Sunday, June 9, 2013

Huu si ubinadamu

Mume wake aitwaye Sohanial
Chouhan (38) alifikishwa polisi
baada ya kugundua kwamba
alikuwa
ana tabia ya kumfunga kufuli
mkewe
sehemu hizo kwa muda wa miaka
minne kwa madai kwamba
asingefanya hivyo angekuwa
anatembea nje ya ndoa.
Imegundulika kwamba Chouhan
alianza kumwenyesha mkewe
madawa ya kulevya na kisha
akatumia sindano kutoboa
matundu
sehemu zote mbili za mlango wa
uke
wa Sitabai kisha akaweka kufuli
dogo
ambalo alilifunga kila asubuhi
akienda kazini, na kulifungua
wakati
anaporejea.

No comments:

Post a Comment