Tuesday, May 28, 2013

Habari za uhakika kuhusu kifo cha ngwear



ripoti kamili

Taarifa Nilizo Pata Kutoka South

Africa Kutoka Kwa Hussein

Original Ambaye Yupo Pretoria

Amesema Ngwear Amefariki Leo

Asubuhi. Alikuwa Ghetto Moja Na

Msanii M To The P.

Walivyokwenda Kuwagongea

Asubuhi Walikuta Ngwear

Amefariki Na M To The P

Amepoteza Fahamu Kabisa. Pia

Daktari Ameshatoa Taarifa Kwa

Watu Wa Karibu Wa Ngwear

Huko South Africa. Ngwea akiwa na

msanii M to the P jana south

africa.mtu wa karibu anasema

walitakiwa kurudi dar leo lakini

waliwakuta wamezima kwenye room

wote wawili baada ya kuji overdose

madawa ya kulevya na M to the P

yupo hoi hospitali.

 waunzi.com 

Location : Kisinane Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

No comments:

Post a Comment