Saturday, May 18, 2013

Dada wa diamond anena kuhusu harusi ya diamond



Esma Abdul ambae ni dada yake

mwimbaji staa wa Tanzania,

Diamond Platnums, amesema

wamejiandaa vizuri kwa ajili ya

harusi ya Diamond ambae

anatarajiwa kumuoa mtangazaji

wa TV aitwae Penny.

Esma ambae anaishi nyumba

moja na kaka yake amesema,

"Tumemkubali sana wifi yetu na

tunampenda kwa sababu mtu

yeyote mimi nitakaetambulishwa

siwezi nikamkataa, manake

nikimuingilia kwenye mapenzi

yake na yeye ataniingilia kwenye

mapenzi yangu."

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

No comments:

Post a Comment