Thursday, May 30, 2013

P funk adai depresion ndo sababu ya ngwear kujiingiza kwenye madawa



4

P-Funk: Mangwea

alijiingiza kwenye

utumiaji wa madawa

ya kulevya kupunguza

mawazo

May 30, 2013

Producer P-Funk Majani

amefunguka na kusema kuwa

marehemu Albert Mangwea

alijiingiza kwenye utumiaji wa

madawa ya kulevya ili kupunguza

mawazo. Majani amesema kwa

muda mrefu alikuwa akijaribu

kumweka chini Mangwea

kumuonya kuhusu matumizi ya

madawa hayo lakini alikana

kuyatumia.

Ameongeza kuwa anajilaumu

kwakuwa alishindwa kufanikiwa

kumuondoa rapper huyo kwenye

matumizi ya madawa ya kulevya.

“I knew already from 2006

kulikuwa na watu wanaongeaga

kwamba anatumiaga madawa ila

kila nikimkadamiza nimweke

kwenye kiti nimwambia Ngwair

you are using ‘ohh P don’t bring

that shit you are accusing me

and I always said ‘Ngwair come

on’, amesema Majani kwenye

video aliyorekodiwa na mtandao

wa GongaMX.

“Kumbe miaka yote hiyo maskini

alikuwa anatumia. Na I look in

myself and I ask myself what is

the reason for him to do this it

was because psychologically he

was unstable. Mangwea ni mtu

ambaye amefanya vitendo

vikubwa hapa nchini lakini ile

faida na support a ukweli

hajaipata,” aliongeza.

“Ukiangalia wasanii wengine wa

Bongo Records akina Juma

Nature, Profesa Jay they got more

leverage but Mangwea was a very

big artist, he made one of the

best ever albums in Tanzania till

to date. I think that’s what drove

him slowly in depression and

people don’t use drugs unless

they are depressed. Kwasababu

mimi situation kama hiyo

ilishawahi kunifikia.”

Location : Lema Rd, Moshi,
Poudly supported by washari company

No comments:

Post a Comment