Thursday, May 23, 2013

Mtwara hapatoshi



Mwandishi wetu aliyepo Mtwara

ametueleza kuwa hivi sasa baadhi

ya wananchi wa eneo la

magomeni mkoani mtwara

wamekimbilia katika Hospitali ya

Mkoa wa Mtwara Lugula

wakihofia usalama wao kutokana

na vurugu za kuchomwa kwa

nyumba zao pamoja na vibanda

vya biashara zilizotokea leo

asubuhi katika eneo hilo.

Location : Address not available
Posted via Blogaway

No comments:

Post a Comment