Tuesday, May 28, 2013
Huu ubunifu wa cowobama tutaumiss em mchek hapa kwa CNN
Kesha ka.. kesha kesha
Kesha ka.. kesha kesha (yeah)
Eyo Q, hakuna kitu tunafanya zaidi
ya ku..
Kesha ka.. kesha kesha
yani tuna yaani
Kesha ka .. kesha kesha
haha tuna
Kesha ka .. kesha kesha (yeah)
Bongo Records baby Holler!
Kesha ka .. kesha kesha
kama mifuko ndo imejaa zaidi ya
ATM
then tuko..high zaidi ya KLM
then tuna kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha
Ke kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha X2
Usiniite half-man, niite man and a
half
u think small, and you'll remain
small for life
Hatuwezi piga same instrument
but we can all be in the same
key.. son
Experience makes a person better
or bitter
naeza flow slow but brain inaeenda
speeder
nasamistrain kama pain
inavyoumiza
na gain tu kila mida complain
nazimaliza (what else?)
Naulenga mwezi na Jua hata
nikiukosa nitatua tu juu ya nyota
na mambo yatakuwa shkopa
Boss Fid kasema you need to try, ye
so Police
so please ni Halali sikatai, wala
usimdiss kama MCs hata ukimrithi
baadae
muulize weeds kama fid wa
squeeze na showbiz defined
masnitch wanamdiss fid afu song
yenyewe nishai
hawa see jinsi nnavyo *flow ka Gs
Rewind**
kama mifuko ndo imejaa zaidi ya
ATM
then tuko..high zaidi ya KLM
then tuna kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha
Ke kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha X2
Bastola cash and.. toa code someka
wapi lipo bata wapi leo
kinaeleweka, napesa mingi mpaka
natamani jiteka
then watu wapo king.ston ka
Jamaica
ni ma model, madodo waku roll na
ma Gangasta
Divas and Hustlers, Paper Chasers!
Nani anaeza piga ngoma kali ka
hii???... me!
Nani anaeza gonga beat nzito ka
hii?? ... P!
Yeah you know that ni Bongo
Records true na Q east zoo tu juu
au si skii
Usipime hizi records ,ziko heavy
place nothin above it man, you
gotta love it man!
Leo ni mwendo wa gambe tu na
Malavidavi na warembo wakali
matata ka Flavi.. (what?)
Tunapata zetu couple of rounds
then ..yeah.. we outta of the town!
kama mifuko ndo imejaa zaidi ya
ATM
then tuko..high zaidi ya KLM
then tuna kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha
Ke kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha X2
watu wana dough, yo mpaka soo
na bado daily wanaget more
kwa mishe na kali flows!
watoto wa mama wana blow
dada zao they **cursey curvy**
wataka tuwe wao baby daddys
wapate... ya ki gangsta ki
hardcore!
tukikesha kama CNN
Kwa kukesha na kula bata, tuko so
allergic
kwa watoto wa geti kali, we are so
magnetic
Mapedeshee wanapigwa tu mitama
counter
si tunazidi chafua bedsheets za
mama zao
tunajikinga japo wanamaindi kuzaa
na si
wanathamani ya Diamond na
tunawabeba for free
issue zote unasimamia playboy
anaunderstand
na leo kesho akizingua unatake her
bestfriend
kama mifuko ndo imejaa zaidi ya
ATM
then tuko..high zaidi ya KLM
then tuna kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha
Ke kesha kama CNN
Kesha ka .. kesha kesha X2
Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment