Wednesday, May 29, 2013

M 2 the p amfuata ngwear



BREAKING NEWS: M2 THE P NAYE

AFARIKI DUNIA

Taarifa zilizothibitishwa kutoka nchini

Afrika Kusini ni kwamba yule msanii

aliyepelekwa hospitali pamoja na

Mwana Hip Hop, Albert Mangwair

aitwaye M to the P naye amefariki

dunia leo. M to the P alipelekwa

katika hospitali ya St Hellen iliyopo

jijini nchini humo kwa matibabu

baada ya kukutwa amepoteza

fahamu akiwa na Mangwair aliyefariki

dunia jana.

Location : Lema Rd, Moshi,
Posted via Blogaway

No comments:

Post a Comment