BENDI ya Extra Bongo kwa mara
nyingine tena imeibomoa The
African Stars ‘Twanga Pepeta’ baada
ya kumnyakua mnenguaji wake
mahiri Aisha Madinda , ambapo
mkurugenzi wa Extra Bongo , Ali
Choki alimtambulisha Madinda kwa
waandishi wa Habari.
Choki alisema Madinda amejiunga
na Extra kwa matakwa yake
mwenyewe , na tayari ameshaanza
mazoezi na bendi hiyo wiki mbili
No comments:
Post a Comment