Diamond
Kwa maneno haya, hakuna msichana
anayeweza kujizuia kulia kama
akiambiwa na mpenzi wake.
Baada ya kuona ujumbe huo
ulioandikwa na Diamond kwenye
Instagram, Penny amejibu:
“Baby u just made me cry!! Oh God
Naseeb I luv u so much hubby…
wallahi sina hata cha kujibu to make
u understand How I appreciate ur
sweet luv,God has given me so many
things but bringing u in my life is
the best gift I have received…U just
made my day,years,a lifetym…I wont
forget this…thank u hubby.”penny aliongeza.
HAPPY BIRTHDAY PENNY.

Serekali yaanza opereshen kamata makahaba Mrembo brandina awa chambo

MREMBO Brandina Barthon (24),
Jumatatu iliyopita alihukumiwa
kwenda jela miezi 6 baada ya
kupatikana na hatia kwenye kesi ya
ukahaba iliyokuwa ikimkabili katika
Mahakama ya Sokoine Drive (Jiji)
jijini Dar.
Brandina alisomewa hukumu hiyo na
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo,
William Mutaki ambaye alisema
kutokana na ushahidi uliothibitika,
mahakama hiyo inamhukumu kwenda
jela miezi 6, ili liwe fundisho kwa
wengine.
Hukumu hiyo ilimfanya mrembo huyo
kuchanganyikiwa na kuangua kilio
lakini mheshimiwa hakimu aliamua
kukazia hukumu yake bila ya
kupepesa macho.
Wakati mwanamke huyo akiangua
kilio, afande wa Jeshi la Magereza
alimfikia na kumchukua kwa ajili ya
kumpeleka kwenye Karandinga
kuelekea Gereza la Segerea kuanza
maisha ya jela.
Mbali na Brandina, mwanaume
aliyedaiwa kuwa ni mpenzi wa
mtuhumiwa huyo aliyekuwa
akifuatilia kesi hiyo naye alimwaga
machozi baada ya kutolewa hukumu
hiyo.

Wolper ajutia historia yake ya mapenzi

DIVA wa kiwango cha juu cha filamu
hapa Bongo, Jacqueline Wolper,
ameonekana kujutia historia yake ya
kimapenzi baada ya kufungukia
kitendo cha yeye kumuanika kila
aliyekuwa akimpenda kwamba
kimemtibulia na sasa amejifunza
kutokana na makosa.
Jacqueline Wolper.
Akizungumza na Ijumaa hivi
karibuni, Wolper alisema kuwa,
kwenye maisha yake ya huko nyuma
ameshajianika akiwa na wapenzi
tofauti lakini sasa atakayempa nafasi
kwenye moyo wake hatamuanika ila
hilo litakuja baadaye sana kwani
sasa hivi kaweka pembeni kwanza
mambo ya mapenzi.
“Sitaki yajirudie yaliyotokea katika
maisha yangu ya huko nyuma, hata
hivyo sasa hivi niko bize sana na
kazi, mambo ya wanaume nimeamua
kuyaweka pembeni kwanza,” alisema
Wolper na kuongeza:
“Sitaki itokee kama ilivyokuwa kwa
Dallas ambapo kila mtu alijua
alikuwa ni mtu wangu, kwa sasa
nimeamua kutulia kwanza na hata
nikimpata mwingine watu
hawatamjua hadi wakati wa ndoa.”
Source:Global publisher and antipas