Saturday, June 1, 2013

Gari ya wema sepetu yapata ajali



The same ndinga ambayo walitupia

kibendera cha logo ya kampuni ya

Wema Sepetu “Endless Fame”

wakiwa kwenye safari ya kuelekea

Dodoma kwenye launching ya new

season ya Clouds FM. Siku chache

zilizopita lipata ajali mbaya na mtu

aliyekuwa ndani yake alipata

majeraha kadhaa..gali hilo ambalo

mara nyingi linatumiwa na

PetitMan coordinator wa Endless

Fame lakini siku ya ajali hakuwepo

ndani yake na aliyekuwa

anaendesha ni jamaa anaitwa

Robby. Cheki hapo juu picha ya

kwanza ikimuonyesha Wema

pembeni ya hilo gari

baada ya kupata ajal washari 

Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company

No comments:

Post a Comment