Wednesday, May 29, 2013

P funk aongeza joto cloudz



BREAKING NEEEWS :::

JOTO HASIRAAAAAAAA LAZID KUKOLEA

JOTO

" Staki kusikia nyimbo zote za

marehemu ALBERT

MANGWEAR alizorekodi BONGO REC

zikipigwa CLOUDS FM kuanzia sasa"

Muda mfupi uliopita nilipokea simu

kutoka kwa Producer mkongwe hapa

bongo anajulikana kwa jina la P Funk

Majani na kuniomba nipokee msg hii

hapa chini na kuwaomba watanzania

walijue hili na baadae atatoa barua

rasmi.

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

No comments:

Post a Comment